simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. DELETED ACCOUNT

    Simba SC itoke hadharani ijitenge na imkemee huyu mwanasiasa

    Kuna video clip nimeiona jana ya mtu ambaye inasemekana ni Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita, anayejulikana kama Manjale akiitumia timu ya Simba na mafanikio yake kukinadi chama chake. Hii video inatia kichefuchefu maana huyu bwana anaongea kama vile yeye ni kiongozi pale Simba...
  2. JanguKamaJangu

    Hizi ndio fedha ambazo Simba na timu nyingine zitapata katika Kombe la Shirikisho Afrika 2025

    Bingwa $ 2,000,000 (Tsh. Bilioni 5.3) Wa pili $ 1,000,000 (Tsh. Bilioni 2.6) Nusu Fainali $ 750,000 (Tsh. Bilioni 2) Robo Fainali $ 550,000 (Tsh. Bilioni 1.4) Wa 3 Kundini $ 400,000 (Tsh. Bilioni 1) Wa 4 Kundini $ 400,000 (Tsh. Bilioni 1) $ ni Fedha ya Dola CHANZO: CAF Michuano ya Kombe la...
  3. Labani og

    Baba Levo: Kama Simba mtabeba kombe mkavunje ghorofa langu

    Mtangazaji wa Wasafi FM, BabaLevo aweka ahadi kama Simba wakishinda Kombe la Shirikisho Afrika, mashabiki wa klabu hiyo waende kuvunja ghorofa lake. Credit: Wasafi FM Hata Mimi ntaweka ahadi ya gari langu Land cruiser v8 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
  4. GENTAMYCINE

    Uzi huu ni Maalum kwa kuisaidia tu Simba SC mawazo ya Kiufundi kuelekea Mechi ya CAFCC Fainal away na RS Berkane

    Poti wangu Crescentius Magori, Msemaji Ahmed Ally, Mwenyekiti Mangungu, Meneja na Mtani wangu wa Kihaya Patrick Rweymamu, Wajumbe Salim Abdallah Mhene Try Again, Swedi Nkwabi na Dada yangu Asha Baraka bila kusahau na Wadau wengine wa Simba SC najua huwa mnanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums...
  5. L

    Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajabu

    Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajqbu. Imefanya mambo yaliyofanywa na baba zao miaka 32 iliyopita. Kwangu Mimi Simba hii ni moja kati ya kikosi Bora kabisa Cha Simba,hii ni Kwa sababu ya namba zake. Sikatai ubora wa vikosi vya Simba vilovyopita,lakini kikosi hiki ni Cha maajabu sana...
  6. LICHADI

    Kuelekea fainali ya Simba Taifa tunaomba muache habari ya Tiketi za bure mnatuharibia mpira

    Sisi kama mashabiki og tunaoenda uwanjani mechi zote za Caf kma mechi za mtoano hakukuwa na Tajiri aliyetununulia tiketi za bure basi fainali napo tunaomba kila mtu alipie ili wapenzi.halisi wa simba tupate nafasi ya kuona fainali Hii mechi mkiitumia kisiasa sijui mtu.mmoja anunue tiketi 30,000...
  7. DELETED ACCOUNT

    Simba ikitua leo moja kwa moja inakwenda Jangwani kuomba mechi

    Mimi kama mzee wa za ndaaani, nimepata taarifa kuwa kikosi cha Simba kikiwasili leo wana mipango ya kwenda moja kwa moja makao makuu ya Yanga pale Jangwani. Wachezaji wa Simba wameshaandaliwa kimbinu na kisaikolojia kuwa iwapo itatokea kina Aziz Ki na Pacome wapo viunga vya hapo bondeni na kama...
  8. Kipenzi Changu

    Asante kwa Squad nzima ya Simba SC, ila hawa watu wametufikisha nchi ya ahadi

    Mungu ibariki Simba Sc nzima Heshima kwa wachezaji wote, bench la ufundi, uongozi na mashabiki dunia nzima, mmetuheshimisha sana. Pamoja na timu nzima kutupeleka fainali lakini wapo watu ambao majina yao inabidi yaandikwe kwa wino mwekundu wa moto..Majina yao yaandikwe sio kwenye kuta za Simba...
  9. GENTAMYCINE

    Kuna zile IDs za wana Simba SC ziliiombea mabaya Jana kwakuwa tu Rais Samia aliipa Simba SC Ndege, chonde naziomba ziendelee kuiombea mabaya Simba SC

    Kuna Watu hapa JamiiForums ni Wapumbavu (Mapopoma) hadi basi. Hivi unajijua kabisa Wewe ni mwana Simba SC na unajulikana hapa lakini kwa CHUKI ZAKO TU ZA KISIASA (za CHADEMA na CCM) unaiombea Simba SC mabaya huko Afrika Kusini katika Mechi yake ya Jana dhidi ya Stellenbosch FC na hadi Kuilaani...
  10. L

    Mwaka huu 2025 Simba itachukua kombe la shirikisho,nyota inaiwakia,namba zinairuhusu ,ni muda wake

    Mimi sio mchambuzi wa soka,sio mtabiri wala sio mganga,Bali ni mtu ninaependa kuangalia mambo kwa kina. Sababu zinazonifanya nione kabisa kua, safari hii na mwaka huu wa 2025,ni mwaka wa Simba kutwaa kombe la shirikisho ni hizi: Ni kweli Simba bado inajenga timu,hili wala hakina ubishi. Lakini...
  11. R

    Kinachowauma Yanga ni Kombe la shirikisho kufutwa huku Simba ikienda kuhitimisha kwa kuipa nchi Kombe kwa mara ya kwanza, Medali zitakuwa takataka

    Kombe la shirikisho limefutwa rasmi. https://www.jamiiforums.com/threads/caf-kuyafuta-mashindano-ya-kombe-ya-shirikisho.2309878/ Simba ina chance ya kulihitimisha kombe hili kwa kuiheshimisha nchi kwa kushinda na kuwa timu ya kwanza nchini kuleta kombe la kimataifa la CAF. Yanga waliwahi...
  12. S

    Tumeshinda nimefurahi sana Leo lakini timu yetu bado ina madhaifu mengi sana, tujirekebishe tunapocheza na RS Berkane ugenini

    Kwanza napongeza sana uongozi wa Simba, bodi na mashabiki pamoja na serikali kwa kufanikisha Simba kuingia fainali na hivyo kuendelea kuweka rekodi. Mchezo wa Leo vs Stellebosch ulikuwa mzuri kwa sababu tumetoka share na hivyo kikanuni tumeweza kufuzu kwa BAO letu la home. Hata hivyo, kwa mtu...
  13. SankaraBoukaka

    Simba yazika rasmi umbea wa ngonjera za medali za mchongo za Gongowazi!

    Kwa heshima na taadhima, tunapenda kuwapongeza Yanga kwa kuweka historia ya kuwa watalii rasmi wa fainali za CAF Confederation Cup! 🎖️😂 Kwa muda mrefu mmekuwa mkihubiri injili ya "medali, medali", sasa tumewasindikiza rasmi kwenye kaburi la hadithi hiyo! ⚰️🏅 Simba tunaenda fainali, tutavaa...
  14. ngara23

    Tusilinganishe CAFCC Ile Yanga alochukua medali na hii ya Simba

    Naona baadhi ya wachambuzi na mashabiki wa Simba wasio na ufahamu wa masuala ya Soka wanalinganisha kufuzu Kwa Simba Leo kuwa amefika record ya Yanga Tukumbuke mashindano ya CAFCC ambayo alishiriki zilikuwemo nchi ambayo ni mabingwa wa mataifa Yao kama Yanga, Rivers united, Club Africain n.k...
  15. R

    Yanga Ruksa mchukue Ligi kuu, Muungano cup na hata FA, Simba tujikite kuleta kombe la kimatafa kwa mara ya kwanza Nchini

    Yanga mna ruhusa zote kubeba makombe yote ya ndani Ligi kuu, FA na hilo la Muuungano. Hayo makombe ya ndani yapo tu wala hayana stress, Simba tujikite na kombe la kimataifa ikiwezekana hata huko FA tujiengue
  16. Just Pray

    FULL TIME || TotalEnergiesCAFCC || Stellenbosch 0-0 Simba SC || Aggreggate 0-1 || 27.04.2025 || 16:00 EAT || Moses Mabhida Stadium

    Mechi ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika mkondo wa pili kupigwa leo Jumapili. Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Moses Mabhida akicheza na Stellenbosch. Mnyama anaingia katika mchezo huu akiwa na mtaji wa goli 1 - 0 alilopata kwenye mchezo wa kwanza pale Zanzibar. Mechi hii itapigwa...
  17. Komeo Lachuma

    Simba leo ikishinda natembea bila nguo na nipigwe Ban kwa kitendo hicho

    Ndiyo natembea bila nguo kifuani....watu waone manywele yote kifuani. Na kwa kitendo hicho nipigwe ban ya mwezi mzima kavu. Bila mbambamba. Sioni Simba ya kushinda match ya leo na washambuliaji kama akina Ateba na Ahoua anabaki na goal anapiga nje....nlicheka sana. Mshambuliaji migulu baja...
  18. M

    Naelekea Durban, Inye Iche, Matokeo ni Suluhu au Sare kesho

    Mnyama kesho anafuzu nusu fainal bila shaka yoyote, narudia kesho mnyama anafuzu pale Durban. Utake usitake au kwa kisambaa Inye Iche tunakwenda final. Tujiandae kwa wingi kwenda kuipokea pale Airport, am on the way to Durban
  19. OMOYOGWANE

    Simba mkitaka kuchukua kombe la shirikisho! Mpanzu, Kibu na Ahoua waachwe Bunju hawa ndio wanaohujumu timu yenu

    Mimi naomba nipingane na mashabiki wote wa simba na wachambizi wa mchele hapa Bongo wanaojiita wachambuzi wa soka. Kibu, Mpanzu na Ahoua hawa watu wanatabia moja ya kupenda sifa, mapicha picha, camera na ujiko Uchezaji wao ni kama wa boka au kibwana shomari tena afadhali boka na kibwana maana...
  20. M

    Vijana wengi walioingia kushabikia Simba miaka ya hivi karibuni ndio wanaiua timu yetu kwa sababu ya mambo ya kijinga

    Leo baada ya ushindi kiduchu tunaanza kudanganyana kuwa mechi za nusu fainali hazina magoli mengi, pumbavu kabisa. Hazina magoli mengi wakati RS Berkane anaongoza bao 2 huko hadi sasa half time halafu wewe unaleta uchawa wako wa kijinga jinga. Wengine sisi tumeanza kwenda kuishangilia Simba...
Back
Top Bottom