Sitaki kuamini kua mkeka huu unachanika!

Sitaki kuamini kua mkeka huu unachanika!

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,681
Reaction score
5,162
Screenshot_20251225-211931.jpg

Vipi tuendelee kusikilizia? Au ni cash out?
Yaani timu moja tu ya mwishooni inachana mkeka!!
 
Kwa hali hii mbona kama huu mkeka unachanika hivi,sema let's wait and see
 
Cashout kama inalipa, toa pesa yako kaka.Sema mbona mkeka bado huko active tu.Ukiwa na subra huu mkeka unachance ya 80% win
 
Nimekuja kugundua, watu wengi tunashindwa kutimiza malengo na ndoto zetu kwa sababu tunategemea FATE Ndo ituamlie badala ya CAUSE AND EFFECT.

kwa ufupi ni WISHFUL THINKING vs CAUSE AND EFFECT.

Tukitaka matokeo fulani ni lazima tuyasababishe sisi wenyewe sio kuombea yatokee by default
 
Nimekuja kugundua, watu wengi tunashindwa kutimiza malengo na ndoto zetu kwa sababu tunategemea FATE Ndo ituamlie badala ya CAUSE AND EFFECT.

kwa ufupi ni WISHFUL THINKING vs CAUSE AND EFFECT.

Tukitaka matokeo fulani ni lazima tuyasababishe sisi wenyewe sio kuombea yatokee by default
Akili kubwa kunywa bia nakuja kulipa
 
Back
Top Bottom