stress

In linguistics, and particularly phonology, stress or accent is the relative emphasis or prominence given to a certain syllable in a word or to a certain word in a phrase or sentence. That emphasis is typically caused by such properties as increased loudness and vowel length, full articulation of the vowel, and changes in tone. The terms stress and accent are often used synonymously in that context but are sometimes distinguished. For example, when emphasis is produced through pitch alone, it is called pitch accent, and when produced through length alone, it is called quantitative accent. When caused by a combination of various intensified properties, it is called stress accent or dynamic accent; English uses what is called variable stress accent.
Since stress can be realised through a wide range of phonetic properties, such as loudness, vowel length, and pitch (which are also used for other linguistic functions), it is difficult to define stress solely phonetically.
The stress placed on syllables within words is called word stress. Some languages have fixed stress, meaning that the stress on virtually any multisyllable word falls on a particular syllable, such as the penultimate (e.g. Polish) or the first (e.g. Finnish). Other languages, like English and Russian, have lexical stress, where the position of stress in a word is not predictable in that way but lexically encoded. Sometimes more than one level of stress, such as primary stress and secondary stress, may be identified.
Stress is not necessarily a feature of all languages: some, such as French and Mandarin, are sometimes analyzed as lacking lexical stress entirely.
The stress placed on words within sentences is called sentence stress or prosodic stress. That is one of the three components of prosody, along with rhythm and intonation. It includes phrasal stress (the default emphasis of certain words within phrases or clauses), and contrastive stress (used to highlight an item, a word or part of a word, that is given particular focus).

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Ukicheza na stress utakufa

    Inakuwaje wanajamvi! Hakuna kitu kibaya katika maisha kama usongo wa mawazo (stress/dipreshen). Hasa stress ya kufulia huna hela ama stress ya kugongewa waifu ama demi stress za usaliti na kudhulumiwa. Ukicheza na kuendekeza stress bila kuchukua njia mbadala za kuidhibit utakufa kizembeeee...
  2. JanguKamaJangu

    RC wa Kagera, Chalamila asema Ng'ombe wanaofugwa kwa stress wana nyama ngumu

    Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amewataka wadau wa mifugo kutoa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji ili kuwawezesha kufanya ufugaji wa kisasa ambao utaepusha ng'ombe kutembea umbali mrefu kutafuta malisho na kusababisha nyama yake kuwa ngumu Akizungumza wakati wa kufunga maonyesho ya...
  3. cold water

    Tuchangamshe akili kidogo tutoe stress zetu.........

    Ni Asubuhi nzuri yenye utulivu,kwani mwili uwa wenye nguvu ya kufanya kazi zaidi kwa wale wezetu wamachinga,wakulima,na ata wale wafanyakazi wa maofisini.Na hali ya hewa furani yenye kuvutia, kwa kweli Asubuhi inavutia.sio kama mchana jua Kali la kuchoma utosini, karaha mbalimbali kama kutokwa...
  4. F

    92.5 FM Dar es Salaam Stress Free Radio

    Kama umechoshwa na takaka za betting, umbea na siasa, this station is suitable for you. ni full musics, 24/7. iko poa sana. Uzi tayari.
  5. JanguKamaJangu

    Waziri Gwajima: Wanaume mnajitengenezea ‘stress’, punguzeni wivu

    Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima amewataka baadhi ya wanaume ambao bado wana mfumo dume wa kunyanyasa wanawake kuacha tabia hiyo hasa kwenye masuala ya uchumi. Dkt. Gwajima ameyasema hayo mjini Morogoro Wakati akizungumza kwenye Kongamano ambalo...
  6. JanguKamaJangu

    Wanaopenda Ugomvi Kwenye Daladala Mara Nyingi Wana Msongo Wa Mawazo

    Salama wadau, kuna mambo ambayo binafsi naona hayapo sawa, inawezekana tunayachukulia poa lakini ukiyatazama kwa undani ni wazi kuna kitu hakipo sawa katika maisha ya Wabongo wengi. Tangu zamani inajulikana ndani ya daladala ni sehemu ya vituko vingi, kuna matukio mengi kwa kuwa asilimia kubwa...
  7. IKIRIRI

    Stress zilinifanya nihisi kuwa na tatizo la nguvu za kiume

    Wadau, Nimeoa baba wa watoto 07 na mke1. Katika kipindi miaka 02 iliyopita tuliingia kwenye mgogoro na mke wangu. Sababu kubwa alipoteza uaminifu na mimi. Hii ilitokana na aina yangu ya maisha na kazi ninayofanya ambayo kwa kipindi hicho ilinilazimu kurudi usiku wa saa 2 hadi 3 na nilikuwa...
  8. 5

    Katika wale wenye Stress za 2025 hakuna Wamama? naona walioachwa ni Wanaume tu

    Wakuu wa ukumbi huu hemu tujielekeze hapa pia., Mkuu alitwambia wale wenye Stress za 2025 atawapa nafasi zaidi akimaanisha atawaweka pembeni ili wakajiandae zaidi., nataka kufahamu hakuna Mawaziri ambao ni kina mama waliojiingiza kwenye hizo Stress za 2025? nimeona sura 5 sijuwi 6 tu, Lukuvi...
  9. Ramon Abbas

    STRESS NI NINI?? PITIA HAPA!!

  10. SamBug

    Wanajukwaa tushee Stress za mapenzi na vioja vyake

    Habarin wanajukwaa Nina Imani nyote wazima afya 💯💯 Mapenzi wanasema yanaendesha dunia na pale mtu yanapomkuta ya kumkuta Hali inakuwa si Hali Je ni vioja gani vinavyoweza kusababishwa na stress za mapenzi Ukiachana na vifuatavyo; 1, Kunyoosha nguo bila kuwasha socket 2,Kuchomeka Kadi ya mpiga...
  11. Superbug

    Asilimia kubwa ya sisi members wa jamiiforum tuna stress za maisha

    Kubali ukatae asilimia 90 ya sisi members wa jf ni stressed people hebu ona. Magret thinkers tunapoangukia ilinujue tuko stressed. 1. Wengi tuna kazi Bora. (Kazi huleta stress) 2.wengi tuna pesa.(pesa huleta stress) 3.Wengi tuna ndoa (ndoa huleta stress) 4. Wengi tuna chepuka.(kuchepuka huleta...
  12. M

    MUGALU: Persona non grata

    Tafadhalini sana tuondoleeni huyu mcheza striker mkabaji na mcheza off side kila wakati kwenye club yetu kwani kazi ya kufunga magoli iliisha mshinda siku nyingi. Kiwango hana na hastahili kuchezea timu kama Simba.
  13. sky soldier

    Je umewahi kupatwa na wivu uliokufanya ulie, usononeke au kuwa na stress kisa mapenzi, tiririka?

    Binafs nakumbuka kulikuwa na mtoto flani wa kipare alikuwa kanizikimikia sana yani, ilikuwa ni chuoni miaka kama 8 iliyopita. Basi mimi nnikavimba sana kichwa nikawa namletea mapozi flan ivi ili nioneka kidume ambacho ni ndoto ya wanawake, si mnajua tena vijana wadogo kwa kupenda sifa...
  14. Kifaru86

    Umri unapokuwa umeenda na hujaoa au kuolewa unakabiliana vipi na maneno ya jamii inayokuzunguka?

    Kumekuwepo na maswali Mengi katika jamii ambayo umri wako ukiwa umeenda huwa hayakwepi kama vile siku hizi uko wapi? Bado unaishi palepale kwenu au unajitegemea? Kama umesoma utaulizwa umeshapata kazi? Lakini kuna swali moja ambalo wengi wetu tukiuliza huwa hatupendi kuliongelea nalo ni...
  15. Redpanther

    Ku-date msichana aliye na umri kuanzia 27 na kuendelea raha sana, chini ya hapo stress mwanzo mwisho

    Habari za wakati huu, watu wangu wa nguvu hapa jukwaani, Jukwaa pendwa sana la MMU. Niwape pole ndugu na jamaa ambao siku yao imewamendea vibaya kwa namna moja au nyingine. Acha niende kwenye mada yangu, kwa sasa nina date mdada mmoja hivi yuko 28 hivi, huyu mdada anajitambua na pia anajua nini...
  16. Mboka man

    Ni jinsi gani unaweza kuishi na mwanamke bila kukwaruzana au bila kupata stress?

    Hebu tusaidie wana ndugu kama mnavyojua wanawake ni watu wa vitimbwi, visa, dharau, vituko na maneno ya karaha yaani kuishi nao inahitaji akili sana lakini hebu leo hii tusaidiane ni njia ipi bora ya kuishi na mwanamke kwa akili bila kukwaruzana nao. Maana kuna wengine watakwambia uishi nae...
  17. Youngblood

    Mitandao ya kijamii siku hizi imekuwa chanzo kikubwa cha stress na msongo wa mawazo kwa vijana

    Wakuu habari zenu, leo kidogo tuzungumzie kuhusu hili la mitandao ya kijamii. Siku hizi maisha yamegeuka sana, ni ngumu sana kudeal na stress na msongo wa mawazo hasa pale unapokuwa unapitia kipindi kigumu katika maisha. ~Umeachana na mpenzi wako uliyempenda sana, kesho unamuona facebook...
  18. Hivi punde

    Udalali ndo kazi pekee inayolipa zaidi, rahisi na haina stress yoyote

    Kuwa dalali, hauhitaji kuwa na mtaji wa fedha, hauhitaji kuwa na madegree, haihitaji kudamka asubuhi kuwahi kazini, haina cha kupoteza, kazi tamu sana udalali. Mtu atakupigia simu mwenyewe, akikifanikishia swala la kupanga nyumba, jengo nk inabidi umlipe hell sawa na kodi ya mwezi mmoja...
Back
Top Bottom