somalia

  1. L

    Bidhaa za China Zapata Umaarufu Katika Maduka Nchini Somalia na Kuchochea Ujasiriamali kwa Vijana

    Mjini Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, bidhaa za China hazijadhibitiwi tu kwenye maduka halisi, kwani zinaonekana kwa wingi katika skrini za simu za mkononi, zikijaza vikapu vya manunuzi, na kupelekwa moja kwa moja mlangoni kwa wateja kupitia mtandao unaoendelea kupanuka wa maduka ya mtandaoni...
  2. Traxtion

    Tanzania na Somalia makubaliano ya ziara bila visa

    Somalia na Tanzania wamesaini makubaliano ya uhamiaji yanayoruhusu raia wa nchi hizo mbili kuingia nchini bila ya viza na pia kupata viza wanapowasili, hatua inayotarajiwa kuimarisha biashara, utalii, na masuala ya elimu. Makubaliano hayo yalitiwa saini na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Somalia...
  3. Cute Wife

    Wapiganaji 5 wa ISIS raia wa Tanzania wakamatwa kwenye operesheni ya ugaidi Puntland, Somalia

    Serikali ya Jimbo la Puntland imetoa picha na maelezo rasmi yanayowaonyesha makumi ya wapiganaji wa kigeni wa kundi la Islamic State (ISIS-Somalia) waliokamatwa wakati wa operesheni ya kupambana na ugaidi inayoendelea katika safu ya milima ya Calmiskaad (Al-Miskad) kwenye Milima ya Golis. Kwa...
  4. JanguKamaJangu

    Donald Trump: Somalia is not even a country. They don't have anything that resembles a country

    “Somalia is not even a country. They don't have anything that resembles a country.” ⁠ .⁠ US President Donald Trump, speaking at the White House a year after his return to office, singled out what he called the “criminal illegal aliens” his administration is arresting in Minnesota and elsewhere...
  5. Etwege

    Somalia yafuta mikataba yote ya bandari iliyoingia na UAE

    Serikali ya Somalia imesema imefuta makubaliano yote iliyoingia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ikitaja kile ilichokiita tabia ya umoja huo kudhoofisha uhuru na umoja wa nchi hiyo. Taarifa ya kufutwa kwa mikataba hiyo iliyotolewa leo Jumatatu Januari 13, 2026, inagusa mikataba na...
  6. Just Pray

    Somalia yakatiza uhusiano wa kidiplomasia na Umoja wa Falme za Kiarabu

    Somalia imetangaza kukatiza uhusiano na Umoja wa Falme za Kiarabu, na kufuta makubaliano yote ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Katika taarifa iliyotolewa baada ya kikao cha baraza la mawaziri siku ya Jumatatu, Baraza la Mawaziri limesema kuwa limebatilisha mikataba yote iliyofikiwa na...
  7. Genius Man

    Kwa kitendo hiki cha kigaidi kilichofanywa na Polisi, Tanzania lmekuwa zaidi ya Somalia

    Tanzania lmekuwa zaidi ya somalia na al shabab hebu fikiria watu wanateka hadi maiti hospital sijawai kuona ugaidi kama huu hapo kwanza. Mimi sijawai kuona kikundi cha kigaidi kikiteka maiti hospital, kwa taarifa za kuaminika police walipeka maiti hospital October 29 kisha wakaziteka na...
  8. Fbn

    Kuna siku Somalia itakuja kuwa nchi ya amani na Tanzania kuwa Somalia ya zamani

    Kwa haya matukio na wakizidi kutawala kwa mkono wa chuma. Najaribu kuwaza kwa jinsi wanavyofanya matendo ya ovyo wakijichia jina la AMANI. Kibaya zaidi hawa somi alama za nyakati kuwa vipofu wanaokula nao wamewashika kwenye steji ngumu na watakuja kutoa maamuzi hatari.
  9. kagoshima

    Tanzania sasa ni zaidi ya somalia

    Huko Mwanza kuna taarifa watekaji wameteka familia ikiwemo watoto miaka mitano baada ya kumkosa mlengwa mamayao
  10. L

    Maonesho ya Picha za Kihistoria ya "Pamoja Tunasafiri, Urafiki Wetu Unadumu” Yasawiri uhusiano wa Miaka 65 wa Somalia na China

    Uhusiano kati ya Somalia na China ulioanza tangu enzi na dahari sasa unaendelea kukita mizizi yake zaidi kwenye nchi hizi mbili. Kupitia maonesho ya picha yaliyozinduliwa hivi karibuni na balozi wa Somalia nchini China Hodan Osman Abdi ambayo yamepewa jina la "Pamoja Tunasafiri, Urafiki Wetu...
  11. S

    MTanzania Badru Hamisi apandishwa kwenye mahakama ya kijeshi nchini Somalia.

    Kuna Mtanzania amekamatwa somalia kwa tuhuma ya kujihusisha na kundi la Al shabaab.Amepandishwa kwenye mahakama ya kijeshi siku ya jana na endapo mahakama ikijirizisha ndugu yetu huyu huenda atapewa adhabu ya kuuliwa.
  12. R

    Askari wawili wahukumiwa kifo kwa kupanga njama na magaidi wa Al Shabab kumuua kamanda kikosi, Somalia

    Mahakama ya kijeshi mjini Mogadishu imewahukumu kifo askari wawili wa Somalia waliopatikana na hatia ya kushirikiana na kundi la kigaidi la Al Shabab kupanga mauaji ya kamanda wao wa kikosi. Hukumu ya kifo ilitolewa Agosti baada ya askari hao kutiwa hatiani kwa mauaji ya Kamanda Aided Mohamed...
  13. U

    General Mohamed Siad Barre, the last President of a unified Somalia

    General Mohamed Siad Barre, the last President of a unified Somalia When he was ousted in a coup by several warlords whose public face was General Mohamed Farah Aideed, Siad Barre escaped to Kenya where he stayed at the Safari Park Hotel for about two months, reportedly incurring expenses...
  14. R

    Helikopta ya kijeshi ya Uganda iliyokuwa Somalia yaanguka Mogadishu, na kuua watu 5

    Helikopta ya kijeshi ya Uganda iliyokuwa kwenye operesheni ya Kikosi cha Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia imeanguka katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mogadishu siku ya leo Juni 02, 2025 na kuua watu watano waliokuwemo ndani, kwa mujibu wa msemaji wa jeshi la Uganda, Felix Kulayigye...
  15. R

    Wanajeshi saba wa Uganda katika kikosi cha Umoja wa Mataifa wameuawa na Al-Shabaab nchini Somalia

    Hayo yameelezwa Jumapili Juni 22, 2025 na msemaji wa jeshi la nchi hiyo ya Afrika Mashariki Felix Kulayigye. Wanajeshi hao walikuwa sehemu ya Kikosi cha Umoja wa Mataifa Kusaidia Kuleta Utulivu nchini Somalia (AUSSOM) na kilichopewa jukumu la kupambana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab na...
  16. MK254

    Anayeshukiwa kuwa Al-Shabaab ajilipua bomu na kufa na watu huko Somalia

    Yaani jamaa huwa wamejazwa ilmu ya dini, sio mchezo, mpaka mtu anaamua kujilipua...... Asuspected al-Shabab suicide bomber killed several people and wounded others Sunday in an attack on a military recruitment center in southern Mogadishu, Somali authorities and witnesses said. The assailant...
  17. W

    FALSE Viral image of Burning Cars Is Not from Laascaanood, Somalia

    "A Powerful Explosion Recently Shook Laascaanood, Leaving Deaths and Injuries Reported at the City Hospital"
  18. Fbn

    Sheikh Mwaipopo anakwambia Somalia wale sio waislamu, kama ndio uislamu wenyewe basi kajionea

    Kuna video hipo youtube akisimulia kuhusu alivyo kwenda somalia kuhubiri dini. Roho za watu zimejivisha dini lakini sivyo ndivyo anavyo sema. Anasimulia alivyo tekwa na al shabab wakamwambia ubaki na ujitolee kusalisha ila mwenzake alimtonya kuwa ukisema mema watatumaliza. Ilibidi kuanza...
  19. S

    Ghadhabu nchini Somalia baada ya mwanamume kukiri kuwa alioa mtoto wa miaka minane

    Kuna hisisa za Ghadhabu nchini Somalia baada ya mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane, ambaye alikuwa ametoweka kwa miezi sita, kupatikana akiishi na mwanamume aliyesema kuwa ni mumewe. Msichana huyo aliripotiwa kutoweka na familia yake katika eneo lililojitangazia uhuru wake la Puntland...
Back
Top Bottom