stephen wasira

Stephen Masato Wasira (born 1945) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Bunda constituency since 2005. He was the Minister of State in the President's Office for Social Relations and Coordination since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wasira na Askofu Bagonza wakutana na kuteta jambo Karagwe

    WASIRA, ASKOFU BAGONZA WAKUTANA, WATETA KARAGWE Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, wamekutana na kuzungumza wilayani Karagwe Mkoa wa Kagera. Wasira na Dk...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira: Wanaogawa hela nawajua, Wapinzani watafaidika kama chaguzi zetu zitakuwa za Rushwa

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bara, Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM katika wilaya za Karagwe na Kyerwa kupunguza matumizi ya fedha katika michakato ya uchaguzi wa ndani ya chama. Akizungumza na wanachama wa CCM siku ya Jumapili mkoani Kagera, Wasira amekemea vikali...
  3. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Wanachama wa CCM wanakiri wazi wazi kuwa Wasira na Makalla ni mizigo mizito kwa Chama chao, hawatoshei kabisa

    Kama kuna vitu vya ovyo ambavyo vimewahi kufanywa na mwenyekiti wa CCM katika utendaji wa CCM basi huenda ni uteuzi wa Stephen Wasira kuwa makamu mwenyekiti wa CCM na Amos Makalla kuwa katibu mwenezi Wanachama wa CCM taifa. Wanachama wa CCM wengi kwa sasa wanakiri wazi wazi kuwa hao jamaa ni...
  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: Mbowe hajaaga dunia bali "yupo anauguza vidonda vilivyotokana na matusi wanaCHADEMA

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amepotea kutokana na matusi ya wanachama wa chama chake. Akizungumza katika mkutano wa hadhara Kata ya Kemondo, Wilaya ya Bukoba, mkoani Kagera...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: Wapinzani wasituogope kama Simba alivyowaogopa Yanga

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Stephen Wasira amevitaka vyama vya upinzani kuacha kuwa na visingizio katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi badala yake wakubali kushiriki uchaguzi ili washindane. Akiwa Tukuyu, mkoani Mbeya Machi 20 Wasira amesema "tunataka waje...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbeya: Bila uoga Wananchi wawakaripia viongozi mbele ya Wasira "mnaleta siasa tu kwenye maisha ya watu"

    Wananchi wa Mbeya, Rungwe wameonyesha kutoridhishwa na viongozi wa serikali na chama kwa kile walichokiita "kuingiza siasa kwenye maisha ya watu." Malalamiko haya yalitolewa Machi 18, 2025 mbele ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, ambapo wananchi walieleza...
  7. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa weledi na umahiri mkubwa sana, Stephen Wasira amezidhibiti siasa za Tanzania kwa kiwango kikubwa mno

    Hali ya siasa ni shwari zaidi kwa upande wa CCM na ushindi wa kishindo uchaguzi ujao ni wa uhakika na unanukia vizuri sana kwa ngazi zote za urais, ubunge na udiwani. Na mpaka sasa hakuna anae furukuta tena ndani na nje ya CCM kwenye medani za siasa za Tanzania, mbele ya mkongwe huyu na jembe...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira ataka uchunguzi wa umiliki wa Ardhi ya Mohammed Enterprises Ltd wilayani Rungwe

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ameitaka Wizara ya Kilimo kufanya uchunguzi wa umiliki wa ardhi inayoshikiliwa na Mohammed Enterprises Ltd wilayani Rungwe, Mbeya, ili kuona kama kampuni hiyo imeshindwa kuiendeleza na kurudisha ardhi hiyo serikalini...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira aipa siku 14 kampuni ya GDM kuwalipa wakulima wa kahawa Rungwe

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, ameiagiza Kampuni ya GDM kuhakikisha inalipa madeni ya wakulima wa Kahawa wa wilaya ya Rungwe ndani ya siku 14, baada ya malalamiko ya wakulima hao kuwasilishwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Machi 18, 2025, katika stendi...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira: Rais Samia amefanya makubwa hata wanaume walikuwa hawaaamini kama angeweza kuyafanya

    Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa Stephen Wasira amesema uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan umefanya mambo makubwa ambayo watu wengi hasa wanaume walikuwa hawaaamini kama angeweza kuyafanya kutokana na jinsia. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia...
  11. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira: CCM inaingia katika uchaguzi ikiwa na hakika ya ushindi, Tumejipanga kwa ushindi 2025

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Stephen Wasira amezungumza na wanachana na viongozi wa Chama wilayani ileje mkoani Songwe akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake mkoani humo. Akizungumza na wana CCM hao katika Ukumbi wa Seselembe, Ileje leo, Machi 16, 2025, Wasira...
  12. Mindyou

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Makamu Mwenyekiti CCM Stephen Wassira: Kufikia mwaka 2030 kila Mtanzania atakuwa na umeme

    Wakuu, Miaka 63 ya Uhuru na bado CCM wanazungumzia masuala ya umeme? Seriously? Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, akizungumza na wakazi wa mji wa Tunduma uliopo wilayani Momba mkoani Songwe akiwa katika ziara mkoani humo, alisema kuwa katika Ilani...
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira: Akina mama wanajua vizuri mapenzi wanayotoa hayanunuliwi, Tajiri anaweza kunyang'anywa mke na bodaboda

    "Hiari haiuzwi. Akina mama wanajua hili vizuri, mapenzi yanayotolewa kwa hiari hayanunuliwi. Ndio maana hata ukiwa tajiri unaweza kunyang’anywa mkeo na bodaboda kwa sababu ya hiari," alisema Wasira akifananisha siasa na uchaguzi wa wapiga kura. Wasira ametoa kauli hiyo akihutubia wananchi wa...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Video: Mzee Wasira aonyesha ufundi wake wa kujega majengo, huku akisindikizwa na vigeregere

    Hakika nimecheka sana baada ya kuona video hii ya Babu Wasira:D:D:D Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, , Stephen Wasira, leo Machi 15, 2025 ametembelea na kukagua ujenzi wa Hospitali ya Mkoa wa Songwe iliyoko wilayani Mbozi. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
  15. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira akilakiwa na Vikundi vya ngoma akiwasili katika Ukumbi wa Kanisa kuzungumza na Wanachama wa CCM

    Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg. Stephen Wasira akilakiwa na Vikundi vya ngoma akiwasili katika Ukumbi wa Kanisa kuzungumza na Wanachama wa CCM na Viongozi Mbalimbali wilaya ya Mbozi, Leo Machi, 14, 2025. #KaziNaUtu #TunasongaMbele
  16. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: Othman, Lissu wasitafute mchawi kuzuiwa kuingia Angola. Serikali haisimamii Uwanja wa Angola

    Wakuu, Kunazidi kufurukuta, moshi unaongezeka! ==== Wakati kitendo cha kuzuiwa kuingia nchini Angola na mamlaka za nchi hiyo kwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman na mwenzake wa Chadema, Tundu Lissu kukizua mjadala, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara...
  17. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wamama CCM wamtandikia vitenge Stephen Wasira asiguse vumbi wakimpokea Vwawa, Songwe

    Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM wakimpokea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tanzania Bara, Stephen Wasira wilayani Mbozi mkoani Songwe Wana CCM wampokea Stephen Wasira Vwawa, wamama wamtandikia vitenge asiguse vumbi Machi 14, 2025, Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea...
  18. L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira atua kibabe na Ndege ya kibabe Mkoani Songwe. Kuwasha moto kwa siku tatu mfululizo bila kupumzika

    Ndugu zangu Watanzania, Chuma cha Reli, Mwamba Mwenyewe ,Nguli wa Siasa na Jabali la siasa Stephen Wasira Makamu Mwenyeki wa CCM Taifa Ametua kibabe kwelikweli katika uwanja wa ndege wa Songwe . kwa ajili ya kuanza ziara katika mkoa wa Songwe. Ambako anatarajiwa kuwasha Moto 🔥 mkali kwelikweli...
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wassira pumzi imekata Hoiiiiiii! ataweza heka heka za Kampeni kweli?

    Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu Wassira... Ukimtafuta kwa sasa unamwona tayari ameshachoka pumzi imekata. imekata mapema sana. Mzee ataweza...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Stephen Wasira: Demokrasia haipimwi kwa asilimia ya ushindi bali kwa watu kupiga kura kwa uhuru

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wassira amesema uwepo wa demokrasia haupimwi kwa asilimia ya ushindi wa chama kinachopata bali inasimamiwa kwa watu kupiga kura kwa uhuru huku akisisitiza kushinda au kushindwa ni demokrasia pia. Soma pia: Pre GE2025 Special Thread...
Back
Top Bottom