#NDOTO: 14
SOKO LA KIVULI
Nilijikuta nimesimama kwenye soko lisilo la kawaida—kila mtu aliyekuwa pale alikuwa kivuli, si mtu kamili. Waliuza vitu visivyoonekana: mtu mmoja aliuza “heshima,” mwingine “wakati na familia,” mwingine “msamaha ,” na mwingine “amani ya moyo.”
Mwanamke mmoja mwenye...