soka

Mchezo wa mpira wa miguu.
  1. GENTAMYCINE

    Marefa wa Tanzania na Wasaidizi wenu mpaka siku mkifa kwa kupigwa vibaya Viwanjani ndiyo mtajua kuchezesha Soka kwa Haki na siyo Chuki na Maagizo

    Hivi sheria gani ya Soka ambayo FIFA pia wanaitambua isemayo Kona ikiwa inapigwa huku Mabeki Wawili wakiwa katika Milingoti halafu Mchezaji wa Timu Pinzani akatokea mbali na Kuruka hadi Kufunga zuri ni Kuotea? TFF, Bodi ya Ligi na Chama cha Waamuzi nchini Tanzania endeleeni tu Kuulea huu Upuuzi...
  2. Fohadi

    Hivi Tanzania kuna wachambuzi wa soka au wafata upepo?

    Nimeingia getto muda sio mrefu, nikaona ngoja niweke mawingu fm nisikilize michezo extra..Nakuta ndo kwanza kipindi kinaanza...Moja ya mechi walioiongelea ni game ya Namungo na Raja casablanca na Namungo amepigwa sijajua goli ngapi. Hoja za wachambuzi wa mawingu fm wanasema NAMUNGO imebebwa na...
  3. Fohadi

    Suala la Mugalu imenifanya nigundue jinsi gani wachambuzi wengi wa soka Bongo ni bendera fata upepo

    Mimi ni shabiki wa mpira na mpira ninaujua kwa kuutazama na kuucheza uwanjani. Haiitaji elimu kubwa kugundua kuwa Chris Mugalu hafai na hastahili kuanza kikosi cha kwanza kulingana na kiwango chake hasa uwezo wake wa kufunga. Bahati nzuri kwake ni kuwa udhaifu wake unafichwa na ubora wa timu...
  4. Erythrocyte

    Mapendekezo ya kuisaidia Yanga kuinua kiwango chao cha soka yanahitajika

    Tunawaomba wadau wa soka wote wa ndani na nje ya nchi kuisaidia timu ya Yanga katika kipindi chake kigumu inachopitia , timu hii kiukweli haikuwa na kocha , Kaze hakuwa kocha , hajui chochote kuhusu soka na sidhani kama alifurahia kazi aliyopewa . Tunawaomba wapenda soka hata kwa gharama zenu...
  5. Erythrocyte

    Ufalme wa Celtic kwenye soka la Scotland umemalizika rasmi

    Hii ni baada ya Rangers kutwaa ubingwa wa nchi hiyo hapo Jana. === Rangers have been crowned Scottish Premiership champions, removing Celtic’s vice-like grip on the trophy at the 10th time of asking. Celtic’s 0-0 draw at Dundee United, following the 3-0 victory for Steven Gerrard’s side over St...
  6. Shadida Salum

    Ligi kuu soka Tanzania bara yarejea

    Baada ya kusimama kwa muda ligi kuu soka Tanzania bara inarejea tena hiyo kesho tarehe 11 Februari, ambapo mchezo wa awali utakaopigwa saa 8: 00 mchana, utaikutanisha Kagera sugar dhidi ya Gwambina. Na baadaye Coastal union atamenyana na Azam Fc majira ya saa 10:00 jioni. Ijumaa ya tarehe 12...
  7. Shadida Salum

    Mfahamu mcheza soka aliyesimamisha mapigano kwa saa 48

    Pelé, ambaye jina lake halisi ni Edson Arantes do Nascimento, (alizaliwa Oktoba 23, 1940, Três Corações, Brazil), alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu wa Brazil, wakati wake labda ndiye mwamichezo maarufu zaidi na labda anayelipwa zaidi duniani kwa wakati ule. Alikuwa sehemu ya timu ya taifa ya...
  8. Erythrocyte

    Kwenye soka kutumia nguvu nyingi bila akili ni sawa na bure , Cameroon wanadhalilishwa nyumbani kwao

    Mpaka muda huu wamekwisha tandikwa magoli 4 kwa nunge nyumbani kwao , Magoli yanaweza kuongezeka hadi kuvunja rekodi ya Southampton . Aibu kubwa sana !
  9. Kipenzi Changu

    De La Boss Haji Manara-Star Mkubwa kuwahi kutokea katika soka

    Afisa habari wa Simba SC Haji Manara maarufu kama De La Boss ni moja kati ya watu maarufu sana katika michezo kwa sasa. Haji sio tu ni maarufu katika michezo bali ametokea katika familia ya mpira, kingine kilichomfanya Haji Manara kuwa maarufu sana ni hali yake ya kujiamini zaidi ukilinganisha...
  10. M

    Upuuzi huu usiovumilika na uliovuka Kiwango unapatikana katika Soka la Tanzania tu duniani kote

    Kaimu Kocha wa Simba SC Selemani Matola mara baada ya Michuano ya Mapinduzi Cup alipohojiwa na Press alisema kuwa amewapa Wachezaji likizo mpaka Ijumaa ya Wiki hii (22 January 2021) kisha watarejea Mazoezini upesi sana ili kujiandaa kikamilifu kabisa na Michezo Klabu Bingwa ambayo inaanza mapema...
  11. Fohadi

    Nani mkali Ally Kamwe vs George Ambangile?

    Vijana wawili wanaokuja juu katika sekta ya uchambuzi wa soka nchini. Wote wamebahatika na wanafanya kazi katika taasisi ambazo ni miongoni mwa brand kubwa ukizungumzia nyanja ya michezo na habari kwa ujumla hapa nchini. Napenda sana kuwasoma na kuwasikiliza lakini hadi leo sijaweza...
  12. S

    Aliyoyasema Amri Kiemba ni madai mazito na hatari kwa soka letu, yachunguzwe

    Jana saa tatu usiku katika kipindi cha Sports Roundup kinachorushwa na Clouds FM, mchezaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga ambaye siku hizi ni mchambuzi wa soka, Amri Kiemba alitoa madai mazito, ya kushtusha na yenye sura ya kijinai yanayoendelea kwenye soka letu Kiemba alisema makocha...
  13. May Day

    Hivi kwanini hatuwawezi Uganda kwenye soka?

    Tangu niliposikia tumeingia fainali ya under 17 na Uganda nilijua tuna nafasi ya asilimia 30 tu za kushinda, na kweli tumebamizwa 3 na hii ni baada ya juzi juzi tena kupoteza fainali nyingine kwa hawa hawa Waganda. Hata ile fainali ya kufuzu Afcon ni wazi tulipewa tu na Uganda kwa ujirani mwema...
  14. M

    Wachambuzi wa soka wa Kitanzania na Simba

    Wakuuu Habari za wkend, Kuna hili suala la Wachezaji wanaokaa Benchi pale Simba yaani Akina Ajibu, Ndemla, Morrison, Gadiel nk nk Lakini kule Yanga napo kuna akina Zawadi Mauya, Ninja, Wazir Junior, Boxer nk nk. Kwanini Wachambuzi wa Soka wanaumizwa na kukereketwa saana na kuwasema zaidi...
  15. Infantry Soldier

    Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimejaa Afrika na hatufanyi maajabu?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimeja sana Afrika na hatufanyi maajabu? Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanaume ya...
  16. Fohadi

    Kuhusu suala la Kagere, Kaduguda umetuachia maswali yasiyo na majibu

    Nilikuwa namsikiliza katika kipindi cha sports arena Mwina Kaduguda akizungumza kuhusu swala la Meddie Kagere kupata nafasi hafifu ya kucheza kwa siku za hivi karibuni. Mashabiki wamekuwa wakilalamika inakuwaje the best striker anakosa nafasi katika kikosi. Point kubwa aliyoizungumza ni Afya ya...
  17. U

    Kigogo Mkubwa Wa Timu Ya Soka Ya Simba Aamua Kuachana Na Ubachelor Kwa Kufunga Ndoa Takatifu

    Hongera Sana Kigogo na msemaji wa Simba Kamarada Haji Manara
  18. Mwita Mtu Mrefu

    Je, nina haki gani katika hili jambo wana JF?

    Habari za majukumu wana JF! naomba msaada wa kisheria nini hasa cha kufanya. Jana mida ya saa tano asubuhi, nilipokea sms kutoka vodacom ikiniambia kwamba kuna jambo kubwa sana la kisoka litatokea kesho (yani leo), mechi ya simba na plateau united watacheza. niliiamini sana hio sms ya vodacom...
  19. Samia atosha tukutane2030

    Kwenye soka tunapoongelea vilabu utaifa hauhusiki. Mutuache wanayanga tuwashabikie Plateau.

    Simba mnatia huruma sana. Mnataka tuwape baraka, tuwashangilie then mkishinda muanze kututukana na kutuita majina ya ajabu! Jana tumewapokea kwa kishindo Plateau na leo tutakwenda uwanjani kuwashangilia. Mbona mnapokwenda Iringa kucheza na Lipuli hamshangai kuona Wana Iringa wakiwageuka wenzao...
  20. N'yadikwa

    Azam tunapenda muwe mnatuonesha matukio ya kimichezo ya live mbali na soka k.v. Marathoni na Jogging

    Nikiangalia televisheni za wenzetu za michezo hasa za super sport wenzetu huonyesha Marathon mbalimbali kwenye miji lakini hapa kwetu Azam kupitia chaneli zake imekuwa ikijikita zaidi kwenye soka na kidogo siku za karibuni wamekuwa wakituonyesha masumbwi. USHAURI WANGU KWENU Hizi jogging na...
Back
Top Bottom