simba

  1. PLOII

    Simba tumepotea kwa porojo za utopolo; "lengo letu limetimia sisi ni fanalist cafcc ubingwa wa nbc sio target yetu huku tuache watambe"

    Habari Zenu mashabiki bora wa CAF Super League! Kiukweli tumeingia mkenge Kwa porojo za Utopolo. Simba Kwa Msimu huu tumefanikiwa kufika sehemu ya ndoto yetu wengi hatukuwahi kushuhudia Mnyama akicheza stage hiyo. Haya ni mafanikio makubwa Sana bahati mbaya tumeingia kwenye ujinga wa wauza...
  2. GENTAMYCINE

    Israel Mwenda pole sana kumbe ulikuwa huwajui Yanga SC vizuri pamoja na Kufurahia Kwako kwenda Kwao kwa Kutuzodoa wana Simba SC?

    Nilipoona tu Siku ile Yanga SC inarejea na Kombe kutoka Zanzibar huku ukijifanya Wewe ni Dj na ukawa Unatuzodoa wana Simba SC hasa pale Msimbazi Street mlikopita nilijua tu baada ya hapo kuna Maumivu utayapata kwani Wazee wa Simba SC nawajua huwa hawana Masihara katika kutuma Makombora ya...
  3. stakehigh

    Kuna mchezaji anaitwa mousa cisse katika mechi ya CECAFA leo, bonge la mchezaji simba usajili huo

    https://youtu.be/8QcNer8ha9Y?t=95
  4. DELETED ACCOUNT

    Simba inakosea katika sajili zake kwa sababu imepoteza kujiamini

    Leo nimeona niiongelee kidogo timu yangu ya zamani, Simba SC. Kwa hizi sajili, acha, sajili zinazofanyika kila msimu inaonyesha wazi Simba imepoteza kabisa kujiamini. Viongozi hawajui Simba inataka nini hasa na badala yake wanasajili na kuacha wachezaji tu ili waonekane wamefanya. Wachezaji...
  5. McLaren

    Video: Naona hapa Simba nae alikuja kupiga picha?

    Wakuu, Hivi hapa ndo unafanyaje? Unarudi kwenye gari au unakubali kuwa kitoweo?
  6. D

    je wanachama wa simba tunaluhusiwa kuuza hisa zetu?? kuna kama 800k kila kadi kwa dp world na bakhresa

    I will be short kuna card za chana 50 k na kuna 40 billion on the table for simba sc shares. hapo kila mtu ana 800k kila card. Kama vipi simba tuuze tu, naona dp world na bakhresa wanavizia hisa za mo wakati wanachama tupo na kadi hazina hata faida. anyway ngivuu mmmoyaaa 😂
  7. Life2

    Simba waache uswahili je ni kweli wameshindwa kuachana na wachezaji wao kwa Staha?

    Baada ya kupewa thank you nyingi na wachezaji wake timu ya Simba ni kama wamechanganyikiwa, kuanzia Mwenyekiti wao mpaka mashabiki kila mmoja anakuja na kauli zake. Hawana tofauti na wale wajenzi wa mnara wa Babeli lete tofali anapeleka Beleshi. Nimepita sehemu nimekutana na kauli isiyo ya...
  8. Gordian Anduru

    Yanga kuwa kam Pyramid ya msimu uliopita

    YANGA MSIMU HUU WA CACL huenda akaanzia hatua ya awali Msimu huu. MSIMU uliopita Orlando Pirates na Pyramid walianzia hatua ya awali lakini Orlando akafika nusu fainali na Pyramid akachukua ubingwa SIMBA huenda akaanzia round ya pili MSIMU huu MSIMU ULIOPITA PETRO de Luanda TP MAZEMBE na...
  9. mdukuzi

    Yanga ni Tasaf au NSSF kwa wachezaji wa Simba?

    Ujana unaliwa Simba uzee unaliwa Yanga kuvuta penshen Hii ni Tasaf au NSSF?
  10. GENTAMYCINE

    Kama Yanga ni timu kubwa na inafanya vyema kwanini kila mwaka inaanzia Shule ya Msingi CAFCL na Simba isiyofanya vyema inaanzia Chuo Kikuu CAFCL?

    Kazi yangu kubwa leo ni kusoma tu Comments zenu ili nicheke na nisikitike.
  11. K

    Sioni dalili au mkakati wa Simba kumfunga Yanga,tutegemee vipigo zaidi

    Kwa yanayoendele tutakuwa wanyonge kwa miaka mingine zaidi kama tutaendelea kumkumbatia Dewji
  12. fimboyaukwaju

    Wilson Nangu wa simba kumkaba mpanzu

    Msimu ujao ndio hivyo
  13. Dabil

    Simba haijali mashabiki zake na inawatapeli,Simba day ijayo wanastahili waende wenyewe uwanjani

    Simba haijali mashabiki zake na inawatapeli na kuwaingizia hasara,wakati mwingine kelele anazofanya Ahmed Ally ni kama unafki tu. * Simba ilileta mchango kwa ajili ya uzio wa uwanja wa Bunju,mashabiki wamechanga baadaye Magungu anasema imeenda kwenye matumizi mengine,na hakuweka bayana ni...
  14. S

    Kama kocha Fahdu Davis Kapendekeza Deborah Mavambo aondolewe Simba basi hata mm namzidi uwezo wa kufundisha

    Semaj letu limedai usajili wa msimu ujao no fully mapendekezo ya kocha wetu, ss najaribu kuangalia hao wachezaji anaowapendekeza watemwe, nakuta jina la fundi wa mpira Deborah Fernandez Mavambo. Huyu wala tusidanganyane kuwa hana uwezo,. Mavambo ni fundi hasa, ana nguvu, ana akili ya ball, ana...
  15. feyzal

    Mohammed Hussein :Zimbwe jr aaga simba

    Ndoa ya Zimbwe na Simba imefikia tamati baada ya miaka 11
  16. Orketeemi

    Mohammed Hussein athibitisha kuondoka Simba

    Baada ya kutumikia Simba SC kwa takribani miaka 11, nahodha wa klabu hiyo Mohamed Hussein ameagana rasmi na Wekundu wa Msimbazi kufuatia mkataba wake kumalizika na kutoongezwa tena. Mohamed Hussein, maarufu kama "Zimbwe Jr", ameacha alama kubwa ndani ya kikosi hicho akichangia mafanikio...
  17. Mag3

    Lissu atisha...ni heri umkabili simba nyikani kuliko kumkabili Lissu mahakamani!

    Alipoamua tu kujitetea mwenyewe katika kesi yake ya uhaini, sheria na kanuni za kimahakama ikabidi zibadilishwe haraka haraka. Kweli binadamu hujafa hujaumbika!
  18. M

    Yanga acheni kuiga ujinga wa Simba kusifia usajili Mpya

    Miaka mingi Yanga imekuwa ikisajili kimyakimya bila promo za majigambo na kutishia timu nyingine ila matokeo yake yalionekana uwanjani ambapo wachezaji wapya walikiwasha hasa, mfano Mayele, Aziz Kii na Pacome katika usajili wao hapakuwa na promo hata kidogo. Tofauti na wenzao wa Simba ambapo...
  19. Pdidy

    Shabiki wa Simba ajinyonga..mwendelezo WA kuji....

    HII HALI SIO YA KUAKAA KIMYA TUENDELEE NA MAOMBI WAPENDWA SHABAIKI WA SIMBA WAMEMPUMZISHA KAJINYONGA TAR 17 RIP SHABIKI
Back
Top Bottom