Trans Australia Airlines (TAA), renamed Australian Airlines in 1986, was one of the two major Australian domestic airlines between its inception in 1946 and its merger with Qantas in September 1992. As a result of the "COBRA" (or Common Branding) project, the entire airline was rebranded Qantas about a year later with tickets stating in small print "Australian Airlines Limited trading as Qantas Airways Limited" until the adoption of a single Air Operator Certificate a few years later. At that point, the entire airline was officially renamed "Qantas Airways Limited" continuing the name and livery of the parent company with the only change being the change of by-line from "The Spirit of Australia" to "The Australian Airline" under the window line with the existing "Qantas" title appearing above.
During its period as TAA, the company played a major part in the development of the Australian domestic air transport industry. The establishment of TAA broke the domestic air transport monopoly of Australian National Airways (ANA) in the late 1940s, and taking over the Queensland air network from Qantas. It was also at the time TAA supported the Flying Doctor Services of Australia by providing aircraft, pilots and engineers to ensure every emergency was answered quickly. Qantas had also been instrumental in the formation of the Flying Doctor Service.
The airline's headquarters were located in Melbourne. In 1954 TAA became the first airline outside Europe to introduce the Vickers Viscount "propjet", and in 1981 it introduced the Airbus A300, the first wide-body aircraft to be purchased by an Australian domestic airline providing TAA with a clear edge over major competitor at the time, Ansett which had purchased instead, the Boeing 767-200, receiving the type approximately a year later. Ironically, although the A300s were initially painted in full Qantas livery, they were phased out within a few years being replaced by previously international operated Qantas 767-238ERs, 767-338ERs and later supplemented by seven ex British Airways 767-336ERs.
Qantas revived the Australian Airlines brand between 2002 and 2006 to serve the low-cost leisure market of visitors to and from Australia but using a full-service model, operating selected Qantas 767-338ERs – although the livery used was not the same as that used by the previous domestic operation.
Huwa napita hii barabara kila siku. Cha kushangaza leo ni siku ya tatu taa hazifanyi kazi tunaachiwa tujiongeze kwa kutumia akili zetu.
Tanroads kama hamjapata taarifa ninawapa taarifa sijui kuna shida gani taa hazifanyi kazi na kuachia watu wajiongoze kwa kutumia akili zao na week end hii...
Matumizi ya zebra kwa waendao kwa miguu maeneo yenye taa, yanaongozwa na taa za barabarani. Na hii ni kwa mujibu wa kifungu cha 65(7)(b) na 65 (8).
Jukumu la kuheshimu taa za barabarani ni la watumiaji wote wa barabara na sio magari tu. Hivyo basi, kwa mujibu wa kifungu cha 65 (7)(b) muenda...
TAA, GAVANA EDWARD TWINING NA SERIKALI YA MALKIA ELIZABETH 1953
Baada ya kupata taarifa ya kifo cha Malkia Elizabeth nimekifungua kitabu cha Abdul Sykes (1998) kumtafuta Malkia.
Nimekuta nimemtaja Malkia Elizabeth sehemu kadhaa ndani ya kitabu kama mtawala wa Tanganyika.
Tuanze na pale Julius...
TAA, GAVANA EDWARD TWINING NA SERIKALI YA MALKIA ELIZABETH 1953
Baada ya kupata taarifa ya kifo cha Malkia Elizabeth nimekifungua kitabu cha Abdul Sykes (1998) kumtafuta Malkia.
Nimekuta nimemtaja Malkia Elizabeth sehemu kadhaa ndani ya kitabu kama mtawala wa Tanganyika.
Tuanze na pale Julius...
Taarifa iliyotolewa leo Jumanne, Septemba 5, 2022 na Mkurungenzi Mkuu wa Ewura, Modestus Lumato bei za mafuta zimeonekana kupungua baada ya kupanda mfululizo kwa miezi mitano kuanzia Aprili mwaka huu.
Hadi leo katika mkoa wa Dar es Salaam bei ya petroli inaonesha inauzwa kwa Sh3, 410 kwa lita...
Baada ya agizo lako, tumeitwa na tupo kwenye utekelezaji. Nadhani ajali ya Usiku wa kuamkia leo imesababishwa na Taa.
Tunashukuru, wengine tumebadilishiwa mpaka idara ila sawa tu. Kila la kheri ndugu Kinana endelea kufurahia ku-drive maana hatuta kusumbua.
Habari,
Wadau naomba kuuliza hivi hawa Wakala wa Viwanja vya Ndege - TAA wameshaita watu waliochaguliwa kwa ajili ya usaili?
Maana tokea nilivyoomba hamna updte yoyote ile mwezi wa pili sasa huu
Wadau salama leko
Kichwa kinaeleza hapo juu. Kuna malori baadhi yana taa za rangi rangi kama balbu za chumbani kuanzia mbele ya gari nyuma pembeni kushoto kulia juu chini ya gari kuna wengine wanaweka taa mpaka karibu na tairi kwenye yale madude kama makapeti yanayoning'inia karibu na...
DOME OKOCHI BUDOHI MZALENDO KUTOKA KENYA ALIYEPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA
Naamini umeona hiyo video ya ufunguzi wa kumbi 12 zinazohifadhi historia ya Wakenya katika kupigania uhuru wa nchi yao.
Video hii imenitia hamu ya kumweleza Dome Okochi Budohi.
Sijui kama katika kumbi hizo kuna historia...
Wajameni Hisense yangu haileti picha na ina miaka 2 tu tangia ni nunue
Bila shaka hii burand ya Hisense ni Chupli Chupli au kuharibika kwa kawaida tu huku ? Wajameni wadau wa Tech
Serikali ya Japani imewataka wakazi wa Tokyo na eneo linaloizunguka kupunguza matumizi ya umeme kwa kuzima taa zisizo za lazima lakini pia watumie kiyoyozi ili kukabiliana na kuongezeka kwa joto nchini humo
Shirika la Utangazaji la Umma la Japani NHK limeripoti kuwa watu 46 jijini Tokyo...
Hakuna sababu kwanini mtu apate ajali au tairi ivimbe au ‘Rim’ ipinde au tairi lichanike au mafutayaende kwa wingi kisa tu presha ya upepo kwenye tairi ilikuwa ndogo.
Napendekeza kifungwe kufuniko cha valve ya tairi chenye ‘bluetooth’ ndani yake, ambapo tairi likipungia upepo tu, sensa ndani ya...
Toyota Crown ya 2004 kila ulikitembea km 37-40 hizo taa zinawaka kwa pamoja ikianza na taa ya check engine halafu ndani ya sekunde chache zinawaka hizo zingine kwa pamoja. Ukizima gari na kuliwasha tena tatizo linapoteza, ukitembea tena km 37 taa zinawaka.
Gari bado lina nguvu na kila kitu kipo...
Wadau wa magari, naomba remarks Zenu kuhusu ili, Ninafsi naona taa zinazotoa mwanga mweupe zikikutana na taa za mwanga wa yellow maona nyeipe zinafunikwa ....
Bila kuficha wala kuogopa, kwamba Rais Magufuli alifanya mambo ambayo ni kinyume kabisa na uongozi bora na alikuwa akitupeleka kwenye hali mbaya sana kama taifa la Tanzania. Alikuwa na kauli za kinafiki na hata kuamuru taasisi za serikali kubambikia watu kesi. Kuna mengi sana ambayo yote...
Malalamiko yashaanza, kumbuka mechi ya kwanza team kipenzi ya makanjanja wa Bongo iiitwayo RS Berkane ilipigwa 2-1 hadi sasa haijajulikana kama makanjanja ya Morocco yameishupalia issue hii na kusema kwamba team yao ya nyumbani inatumia Dirty tricks kwa kufanya interviews na Tv za Misri au la...
Katika kipindi cha Michezo ya Olimpiki ya Walemavu ya Majira ya Baridi, maonesho ya taa yamefanyika kwenye ukumbi wa kuteleza kwenye barafu kwa kasi wa kitaifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.