kagoshima JF-Expert Member Joined Dec 31, 2015 Posts 3,457 Reaction score 6,730 Dec 9, 2025 #1 Huko Mwanza kuna taarifa watekaji wameteka familia ikiwemo watoto miaka mitano baada ya kumkosa mlengwa mamayao
Huko Mwanza kuna taarifa watekaji wameteka familia ikiwemo watoto miaka mitano baada ya kumkosa mlengwa mamayao
secretarybird JF-Expert Member Joined Aug 22, 2024 Posts 21,617 Reaction score 44,494 Dec 9, 2025 #2 🤔🤔🤔
Rocky City JF-Expert Member Joined Nov 22, 2017 Posts 1,011 Reaction score 811 Dec 9, 2025 #3 Huu ni ujinga wa hari juu sana,yani Tanzania tunahitaji kupata rais atakaye kuwa na nguvu ya kukemea haya mambo
Huu ni ujinga wa hari juu sana,yani Tanzania tunahitaji kupata rais atakaye kuwa na nguvu ya kukemea haya mambo
K KERATO MOMBAA JF-Expert Member Joined Feb 4, 2025 Posts 4,388 Reaction score 5,900 Dec 9, 2025 #4 Acha upumbavu na upotoshaji! Mwanza wapi? Baada ya kukosa mlichokuwa mnakitafuta sasa mnaanza kubwabwaja? Hzo hela mlizokula ili mvuruge mtazitapika
Acha upumbavu na upotoshaji! Mwanza wapi? Baada ya kukosa mlichokuwa mnakitafuta sasa mnaanza kubwabwaja? Hzo hela mlizokula ili mvuruge mtazitapika
kagoshima JF-Expert Member Joined Dec 31, 2015 Posts 3,457 Reaction score 6,730 Dec 10, 2025 Thread starter #5 KERATO MOMBAA said: Acha upumbavu na upotoshaji! Mwanza wapi? Baada ya kukosa mlichokuwa mnakitafuta sasa mnaanza kubwabwaja? Hzo hela mlizokula ili mvuruge mtazitapika Click to expand... We ndo ngombe babu.
KERATO MOMBAA said: Acha upumbavu na upotoshaji! Mwanza wapi? Baada ya kukosa mlichokuwa mnakitafuta sasa mnaanza kubwabwaja? Hzo hela mlizokula ili mvuruge mtazitapika Click to expand... We ndo ngombe babu.
BLACKTIGER JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 4,897 Reaction score 8,060 Dec 10, 2025 #6 Kwasasa hayo mambo ni kawaida hapa Tz serikali ime bless Jana wamenikosa kosa kdogo tu pimbi hawa!