PreGE2025 Wasira: Kuna watu wameshindwa siasa wanataka fujo

PreGE2025 Wasira: Kuna watu wameshindwa siasa wanataka fujo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,913
Reaction score
6,512
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.
Screenshot_20250306-183123_1.jpg
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Huyu naona dish kama lina shida
Yaani waiba kura, wakataa katiba mpya waengua wagombea ndiyo wafanya siasa safi?????
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Old fashioned
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Amenikimbusha siasa za virusi vya epoxy na ebora vya ..............castigating politics

Hizi ndiyo siasa za CCM, hata yeye anaziishi
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Amemsikiliza huyu👇? Anamzungumziaje? Je anatofautiana na hao wapinzani anaowasema? Nani yuko nyuma yake na ni mwanachama mtiifu?
  1. Pre GE2025 - DSM - Askofu Gwajima: Mabadiliko hayaletwi na makundi bali ni mtu mmoja aliye tayari kutoa uhai wake. Asema Watanzania waipiganie nchi
  2. Video: Gwajima ahoji mlima Mlima wa Jiwe la Chuma Liganga
 
WASIRA: WATANZANIA KATAENI KUYUMBISHWA NA WASIOTAKIA MEMA NCHI.

Na Mwandishi Wetu, Tabora

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Mqkqmu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

“Kuna vyama vya siasa ambavyo vinataka uhuru usiokuwa na mipaka, uhuru usiokuwa na amani hauna maana, na wako wanaotoka kulifanya suala hilo kama mtaji. Tunaposema nchi iko salama maana yake tuko salama kweli na wale wanaodhani tunaweza kutikiswa tunawapa majibu hawawezi kututikisa.

“Sisi Katiba yetu Ibara yake ya tano inasema CCM jukumu lake la msingi ni kushinda uchaguzi, kukamata dola, sasa lazima tukamate dola kwa sababu mapinduzi ambayo tunayaendesha kuleta maisha bora kwa watu hayawezi kupatikana bila sisi kushika dola.

“Kwa hiyo dola ni chombo chetu cha mapinduzi na hatuwezi kukikabidhi kwa chama kingine chombo hiki ambacho hakipo kwa ajili ya wenye vyama ambavyo tumesikia kule Njombe mwenezi aliletewa ‘longolongo’ alipigwa hadi mbavu zikavunjika, tena mwenezi wa kike, alichapwa na wanaume halafu chama cha namna hiyo mkipe dola mmechoka na amani?

“Amani unaweza kuizoea ukaona hata isipokuwepo wewe utakuwepo, haiwezekani, kajifunze kwa majirani zetu, ikitoweka hairudi. Nenda kaulize maeneo ambayo imetoweka hairudi hata kule ambako hali imetulia visasi vimebaki, visasi vinarithiwa vizazi kwa vizazi, msikubali mkababaishwa na jambo la msingi kuhusu amani yetu,” amesema.
 

Attachments

  • publer-1744747205992.jpg
    publer-1744747205992.jpg
    38.1 KB · Views: 30
  • publer-1744747189924.jpg
    publer-1744747189924.jpg
    108 KB · Views: 31
  • publer-1744747192520.jpg
    publer-1744747192520.jpg
    100.1 KB · Views: 27
  • publer-1744747195802.jpg
    publer-1744747195802.jpg
    109.6 KB · Views: 29
  • publer-1744747203812.jpg
    publer-1744747203812.jpg
    95.6 KB · Views: 28
  • publer-1744747198458.jpg
    publer-1744747198458.jpg
    133.9 KB · Views: 27
  • publer-1744747200890.jpg
    publer-1744747200890.jpg
    135.8 KB · Views: 33
  • publer-1744747208242.jpg
    publer-1744747208242.jpg
    49.5 KB · Views: 28
  • publer-1744747210855.jpg
    publer-1744747210855.jpg
    43.6 KB · Views: 27
  • publer-1744747215286.jpg
    publer-1744747215286.jpg
    94.9 KB · Views: 31
  • publer-1744747212851.jpg
    publer-1744747212851.jpg
    39.5 KB · Views: 33
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Chawa tu huyu hana lolote , vizee havina hata aibu na vitalaaniwa milele.
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Wasira hana Akili TIMAMU,na atalaaniwa kwa kuunga mkono uuaji,utekaji,ufisadi,wizi na ulanguzi.
 
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.


..CCM ndio wameshindwa siasa wamebaki kijiegemeza kwenye vyombo vya dola, ofisi ya muendesha mashtaka, mahakama, na tume ya uchaguzi.
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Chama pekee cha siasa hapa Tanzania kinacho yumbisha wananchi na kuwakosesha amani ni CCM, nani anapinga hili? Huyu Mze inabidi akamatwe na kuchukuliwa hatua, anadanganya Watanzania bila hata haibu.
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Mtu kama Wasira akiona watu wanadai .fu.o bora w uchaguzi anachukia sana,na yupo tayari huyo mtu anaedai apewe kesi ya anyongwe hadi kufa ili aiache ccm itawale!
Na mimi nawaambia, ikitokea .uujiza Ccm imeshindwa leo, Wasira ni miongoni mwao watakao kufa kwa depression!
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

1744761550707.jpg
 
Chama Cha Mapinduzi kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

Wizi umewafanya watanganyika,kutokutambua neno Amani.
Tangulizeni Haki,amani itatokea automatic.
Mkurugenzi wa Tanesco kapewa rushwa ya Gari na wachina,la million 400+, Leo unasema tunu ya amani?
 
WASIRA: WATANZANIA KATAENI KUYUMBISHWA NA WASIOTAKIA MEMA NCHI.

Na Mwandishi Wetu, Tabora

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania wasikubali kuyumbishwa na vyama vya siasa vyenye kuhatarisha amqni na usalama wa nchi.

Ameisitiza kuwa amani iliyopo si mali ya chama cha siasa bali ni tunu ya Watanzia na lazima ilindwe.

Mqkqmu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira ameeleza hayo April 15, 2025 alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichowakutanisha viongozi wa Chama kutoka Wilaya ya Tabora Mjini na Uyui mkoani Tabora.

“Kuna vyama vya siasa ambavyo vinataka uhuru usiokuwa na mipaka, uhuru usiokuwa na amani hauna maana, na wako wanaotoka kulifanya suala hilo kama mtaji. Tunaposema nchi iko salama maana yake tuko salama kweli na wale wanaodhani tunaweza kutikiswa tunawapa majibu hawawezi kututikisa.

“Sisi Katiba yetu Ibara yake ya tano inasema CCM jukumu lake la msingi ni kushinda uchaguzi, kukamata dola, sasa lazima tukamate dola kwa sababu mapinduzi ambayo tunayaendesha kuleta maisha bora kwa watu hayawezi kupatikana bila sisi kushika dola.

“Kwa hiyo dola ni chombo chetu cha mapinduzi na hatuwezi kukikabidhi kwa chama kingine chombo hiki ambacho hakipo kwa ajili ya wenye vyama ambavyo tumesikia kule Njombe mwenezi aliletewa ‘longolongo’ alipigwa hadi mbavu zikavunjika, tena mwenezi wa kike, alichapwa na wanaume halafu chama cha namna hiyo mkipe dola mmechoka na amani?

“Amani unaweza kuizoea ukaona hata isipokuwepo wewe utakuwepo, haiwezekani, kajifunze kwa majirani zetu, ikitoweka hairudi. Nenda kaulize maeneo ambayo imetoweka hairudi hata kule ambako hali imetulia visasi vimebaki, visasi vinarithiwa vizazi kwa vizazi, msikubali mkababaishwa na jambo la msingi kuhusu amani yetu,” amesema.
Solution ni Mapinduzi ya kijeshi!
 
Back
Top Bottom