Unaupa asilimia ngapi usajili huu wa Simba sc kuelekea msimu mpya?
Sajili zilizotiki hadi sasa
Rushne
Kante
Abraham
Semfuko
Sowah
Soma Pia: Husein Massanza: Ukimtaka Sowah njoo na Tsh. Bilioni 2.6 Singida BS
Kitendo cha kumposti Hersi na kuandika upumbavu mtupu eti abaabaa! Ni ishara tosha kuwa akili ni za kitoto tena mitoto isiyo na akili.
Aliyefanya hivyo anataka habari gani itrendi?
Je habari ya maneno ya Sowah ikitrendi,wameshafikiri itamuathiri vipi kisaikolojia mchezaji?
Vipi asipofanya...
Wamejikaza sana mpaka Leo wamepost video wakichana picha ya Eng Hers,
Ni wazi kabisa jamaa kawatesa mno na amewakaa mno vichwani mwao maana toka jamaa atue Yanga Simba SC hawajawahi kujua utamu Wa kombe
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!
Kwanini Nasema Azam au Simba mmoja wapo atakuwa Bingwa Msimu huu?
1.Kocha Fadlu Davis amekuwa kocha wa Simba huu unaelekea msimu wa pili;mazingira ya ligi Kuu tayari keshayajua,tayari kesha tambua na kufahamu kikwazo Cha yeye kutochukua Ubingwa kilikuwa...
Mijadala mingi inayohusiana na uhamisho wa Feisal Salum kutoka Azam kwenda Simba imejikita kwenye gharama za uhamisho huo ila ukweli ni kuwa kuna sababu tatu kuu zingine tofauti kabisa zinazokwamisha uhamisho huo.
Gharama inayotajwa ya bilioni 2 na ushee siyo pesa nyingi kulinganisha na faida...
Klabu ya simba imekamilisha usajili wa nyota wa kimataifa wa Senegal Alassane Kante anayehudumu nafasi ya kiungo wa ulinzi, akichukua nafasi ya fabice Ngoma ambaye ametangazwa kutokuwa sehemu ya kikosi Cha simba msimu ujao, je unafikiri kwa sajili hizi ambazo simba inaendelea kuzifanya zitaweza...
Beberu la kihaya ni mjanja sana.
Kaomba tenda ya bilion 5.6 kwa mwaka, Yeye kaiuza tenda kwa third party ambaye ni DIADORA (kampuni ya vifaa vya michezo kutoka Italy) kwa bilion 7.9 kwa mwaka.
Wakati huo huo ako na kamisheni yake kwsnye kil jezi inayouzwa.(Kamisheni approxmatly USD 2 per...
Je M-beti na Simba walitudanganya? Inakuwaje Simba wakubali pesa ndogo (bilioni 20) wakati mkataba ulioisha ulikuwa bilioni 26?
Je club hiyo inaporomoka thamani? Kwanini wasingekomaa wapate angalau Bilioni 30? Au hata bilioni 27?
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Aliyekuwa beki kisiki wa Simba Sc, Henock Inonga Baka amepewa mkono wa kwaheri na klabu ya AS FAR Rabat ya Nchini Morocco aliyokuwa akiitumikia kwa msimu mmoja baada ya kuondoka Simba Sc.
Chanzo Taarifa: maulidkitenge katika ukurasa wake wa Mtandao wa Thread
Haya sasa wale WANAFIKI...
Kama ushawahi kuona wachimba madini wakiwekeza pesa nzuri na mwisho wa siku madini yakitoka hakuna la kushuku kwa mafanikio yao.
Huyu mr dengu za pilipili zenye binzari kali napata mashaka ya uwekezaji wake Simba.
Hakuna pesa nzuri ya kununua wachezaji wala kuonesha mabadiliko ya Simba zaidi...
Wakuu
====
Tujadili sababu zinzoikwamisha Simba kwa Miaka ya hivi karibuni,
Mabadiliko ya mara kwa mara ya benchi la ufundi
Usajili usio na tija
Presha kutoka kwa mashabiki na mashindano ya kimataifa
uongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.