GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,864
Hatimaye Simba SC yaweka rekodi kwa Kuingiza Wachezaji Wanne katika Kikosi bora cha Wiki cha CAF akina Chama, Boko, Miquissone na Tshabalala?
Au
Twiti ya Kiutani wa Kimchezo ya Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji kwa Kuwaita Kaizer Chiefs FC ni Mediocre ( Wajinga ) baada ya Kufungwa Juzi Goli 3 kwa 0 na Simba SC?
Kuna Mtangazaji Mmoja ' Mpuuzi ' aliyerejea kutoka Kuwajibika na Kushughulikiwa vyema huko Helsinki Finland na Uingereza na Wadau wake Yeye kila awapo Studioni na Kuendesha Kipindi Wasafi FM (katika Kipindi cha Sports Arena) anachojua ni kuja na Taarifa (Habari) Hasi (Mbaya) tu za Kuihusu Simba SC, Kuichokonoa na Kuichafua huku akitamani Furaha na Amani isitamalaki kwa Mwekezaji wa Simba SC na ndani ya Mioyo ya wana Simba SC wote duniani.
Au
Twiti ya Kiutani wa Kimchezo ya Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji kwa Kuwaita Kaizer Chiefs FC ni Mediocre ( Wajinga ) baada ya Kufungwa Juzi Goli 3 kwa 0 na Simba SC?
Kuna Mtangazaji Mmoja ' Mpuuzi ' aliyerejea kutoka Kuwajibika na Kushughulikiwa vyema huko Helsinki Finland na Uingereza na Wadau wake Yeye kila awapo Studioni na Kuendesha Kipindi Wasafi FM (katika Kipindi cha Sports Arena) anachojua ni kuja na Taarifa (Habari) Hasi (Mbaya) tu za Kuihusu Simba SC, Kuichokonoa na Kuichafua huku akitamani Furaha na Amani isitamalaki kwa Mwekezaji wa Simba SC na ndani ya Mioyo ya wana Simba SC wote duniani.