social media

  1. JamiiForums Tanzania Hongera waziri Katambi wimbi la watukanaji kwenye social media limeanza kupungua

    Mwenendo wa wanaotukana badala ya kujenga hoja kwenye mijadala katika mitandao ya kijamii limeanza kupungua.Naamini waliokuwa wanafanya hivyo wengi wao hawakuwa Raia wa Tanzania na walikuwa na nia ya kuambukiza tabia chafu ya kutokujali kwa watanzania wenye ustaarabu na heshima.
  2. JamiiForums Tanzania I can't prove, but I believe there is no such thing as powerful as Social Media

    Everyone is there!
  3. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Social media posts protected by copyright, High court rules

    The Commercial Division of the High court has ruled that original content published on social media is protected by copyright, in a decision expected to shape how journalists and media organisations use online content. In a landmark judgment delivered on July 27, Justice Dr Ginamia Melody...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wazungu vs watu weusi in social media

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya sisi watu weusi especially tunavyotumia social social media na wenzetu . hilo group lipo USA na angalia post za mtu anatka msaada anavyoandika jamii forum. wazungu sio kama wana akili sana ila community zao zinafanya mtu anajua kujielezea na fanya watu waweze...
  5. JamiiForums Tanzania Je biashara yako ina social media accounts lakini hazileti wateja?

    Je, Biashara Yako Ina Social Media Accounts Lakini Hazileti Wateja? Au upo busy na unahitaji mtu wa kukusaidia kumanage social media accounts zako?? Habari wakuu, Leo kuwa na Instagram, Facebook, TikTok au LinkedIn account pekee haitoshi. Kinachotofautisha biashara zinazokua na zinazobaki...
  6. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Citizen TV Journalist Emmanuel Ndung’u's Social Media Post Sparks Action on Road Repairs

    Social media has once again demonstrated its power in holding leaders and public institutions accountable. A resident's videos documenting several potholes along a busy urban road attracted significant public attention online, sparking widespread discussion and criticism over the poor state of...
  7. JamiiForums Tanzania Online wars kwenye social media dhidi ya watu wa mataifa mbalimbali ni nyingi sana

    Baada ya kutumia social media nimeona comments nyingi sana za chuki baina ya mataifa For example kukiwa na topic yoyote ile inayosifia Tanzania, utaona a lot of negative comments za Wakenya. Watanzania ni mara chache sana kukuta wanacomment negatively kwenye posts za Kenya. Zaidi utawakuta...
  8. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Social Media And Spread Of Misinformation

    The Utumishi Girls fire tragedy is a case study on misinformation... There are reports circulating online about the door being locked from inside... That the door was locked by students... That the door was locked from outside by the matron. That there were two doors. That the matron only...
  9. JamiiForums Tanzania Magufuli miezi michache kabla ya kufariki kuliundwa social media kwa account na watu teyari ambao ukiweka dot to dot unaelewa huu ulikuwa mpango ndani

    Watanzania tujifunze forensics ya kuunga mambo kiundani. Hata balozi Polepole naona kama angekuwa nchi za nje tungejua mengi ila ndio hivo sababu ya kuwa cheguvara kwa nchi yake. Hapa kuna fail sitaki kuweka ripoti yao ila ni taifa kubwa na wanawachora siku wakitaka kuwatumia wanaanza...
  10. JamiiForums Tanzania Viral News: AirPeace Faces Concerns Over The Rise Of Social Media Demarketing And Its Impact On Brand Perception

    AN OPEN LETTER TO ALL NIGERIANS: LET US PROTECT OUR NATIONAL PRIDE – AIRPEACE My dear fellow Nigerians, I write this not as a distant observer, but as a proud son of the soil, a patriotic Nigerian who has travelled the length and breadth of our great country and beyond, and as a loyal...
  11. JamiiForums Tanzania Zimbabwe Influencer Cash Giveaway Sparks Debate on Wealth, Inequality, and Social Media Culture

    A viral cash giveaway by Zimbabwean social media personality Tinotenda Tungwarara has sparked debate after she posted a video inviting the public to search for US$500 hidden around a major interchange in Harare. The money was reportedly split into five separate US$100 hiding spots, with clues...
  12. JamiiForums Tanzania Kuweka uso/face/ sura ya/wa mtoto kwenye social media. Nini madhara yake

    Hii tabia ya kuwaweka watoto wadogo kwenye mitandao ya kijamii(social media) Facebook Instagram nk nk hii ni tabia mbaya sana. Ni kawaida kuwaonyesha watu damu zetu, uzur wetu lakini sio sawa. Yeyote aliyemuweka mwanae kwenye hii mitandao, na hata Whatsapp mnawekwa sio busara. Ule uzao wako...
  13. JamiiForums Tanzania Jinsi social media zinavyopunguza thinking capacity kwa vijana

    Social media imekuwa sehemu kubwa ya maisha ya kila siku ya vijana. Platforms kama Facebook, Instagram, TikTok, X, na YouTube zimeleta faida nyingi kama elimu, mawasiliano, na biashara. Lakini pia zimeanza kuleta changamoto kubwa sana kwenye thinking system (mfumo wa kufikiri) wa vijana...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Court Orders Influencer to Surrender Social Media Accounts Despite Lack of Evidence

    DAR ES SALAAM – In a ruling handed down yesterday, the District Court of Temeke has ordered social media influencer Clemence Kenan Mwandambo to surrender all his social media accounts and report to the police monthly for a year, despite prosecutors admitting they possess insufficient evidence to...
  15. JamiiForums Tanzania Ushawahi kupigwa ban na WhatsApp bila sababu ya msingi?

    Hii December nimepigwa ban mara sita Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban Kurud hiv vitu vikawa vinarecover Kutuma text kidogo ti ban Ban ban Christmas ban Je wewe hii hali ishawahi kukutokea? Ni...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi za kwenye idara ya procurement, lakini pia nina ujuzi kwenye ulimwengu wa social media na naongea kiingereza vizuri

    Habari wakuu Nimekuja kwenu kuomba yeyote mwenye kazi au connection ya kazi anisaidie. Sifa zangu Jinsia: Me Umri: 28 Eneo: Dar es salaam Elimu: Bachelor’s Degree in Procurement and Logistics Management Naonngea kiingereza vizuri sana Kazi ninazoweza kufanya kutokana na taaluma yangu ni idara...
  17. JamiiForums Tanzania Tanzania Silences Social Media Ahead of October 29 Elections to Curb Youth Protests

    The Tanzanian government has imposed sweeping internet restrictions on major social media platforms, effectively blocking access to TikTok, Instagram Live, X (formerly Twitter), and local forums in a calculated move to disrupt online youth mobilization on the eve of tomorrow’s general elections...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Tanzania Police Force has Deployed Over 4,000 Police Officers to Educate Public on Responsible Social Media Use

    The Tanzania Police Force, through its spokesperson, the Deputy Commissioner of Police (DCP) David Misime, has revealed the deployment of more than 3,900 officers across Mainland Tanzania and 388 in Zanzibar to conduct public education on the responsible use of social media Speaking to the...
  19. JamiiForums Tanzania Mtalii aliyejaribu kukosoa safari yake ya kitalii Kenya amepokea backlash kubwa sana kwenye social media

    Kuna mtalii alikuja Africa (specfically Kenya) kuja kutalii wanyama kisha akapost video mtandaoni kuonesha kuwa hajavutiwa na safari hiyo. Kwamba no overrated Matokeo yake anepokea backlash kubwa mno kutoka kwa social media Angalia hapa, everything is in the pictures
  20. JamiiForums Tanzania Jinsi Social Media Inavyochangia Tech Culture Tanzania

    Yo, wadau wa tech! Social media imekuwa kama nguvu kubwa kwa ukuaji wa tech ecosystem hapa Tanzania, na leo tunaangalia jinsi platforms kama JamiiForums, X, Instagram, LinkedIn, WhatsApp, YouTube, na TikTok zinavyobring tech enthusiasts pamoja, kushare knowledge, na kushare events za tech. From...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…