single

A single parent is a person who lives with a child or children and who does not have a spouse or live-in partner. Reasons for becoming a single parent include divorce, break-up, abandonment, death of the other parent, childbirth by a single person or single-person adoption. A single parent family is a family with children that is headed by a single parent.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wangu kama 'Stepfather' baada ya kuwa na Single mother

    Mimi ni mdau katika jamii ya wapambanaji, mjasiriamali ile mbaya. Hata hivyo, kwa sasa naona kama nakata tamaa baada ya kukutana na mama mmoja hivi. Kiukweli, nilishawahi kumiliki biashara ndogo ndogo kama vile migahwa, duka, na baa. Bila kusahau ufugaji wa kuku wa kienyeji na broiler—hapa...
  2. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnakutana Leo, Mnafanya Ngono Kesho, Halafu unataka akuoe akuoe? Helo Single Mothers, Hamjajifunza?

    Binafsi kuna jambo linanishangaza. Mtu alipitia maumivu ya kuachwa na mzigo wa kulea mtoto peke yake, lakini bado anakutana na mwanaume leo, kesho tayari wanafanya ngono. Je, kweli hapo kuna somo amejifunza? Ngono hata Kwa kinga hapana hapana. Kwangu mimi, ngono si jambo jepesi. Siwezi kukutana...
  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Single mother wote wakiingia kwenye mahusiano mapya huwa hawawaongelei vizuri wazazi wenzao. Hauwezi kusikia anasema "baba mtoto yupo anampenda na kumjali sana mwanae" . Mara zote utasikia "hata sijui yupo wapi. Atajua mwenyewe na maisha yake" Do you think that's coincidence? no, it's a...
  4. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii chuki dhidi ya ‘Single Mothers’ Inaweza Kubadilisha Mfumo wa Mahusiano ya hawa Gen Z wakagoma kabisa kushika mimba mpaka ndoa

    ni kweli vijana wengi wa sasa hawataki kuoa single mothers, hamuoni kwamba hali hiyo inaweza kuwafanya mabinti wa Gen Z ambao ndo wengi bado hawajazaa kuwa waangalifu kupita kiasi kuhusu kupata mtoto kabla ya ndoa? Msichana akiona kwamba dada zake waliizaa halafu wakaachwa soko linapungua...
  5. JamiiForums Tanzania Wimbi la ‘single mothers’, wa kulaumiwa zaidi ni Wazazi na Serikali

    Siku za hivi karibuni single mothers wamekuwa wakilaumiwa, kukejiliwa na kurushiwa maneno mengi ila ukweli ni kwamba wao ni matokeo tu na sio sahihi kuwananga wao badala ya kuangalia chanzo. Ukweli ni kwamba chanzo kikubwa cha single mothers ni wazazi kushindwa kuwahudumia watoto wao wa kike na...
  6. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single maza si wa kuoa

    Mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuoa single maza Single maza wapo kwa ajili ya wanaume mabwege wajinga wajingwa wasiojitambua tu, ila kwa mwanaume anafahamu uanaume ni nini hawezi kuoa single maza kamwe!.
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huko maofisini wadada wengi ni single mama, hali ni mbaya

    Huko maofisini wadada wengi ni masingle mama. Nazungumzia hawa madada wanaojiita “corporate dadaz” Wengi wao wamezalishwa na kuachwa na wanaume wakilea watoti wao wenyewe. Hali inazidi kuwa mbaya, idadi hii inaongezeka siku hadi siku. Lazma wakubali kuna tatizo sehemu. Je tatizi hilo ni lipi?
  8. JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    SINGLE MOTHERS WANAHAKI YA KUWASILIANA NA WAZAZI WENZA. KAMA HUTAKI UNGEOA ASIYE NA WATOTO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Huyo mwanamke sio Wako peke yako. Hilo lifahamu. Sio wako peke yako kwa sababu ana mtoto na mwanaume mwingine. 2. Kabla yako alikuwepo mwanaume mwingine ambaye...
  9. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanangu usiniletee single maza

    Habari Wana JF Mwanangu usiniletee single maza🙏 Hii nikauli iliyotoka kwenye kunywa Cha baba yangu nilipomueleza kua nataka kuoaa. Ipo hivi nilipata kazi mwanza miaka miwili iliyopita na katika harakati za kazi nilikutana na bint aliezalishwa mtoto mmoja,tulikua marafiki na meishowe tuliingia...
  10. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mamaake ni Single Mother lakini kamkataza asioe Single Mother

    MAMAAKE NI SINGLE MOTHER LAKINI KAMKATAZA ASIOE SINGLE MOTHER. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Rafiki Yangu wa shule(A'Level) na chuo kikuu amenipigia akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa. 2. Kitabia ni Mpole, sio mtu wa maneno mengi. Mtu wa Amani, asiyetaka vuruguvurugu. Sio mtu wa...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimezama kwenye mapenzi na single mother

    Wadau natumai mko poa kabisa na wale wagonjwa wote Mungu awape uponyaji. Kufupisha habari mimi ni kijana ambaye nipo kwenye 3rd floor agewise kipindi bado nasoma sikuwa mtu wa mademu sana mara nyingi watu waliniita baba paroko au kwa sasa church boy. Najuta kwanini nimejitunza miaka yote 10...
  12. JamiiForums Tanzania Wazo la kuanzisha kituo cha kulea watoto wa single mother ili kuwapatia malezi ya baba ambayo wameyakosa kwa muda mrefu

    Kituo kitapokea watoto wote wasiokuwa na baba au wasioshi na baba zao kutokana na migogoro ya kifamilia tumepqnga kutatua changamoto ya kimalezi ili kunusuru maadili ya taifa ili kwa kuwapatia malezi ya baba ambayo wameyakosa kwa muda mrefu kwaio sisi tutaitwa baba zao walezi. Kwanini wazo...
  13. JamiiForums Tanzania Nimesikiliza wimbo wa rockabye(2016) wa clean bandit sikuwai jua kumbe unaongelea Suala la Single mother

    Call it love and devotion Call it the mom's adoration (foundation) A special bond of creation, hah For all the single moms out there Going through frustration Clean Bandit, Sean-Da-Paul, Anne-Marie, sing, make them hear She works the night by the water She's gone astray, so far away from her...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siamini Mwanaume wa 30+ and succesful kama yupo single

    Wakuu habari, Nimekuwa nikijadili hili jambo na rafiki yangu mmoja hadi akaniita 'Toxic' kwamba sifai Wakati nipo kwenye umri wa 20+ ilikuwa nikitongozwa na mwanaume wa umri wa 30+ na ameshafanikiwa yaani ka-settle tayari ana kila kitu kinachoitajika kwenye maisha ikiwa ni nyumba, gari...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Single mother ananing'ang'ania

    Habari wana jamii, Mimi ni mume wa mke mmoja na kutokana mambo ya kazi Sikai na familia yangu mkoa mmoja hapo ni mikoa ya jirani kidogo kama mwendo wa masaa manne kwenda. Maisha haya nimeyaanza muda kidogo tangu 2022 lakini nimekuwa nikijaribu kujicontrol kuepuka vishawishi vya kuingia kwenye...
  16. 0

    JamiiForums Tanzania Nahitaji subwoofer (10 inch)- single voice coil

    Habari wadau wa audio. Natafuta Subwoofer ya inchi 10 (Used/Mitumba) kwa ajili ya DIY project yangu ya chumbani. Target yangu ni kupata Quality Bass kwa ajili ya RnB na Trap (Tight bass, siyo kelele). Sifa ninazotafuta: ✅ Size: 10 Inch ✅ Impedance: 4 Ohms (Preferably) ✅ Aina: Single Voice Coil...
  17. JamiiForums Tanzania Familia yangu imenitenga kisa ninataka kuoa single mom

    Habari zenu wakuu! Mimi nina miaka 27 na baada ya kelele nyingi za wazazi na ndugu kutaka kuoa ikabidi niweke wazi mapenzi yangu na single mom flani hivi hapa mtaani. Nimesikitika familia yangu haiafiki jambo hilo wakati mimi naona yule single mom ananipenda sana na hata watoto wake washanizoea...
  18. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa mlio single huwa mna survive aje kipindi mnaumwa?

    Unaishi peke yako. Huna rafiki wa karibu, sasa ikatokea umepata Changamoto ya kiafya kama kuugua Ghafla usiku au kuumia bahati mbaya Mnawezaje kupata usaidizi wa dharura? Au ndio ile ku adapt na mazingira?
  19. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    Today I would like to celebrate single mothers. I may not have been raised by one but the burden of single motherhood is not lost on me. One of my ex is a single mother. She has one lovely boy! From what i see her go through, my admiration and respect for her goes higher each day. Single...
  20. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mitandao isikudanganye, watu bado wanaoana na wapenzi waliopigika, wafupi, single mama na hata wenye tabia za hovyo

    Mtandaoni kila mtu anadai hawezi date single mama, mwanaume mfupi, asiye na hela, au mchafu. Ila gizani nje ya mtandao single mama wengi wanaolewa kuliko hata wasio na watoto. Wanaume wafupi wenye sura personal wanang'oa pisi kali kuliko masharobaro. Kuna wale wanasema "I cannot date a broke...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…