somalia

  1. Intelligence Justice

    Serikali ya Kenya ondoeni Majeshi yenu huko Somalia kisha imarisheni ulinzi mkali na ndani

    Hili ni bandiko la WITO Serikali za Jamhuri ya Kenya na Jamhuri ya Somalia zote ni huru kuendesha mambo yake ya ndani. Nchi moja kuingia nchi nyingine kwa kisingizio cha tishio la UGAIDI katika nchi vamizi ni uvunjifu wa haki za binadamu. Nchi ya Somalia haijawahi kuomba seriikali ya Kenya na...
  2. KDF-BabaYao

    Kenya Police Special Forces waangamiza gaidi huko Mandera

    SOG team kutoka huko Fino, Mandera county walivamia hawa majambazi wa kisomali baada ya kupewa taarifa kwamba wameonekana wakivuka border. Wanne walitoroka na majeraha lakini polisi wanawafuatilia. Hizo kelele mlizo kuwa nazo hapa,mara ooohhh Alshabaab wameteka kenya ohhhh. Njooni tuwape...
  3. MamaSamia2025

    Somalia ilivyoziokoa Tanzania na Uganda kutoka kwenye vita

    SOMALIA YAOKOA UGANDA NA TANZANIA KUTOKA KWENYE VITA KWA UFUPI Kukomesha mvutano. Kufuatia mvutano kati ya Uganda na Tanzania 1972, katibu mkuu wa OAU aliwasiliana na Kenya kupatanisha. Hata hivyo serikali ya Jomo Kenyatta ilikataa. Huku Kenya ikikataa kupatanisha, wakuu wengine wa nchi...
  4. joto la jiwe

    Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yafunga ubalozi wake nchini Kenya

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia kati masuala yake ya ndani. Nchi hiyo jirani wa Kenya, imetangaza kuwafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya na kuagiza wanadiplomasia wake wote walio Nairobi kurudi Mogadishu ndani ya siku...
  5. Tony254

    Kenya imeamua Somalia ikimwaga mboga basi Kenya itamwaga Ugali

    Wiki iliyopita Somalia iliamua kufurusha Balozi wa Kenya nchini humo kwa madai kuwa Kenya ina interfere na siasa ya Somalia. Sasa kwa sababu Somalia ndio wamelianzisha basi sisi tunalipiza tu mapigo. Sasa Kenya imealika President wa Somaliland kuja Kenya on a state visit. Hakuna nchi yoyote...
  6. Tony254

    Vita baridi kati ya Kenya na Somalia

    Hii article inaelezea vizuri chanzo cha vita baridi kati ya Kenya na Somalia. Inatoa information nyingi ambayo sikuwa najua kuhusu Somalian politics. Inasema kuwa mawaziri na wanasiasa wa Somalia huwa wanapenda kuja na kujivinjari Nairobi. Wanaishi kwenye mahoteli kubwa kubwa. Wanapenda kuja...
  7. Tony254

    Kenya Somalia maritime dispute

  8. Bowie

    Somalia Yapiga Marufukuu Miruungi Kutoka Kenya

    Hali ya wakulima Miraa nchini Kenya imekuwa ngumu sana baada serikali ya Somalia kupiga marufuku miraa kutoka Kenya. Kwasasa Somalia imeruhusu miraa kutoka Ethiopia kuingia nchini humo. Zao la miraa hupatia Kenya mamilioni fedha za kigeni. Marufuku hii imefuata baada ya serikali ya Kenya kupiga...
  9. IAfrika

    Inside Kenya's Tiff With Somalia and Tanzania

    Kenya’s persistent trade tiffs with neighbours may be a result of dynamics beyond the region, which could require political solutions. Two of Kenya’s neighbours, Somalia and Tanzania, have recently stalled business ventures for Kenyans over alleged bad policy by Nairobi. Tanzania cancelled...
  10. Analogia Malenga

    Maharamia wa Somalia waiteka meli yenye bendera ya Panama

    Maharamia wa Somalia wameiteka meli ya yenye bendera ya Panama-iliyokua ikisafiri kutoka Muungano wa Kiarabu ikielekea kwenye bandari mjini Mogadishu. Meli hiyo ilishambuliwa usiku wakati wahudumu wake walipokua wamelala. Shirika la habari la Anadolu limewanukuu maafisa wa jimbo lililojitenga...
  11. Analogia Malenga

    Shambulio la Mogadishu: Vikosi vya Somalia vyazima shambulio baya katika Elite Hotel

    Vikosi maalumu vya Somalia vinasema vimemaliza uvamizi Somali uliofanywa katika hoteli iliyopo katika mji mkuu Mogadishu ambayo ilivamiwa na wananamgambo wa al-Shabab Takriban watu 10 wameripotiwa kuuawa katika hoteli ya - Elite Hotel iliyopo katika eneo la ufukwe wa Lido, pamoja na wanamgambo...
  12. Ntaghacha

    Ndege ya Kenya yazuiwa kuingia Somalia

    Miraa traders are up in arms after another plane ferrying 11 tonnes of the produce to Puntland in Somalia was turned back for allegedly violating Covid-19 restrictions. This is the second plane to be ordered back to Kenya by Mogadishu in a month. One ferrying 13 tonnes was denied entry early...
  13. Geza Ulole

    Another Kenya's plane crash in Somalia

    Kenyan Owned Plane Crash-lands In Bardere Somalia [Photos] ShareTweetGoogleWhatsappLinkedin A Kenyan owned Fokker 50 registration 5Y WFC that crash landed in Somalia on Sunday morning A Kenyan owned Fokker 50 registration 5Y WFC crash-landed in Bardere, Somalia on Sunday morning Kahawa...
  14. Geza Ulole

    Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

    Ethiopian Troops In Somalia Shoot At Another Kenyan Plane Another Kenyan plane was shot at today allegedly by Ethiopian troops in Qansahdere, Bay Region in Somalia, sources have told Kahawa Tungu. The plane was carrying humanitarian aid when it caught fire mid-air after the shooting. Photos...
  15. beth

    Rais Kenyatta atoa onyo kwa Somalia, ataka nchi hiyo kuacha kuichokoza Kenya

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ameionya serikali ya Somalia kuacha uchokozi wa mara kwa mara dhidi ya Kenya. Onyo lake linajiri siku moja baada ya wakazi wa Mandera kulazimishwa kutoroka makazi yao baada ya ghasia zilizozuka kati ya wanajeshi wa Somalia dhidi ya wanajeshi wa eneo la Jubaland...
  16. Analogia Malenga

    Watu wawili kati ya watatu waliombaka msichana Somalia wauawa

    Watu wawili waliopatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 mwezi Februari mwaka jana wameuawa katika mji wa mashariki mwa Somalia wa Bosaso. Mtu wa tatu bado anachunguzwa ingawa mahakama ilimuhukumu kifo pia. Abdifatah Abdirahman Warsame na Abdishakur Mohamed walipigwa risasi...
  17. Miss Zomboko

    Nzige watangazwa kuwa janga la kitaifa Somalia

    Nchi ya Somalia imetangaza uvamizi wa nzige katika maeneo mbalimbai ya nchi hiyo kama janga la kitaifa huku Wizara ya Kilimo, ikisema kuwa hatua hii imefikiwa baada ya wadudu hao kuendelea kuharibu mimea na sasa hali ii inatishia kuwepo kwa uhaha wa chakula nchini humo. Kuna wasiwasi kuwa...
  18. Kingsmann

    FAO: Tusipowadhibiti nzige wanaoikabili Ethiopia, Kenya na Somalia watasambaa

    Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO limeonya kwamba nzige walioivamia Ethiopia, Kenya na Somalia sasa ni wimbi kubwa kuwahi kushuhudiwa hivi karibuni na lisipodhibitiwa kuna uwezekano wa kusambaa katika nchi nyingine za Afrika Mashariki. Wimbi kubwa la nzige walionekana...
  19. Kafrican

    Kismayo Somalia, Asante KDF!

    Kuna mwengi ambayo miji miengine ya Kusini na kati ya Somalia yanaweza yakajifunza kutokana na maendele ya mji mkuu wa Kismayu ambao ndo mji wa Mkubwa Somalia baada ya Mogadishu. Wakati miji miengine ya Somalia ikiwemo Mogadishu inakumbwa na mashambulizi makubwa mara kwa mara, Kwa miaka saba...
Back
Top Bottom