simulizi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    JamiiForums Tanzania Operesheni ya Kukamatwa kwa Rais wa Venezuela: Simulizi la Uvamizi wa Kasi na Usahihi wa Hali ya Juu

    Operesheni ya Kukamatwa kwa Rais wa Venezuela: Simulizi Linalozua Mjadala Operesheni iliyodaiwa kusababisha kukamatwa kwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, na majeshi ya Marekani imeelezwa kama operesheni ya kasi na usahihi wa hali ya juu. Simulizi hilo linaeleza kuwa shambulio la ardhini...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Serious note ya Godbless Lema juu ya mapungufu ya taaluma, utaalamu, uzembe, elimu ndogo, UONGO ndani ya mifumo ya VYOMBO vya Usalama wa Taifa

    Anaandika Godbless J Lema TAARIFA ZA UONGO NA MATESO NA MAUAJI YA RAIA. Mwaka 2011, jijini Arusha, kulitokea sakata zito la mauaji yaliyosababishwa na Polisi kufuatia maandamano ya wananchi waliopinga uchaguzi Meya feki wa Arusha Mjini. Tukio hilo liliacha majeraha makubwa katika mioyo ya...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya maisha: KABURI LA MSOMI

    KABURI LA MSOMI. Karibuni sana wapenzi wa simulizi. Leo naitambulisha kwenu simulizi hii tamu iendayo kwa jina la KABURI LA MSOMI. Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga, mapenzi, maumivu, wivu, usaliti, chuki, mauaji na mikasa mingi ya...
  4. kahawatime

    JamiiForums Tanzania RIwaya: Elise Wangu Kutoka Belgium

    Mwandishi: Murrah. Inapopatikana: Kahawa Time application ya simulizi inapatikana playstore kwa watumiaji wa android na app store kwa watumiaji wote wa (Iphone) Hii Hadithi imekamilika tayari katika application ya kahawa time.. kwa wale wanaopenda simulizi moto moto hii na nyingine zaidi kama...
  5. kahawatime

    JamiiForums Tanzania Application ya Simulizi

    Habari wakuu nawakaribisha katika application yetu ya kahawa time inayopatikana app srote kwa watumiaji wa iphone na Ipad na Play store kwa watumiaji wa Android… pata simulizi kali kutoka kwa waandishi maarufu kama Story za Eddy, Patrick Ck, na wengine wengi
  6. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kipelelezi: THE JOURNALIST

    THE JOURNALIST (TONE LA DAMU) AMANI KILONZO!!!!!... Ni jina ambalo lilikuwa alama ya ushindi, lilikuwa ni jina maarufu ambalo kila mwandishi wa habari pamoja na waandishi wote walikuwa wakilichukulia kama jina la mfano. Jina maarufu kutoka kwa mwanaume aliyetokea kwenye maisha ya kimasikini...
  7. Nomadiq

    JamiiForums Tanzania Next time nitajitajidi mimi ndio nijibu "Nakupenda pia". Yaliyonikuta sio poa

    Kwema wakuu, heshima mbele! UKIPENDA NI NOMA AISEE! Next time nitajitajidi mimi ndio nijibu nakupenda pia, ngoja nile glucose kwanza nipate nguvu ya kusimulia, nitarudi. to be continued....
  8. Official Broker

    JamiiForums Tanzania Vitabu na simulizi

    VITABU NA SIMULIZI Vitabu ni hazina
  9. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Simulizi za kijana Masikini (zote ni visa vya kweli vilivyowahi kunitokea)

    Huu ni mkusanyiko wasimulizi zangu ambazo nimewahi kuzileta humu na zile ambazo nitakuwa nazileta huko mbeleni. Lengo la uzi huu ni kurahisidha ufuatiliaji wa simulizi zangu kwa wale wapenzi wa simulizi lakini pia kutokupoteza simulizi zangu ambazo nimewahi kuziandika humu. Kumbuka humu...
  10. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania SIMULIZI: JUMBA JEUSI

    STORY: JUMBA JEUSI MWANDISHI: FEBIANI BABUYA Storyteller: Bux the story teller WhatsApp: 0621567672 Email: thomasibabuya@gmail.com AGE: 18+ UTANGULIZI..... EPISODE 1. BANZOKA Pembezoni mwa barabara ndogo ya vumbi ambayo ilikuwa inaingia kwenye kichaka kilichokuwa kimemezwa na miti ya...
  11. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Wakatoliki na mafundisho: Simulizi mbalimbali za maisha ya watakatifu

    Mtakatifu MARIA GORETTI Maria Goretti alizaliwa tarehe 16 Oktoba 1890 katika kijiji kidogo huko Corinaldo, Italia. Familia yake ilikuwa maskini sana, lakini ilijulikana kwa imani na mshikamano wa kifamilia. Maria alikuwa mtoto wa pili kati ya watoto sita. Baba yake, Luigi, alifariki akiwa...
  12. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kifantasia na kijasusi: The darkness of an angel

    Kwenye huu ulimwengu wa mabavu kuna mambo mengi yanatokea kiasi kwamba wanadamu tunakimbilia kulaumu bila kujua sababu ya mambo hayo kutokea. Kwenye IDAIWE MAITI YANGU uliisoma historia na chimbuko la binadamu hatari sana GAVIN LUCA. Bwana huyu historia yake ilianzia huko Tanga ambapo kuna...
  13. SwahiliFlirt

    JamiiForums Tanzania [SIMULIZI] Yule Ex Aliyeniumiza Vibaya Amerudi Kama Adui Yako Kibiashara... Utamfanyaje? - Agano Lililovunjika!

    Habari zenu wanajamvi wenzangu! Shimmy wenu niko hapa. Leo, nataka tuingie kwenye safari kidogo. Hebu nikuulize kitu, shemeji. Umeshawahi kumpenda mtu kiasi kwamba unajua fika huyu ndiye wako, lakini dunia, familia, au hata uoga wako mwenyewe ukasimama kati yenu? Umeshawahi kujiuliza "what if?"...
  14. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania JIPATIE SIMULIZI BORA ZA KIJASUSI

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72...4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA...
  15. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania JIPATIE SIMULIZI BORA ZA KIJASUSI

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)...5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72...4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA UCHAGUZI...
  16. Abtali Mwerevu

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Kanisa la Shetani

    Hii ni simulizi ya kijana Musa, kijana ambaye ametafuta kazi kwa miaka mingi bila kupata, katika matembezi yake, Musa anakutana na Bibi ambaye anamshauri aende kuombewa katika kanisa, anakwenda huko na kupokea maombi yake. Anataka kurudi nyumbani, lakini anazuiliwa na kuambiwa anayeingia humo...
  17. britanicca

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya Moyo na Koti Jeusi- Jamani analia sana

    “Simulizi ya Moyo na Koti Jeusi” Kuna wakati, nchi yenye mwanga wa jua mchana kutwa iliongozwa na mtu aliyekuwa na mtetemeko usiojulikana, mtetemeko wa kifua, lakini pia wa dhamira. Alikuwa na nguvu za ajabu; alilazimika kupiga teke mfumo hadi ukasahau jina lake. Kwa watu wengine, ilionekana...
  18. FEBIANI BABUYA

    JamiiForums Tanzania Jipatie Simulizi bora za kijasusi

    UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA.....4000 2. I WANT TO DIE JUDGE....4000 3. GEREZA LA HAZWA....5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA (KISASI)....5000 5. NYARAKA NAMBA 72/ DOCUMENT NUMBER 72....4000 6. ELECTION SAGA MONEY IN BLOOD (SAKATA LA...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania The Church of the Unborn: Simulizi ya Kihalifu

    TRAILER YA THE CHURCH OF THE UNBORN! Ndani ya jumba la Cinema lililoko Mlimani City. Ukumbi umejaa. Watu wanashauku ya uzinduzi wa filamu mpya ya The Church of the Unborn" ambayo inatokana na Riwaya yenye jina hilohilo, The Church of the Unborn, Mtunzi akiwa Robert Heriel na ndiye muongozaji wa...
  20. kailojonhjo

    JamiiForums Tanzania Simulizi ya kijasusi: Shattered Evil: Light And Shadow

    SHATTERED EVIL:LIGHT AND SHADOW MTUNZI:KAILOJONHJO.  UTANGULIZI SHATTERED EVIL: LIGHT AND SHADOW Ni simulizi inayochanganya ,mystery, fantasy,mapenzi, ujasusi Miaka ya zamani watu walisifika sana kua na nguvu iyo ilitokana na kua na upeo mkubwa wa akili mpaka...
Back
Top Bottom