simulizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FEBIANI BABUYA

    JIPATIE SIMULIZI BORA ZA KIJASUSI

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72...4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA...
  2. FEBIANI BABUYA

    JIPATIE SIMULIZI BORA ZA KIJASUSI

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72...4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA UCHAGUZI...
  3. Abtali Mwerevu

    Simulizi: Kanisa la Shetani

    Hii ni simulizi ya kijana Musa, kijana ambaye ametafuta kazi kwa miaka mingi bila kupata, katika matembezi yake, Musa anakutana na Bibi ambaye anamshauri aende kuombewa katika kanisa, anakwenda huko na kupokea maombi yake. Anataka kurudi nyumbani, lakini anazuiliwa na kuambiwa anayeingia humo...
  4. britanicca

    Simulizi ya Moyo na Koti Jeusi- Jamani analia sana

    “Simulizi ya Moyo na Koti Jeusi” Kuna wakati, nchi yenye mwanga wa jua mchana kutwa iliongozwa na mtu aliyekuwa na mtetemeko usiojulikana, mtetemeko wa kifua, lakini pia wa dhamira. Alikuwa na nguvu za ajabu; alilazimika kupiga teke mfumo hadi ukasahau jina lake. Kwa watu wengine, ilionekana...
  5. FEBIANI BABUYA

    Jipatie Simulizi bora za kijasusi

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA.....4000 2. I WANT TO DIE JUDGE....4000 3. GEREZA LA HAZWA....5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)....5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72....4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    The Church of the Unborn: Simulizi ya Kihalifu

    TRAILER YA THE CHURCH OF THE UNBORN! Ndani ya jumba la Cinema lililoko Mlimani City. Ukumbi umejaa. Watu wanashauku ya uzinduzi wa filamu mpya ya The Church of the Unborn" ambayo inatokana na Riwaya yenye jina hilohilo, The Church of the Unborn, Mtunzi akiwa Robert Heriel na ndiye muongozaji wa...
  7. kailojonhjo

    Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SHATTERED EVIL:LIGHT AND SHADOW MTUNZI:KAILOJONHJO.  UTANGULIZI SHATTERED EVIL: LIGHT AND SHADOW Ni simulizi inayochanganya ,mystery, fantasy,mapenzi, ujasusi Miaka ya zamani watu walisifika sana kua na nguvu iyo ilitokana na kua na upeo mkubwa wa akili mpaka...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Simulizi ya Kijasusi: Hakuna aliye Salama

    HAKUNA ALIYE SALAMA  Mtunzi: Robert Heriel 0693322300 Chungu cha 01 Kinu alikuwa ameketi kwenye wheelchair, akitingisha kichwa chake kwa taratibu, udenda ukimtoka mdomoni. Macho yake yalikuwa matupu kwa nje, lakini kwa ndani yakiwa kama rada ya kijeshi. Nyuma yake alikuwa amesimama Moreen...
  9. Last_Joker

    Simulizi: Mzimu wa mashuaa (Jini la Msitu wa Mtende)

    SEHEMU YA KWANZA MTUNZI: The Last Joker Mwanzo wake haukuwa na kelele nyingi. Saa tano za mchana, jua lilipokua limeyumba pembezoni mwa msitu wa Mtende, kulikuwa na ukimya wa ajabu. Kimya kilichozidi hata cha kaburi. Ukapigwa na upepo wa ghafla—ukaja kama kicheko cha majini waliokuwa hawajala...
  10. Meneja Wa Makampuni

    Simulizi: Nichague kipi kati ya ubunge na ukuu wa mkoa au wilaya?

    Karibu Bright and Genius Land, nchi ya matumaini na changamoto, ambako kila kijana ana ndoto ya kuwa kiongozi, na jamii inaamini viongozi ndiyo funguo za maendeleo. Katika ardhi hii, vyeo vya Ubunge na Ukuu wa Mkoa/Wilaya vina mvuto na ushindani mkubwa. Kila mmoja anaelezwa kwa sauti tofauti...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Simulizi; Nitamlea

    Simulizi; NITAMLEA Mtunzi; Robert Heriel +225693322300 Taikon Publisher Presents Chungu 01. “Kosa lake nini mpaka nimuue mtoto huyu asiye na hatia? Sitaki kuingia kwenye majuto ya kukitoa kiumbe hiki. Nitakubali majina yote ya dhihaka na kejeli. Lakini nitakulinda mwanangu. Mimi ni Mama...
  12. Poppy Hatonn

    Simulizi za waumini kanisani: video

    Hili ni jambo Wachina wanapinga sana . Wanamwambia padre wa Kichina asikusanye sadaka.
  13. Mshana Jr

    Tayari siti no 11A imeshatengenezewa simulizi

    Vishwash Kumar Ramesh alinusurika kwenye ajali ya 2025 Air India kutoka kiti cha 11A, kiti sawa na mwigizaji wa Thailand James Loychusak aliyenusurika katika ajali ya ndege ya mwaka 1998. Kama ilivyoripotiwa na gazeti la The Telegraph, James Ruangsak Loychusak, mwigizaji na mwimbaji wa Thailand...
  14. jaxwizzy

    Simulizi ya Golden boy

    GOLDEN BOY Jua lilikuwa linatua kwa upole, likipaka anga la Istanbul kwa rangi ya dhahabu na machungwa. Bahari ya Marmara iling'aa mithili ya kioo kilichominywa dhahabu ya moto. Katika jiji la hili lajali na fujo za mamilionea, soma na jumba kubwa lililosimama kwa majivuno, lililokuwa na...
  15. Jackpiano

    Simulizi ya dereva bajaj paka kuwa mwizi wa magari .Dar to mikoani

    Simulizi za kusisimua na fundisho kwa vijana:kijana alivyoingia kwenye mtandao wa wizi wa magari – Safari ya Subaru Legacy ya Gongolamboto hadi Arusha Baada ya kumaliza kidato cha nne mwaka 2019, maisha yalikuwa magumu. Nilikodishiwa bajaj na binamu yangu ili nijikimu. Nilifanya kazi kwa...
  16. The Story Vault

    Hadithi: Majaribu

    Hadithi: MAJARIBU Mtunzi:Mwaki Ze Done (0653814440) UTANGULIZI: Ni hadithi inayomzungumzia kijana mdogo wa kuitwa majaribu. Wakati akijaribu kuyakimbia matatizo yake akakutana na majaribu menyewe Sasa Alijikuta akikabiliwa na kesi ya mauaji ambayo hakuyafanya ilipelekea kupelekwa gerezani je...
  17. briophyta plantae

    simulizi fupi:-Safari ya Daniel

    SIMULIZI FUPI: NDOTO YA DANIEL MWANDISHI: MOSSES MLAY Siku moja Daniel alipata safari ya kikazi ikiwa ni siku mbili tu kabla ya shughuli maalum ya washenga kuja nyumbani kwaajili ya kumposa dada yake, alikuwa na taarifa ya ugeni huo na ilikuwa na umuhimu mkubwa wa yeye kuwepo. Katika shghuli...
  18. Mtumishitu

    Kama huamini uchawi kwenye biashara basi wewe bado sana kwenye biashara,sitasahau hili tukio

    Habari zenu wana jamiforum ,hakika hili jukwa linazidi kuwika kila siku maana kila unachohitaji kujifunza kipo hapa . TWENDEE KWENYE MAADA. Katika harakati za kufanya biashara yangu ya dagaa nilipata mteja mmoja ambae sijawahi na sikufikiria kuwa inaweza kuwa hivyo maana mambo ya ushirikiana...
  19. Paspii0

    Unajionamchafu?, Hata simulizi za biblia zinawataja Madent na Mabad boyz!,

    Kuna hii stori huwa watu wanapenda kuibonga kila siku, eti “Hiki kizazi kimeharibika mbaya!” Wanatuzushia sisi wa kizazi cha amapiano,kana kwamba tumezaliwa na chuki ya ndoa, mapenzi ya ajabu, na ushamba wa kihuni. Lakini we acha! Ukiingia kwa maandiko, utakimbia bila viatu. Hapo zamani watu...
  20. Samuel jk_Euphoria

    Simulizi ya kifantasia: Solo king: ancient legacy

    Kama mtunzi hii ni simulizi yangu ya kwanza kuandika na kuitangaza nje ya jukwaa husika. Mimi ni mwandishi wa simulizi kutoka jukwaa la fasihinet.com ya boss singanojr 😁 Nisielezee sana kuhusu mimi. Mimi ni Samuel jk(jins halisi) lakini nalipenda neno Euphoria kutokana na maana iliyopo na hii...
Back
Top Bottom