Jumatatu iliyopita Wabunge ambao waliripotiwa kuwa ni mashabiki was Yanga waliingia Bungeni wakiwa na bashsha
Bila kuficha furaha yao walinyoosh vidole vyo juu wakiashiria kufurahia kipigo ilichokipata Simba mbele ya Kaiser ya Afrika kussini.
Nilijiuliza maswali mengi kwa tukio like lissilo rassmi ndanibya Binge.
Huu ni utani wa aina gani huu, mnona kama umepitiliza.
Nafikri utani no kitu Cha kawaaid lakini Aina hii ya utani ...umepitiliza.
Kwangu Mimi ni kielelezo Cha kukosa Uzalendo.
Yukiendelea hivi siku moja tutamkuta Rais yupo Taifa anashangilia Gor Mahia ikicheza na Yanga.
Hio sio kitu kingine ni ujuha!
Bila kuficha furaha yao walinyoosh vidole vyo juu wakiashiria kufurahia kipigo ilichokipata Simba mbele ya Kaiser ya Afrika kussini.
Nilijiuliza maswali mengi kwa tukio like lissilo rassmi ndanibya Binge.
Huu ni utani wa aina gani huu, mnona kama umepitiliza.
Nafikri utani no kitu Cha kawaaid lakini Aina hii ya utani ...umepitiliza.
Kwangu Mimi ni kielelezo Cha kukosa Uzalendo.
Yukiendelea hivi siku moja tutamkuta Rais yupo Taifa anashangilia Gor Mahia ikicheza na Yanga.
Hio sio kitu kingine ni ujuha!