Kama kweli Watanzania tupo makini na taifa letu, basi Mkuu wa Mkoa wa Tanga hastahili kuwepo ofisini

Street Hustler

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
2,144
4,192
Kama taifa tuna Mambo na vitu vingi vya kufanya lakini kwajili alilofanya Omary Mgunda aisee hapana huyu bwana arudi tuu kule kwenye Biashara ya mazao.

Haiwezekani kijana Mdogo aliefanya jambo lake kishujaa na kiitifaki kama Taifa na serikali lishakubali na kumpa medani, Sasa katika kipindi hiki ambalo huko handeni maji na chakula ni shida kwa wanachi Hali ya umeme sio wa uhakika kwanini hzo pesa zisingeeda kufanya shughuli zingine za kimaendeleo?

Kama mkuu wa mkoa majukumu yake ni makubwa sana vipi anapata muda gani wa kukaa na kufikiria jinsi ya kumpokea huyo mtoto ambaye kimsingi anaenda kufundishwa jinsi ya kuwa na nidhamu awapo katika mavazi na ndani ya utumishi.

Je, mkuu wa mkoa wa tanga Hana kazi za kufanya mpaka spare muda wa kumpokea huyu mtoto ambaye saiz alitakiwa awe analelewa kitaaluma huko jeshini?

Kama mkuu wa mkoa ambaye ni mwakilishi wa Rais kwenye mkoa husika anafanya hvyo vipi huko kwa mkuu wa chuo anakokwenda je atalelewa vizuri kimaadili na taaluma Kama inavyotakiwa?

Watanzania wenye akili tupo wengi sana Ila huyu Omary Mgunda aisee hapana awajibige au mamlaka zinazohusika zimuwajibishe mapema sana ili kukomesha matumizi mabaya ya ofisi ya serikali.
 
Huyo kuna kipindi alikamata vitenge marobota mengi baada ya muda store ikaripotiwa kuungua,vitenge na bidhaa zingine viliteketea....sikumona tena arudi kutoa sababu nadhani na kesi iliisha.

Huyo kijana acha waendelee kumkweza tu labda ni sehemu ya Kazi!...
 
Huyo kuna kipindi alikamata vitenge marobota mengi baada ya muda store ikaripotiwa kuungua,vitenge na bidhaa zingine viliteketea....sikumona tena arudi kutoa sababu nadhani na kesi iliisha.

Huyo kijana acha waendelee kumkweza tu labda ni sehemu ya Kazi!...
Hv unafikiri akimaliza mafunzo atafanya hyo kazi kweli au labda Kuna Kaz nyingine ipo na tayari inajulikana huko ndomana mapokezi n makubwa
 
Sasa kama wakuu wenu hawana cha kufanya maofisini unategemea nini? hana stress anatafuta kila aina ya tukio kutafuta kiki ili waone yupo, kuendelea kwa nchi kama za kwetu itakuwa taabu sana
 
Kama mkuu wa mkoa majukumu yake ni makubwa sana vipi anapata muda gani wa kukaa na kufikiria jinsi ya kumpokea huyo mtoto ambaye kimsingi anaenda kufundishwa jinsi ya kuwa na nidhamu awapo katika mavazi na ndani ya utumishi.

Je, mkuu wa mkoa wa tanga Hana kazi za kufanya mpaka spare muda wa kumpokea huyu mtoto ambaye saiz alitakiwa awe analelewa kitaaluma huko jeshini?
Hata yule aliyejirekodi anakula mnofu wa samaki huko kwa akina Majaliwa Shujaa naye hafai kuwa RC labda akawe mtendaji wa mtaa
 
Kama taifa tuna Mambo na vitu vingi vya kufanya lakini kwajili alilofanya Omary Mgunda aisee hapana huyu bwana arudi tuu kule kwenye Biashara ya mazao.

Haiwezekani kijana Mdogo aliefanya jambo lake kishujaa na kiitifaki kama Taifa na serikali lishakubali na kumpa medani, Sasa katika kipindi hiki ambalo huko handeni maji na chakula ni shida kwa wanachi Hali ya umeme sio wa uhakika kwanini hzo pesa zisingeeda kufanya shughuli zingine za kimaendeleo?

Kama mkuu wa mkoa majukumu yake ni makubwa sana vipi anapata muda gani wa kukaa na kufikiria jinsi ya kumpokea huyo mtoto ambaye kimsingi anaenda kufundishwa jinsi ya kuwa na nidhamu awapo katika mavazi na ndani ya utumishi.

Je, mkuu wa mkoa wa tanga Hana kazi za kufanya mpaka spare muda wa kumpokea huyu mtoto ambaye saiz alitakiwa awe analelewa kitaaluma huko jeshini?

Kama mkuu wa mkoa ambaye ni mwakilishi wa Rais kwenye mkoa husika anafanya hvyo vipi huko kwa mkuu wa chuo anakokwenda je atalelewa vizuri kimaadili na taaluma Kama inavyotakiwa?

Watanzania wenye akili tupo wengi sana Ila huyu Omary Mgunda aisee hapana awajibige au mamlaka zinazohusika zimuwajibishe mapema sana ili kukomesha matumizi mabaya ya ofisi ya serikali.
kati ya watanzania milioni 61 wenye akili ni Milioni moja tu.
 
Hata yule aliyejirekodi anakula mnofu wa samaki huko kwa akina Majaliwa Shujaa naye hafai kuwa RC labda akawe mtendaji wa mtaa
Kwakeli hawa viongozi wetu wanatufanyia mizaha sisi wananchi,

swali n je mpaka lini?
 
Back
Top Bottom