simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. Kipenzi Changu

    Ligi Kuu ya Veterans: Simba SC 2-0 Azam

    FT Simba 2-1 Azam Nimefarijika sana kuwaona wachezaji wakongwe wa Simba. Nikiri kwamba hawa ndio watu waliofanya nianze kushabikia Simba SC enzi za RTD na mtangazaji Juma Nkamia na Bin Swed Dua Bin Saidi Pamba Lufo George Masatu Kipa Kelvin Mhagama Chombo Redondo Haruna Boban Adam Kingwande...
  2. NALIA NGWENA

    Mpaka Sasa Yanga SC Wameweka kibindoni (kabatini) makombe mawili, JE Simba SC Wana Nini?!!

    Poleni sana Mashabiki wenzangu Wa Simba SC!! Ukitoa mafanikio ya kufika nusu fainali shirikisho tena mafanikio ambayo wenzetu (Yanga SC) walishavuka, ukitoa mafanikio ya Yanga SC kushindwa kesi huko CAS na tulipata furaha mno tena mno na ukitoa mafanikio ya sisi wanasimba (Mashabiki)...
  3. Wakusoma 12

    Mashujaa FC: Kupoteza Muda si Mbinu, ni Tiketi ya Kipigo!

    Kama kuna timu imejifunga goli leo ni Mashujaa FC. Dakika za mwanzo wamegeuza uwanja kuwa sinema ya kuchelewesha mpira—kipa analala juu ya mpira, mabeki wanatembea kama wanaenda sokoni, na kocha anapiga makofi kana kwamba wanaongoza ligi! Lakini Simba SC si ya kufanyia maigizo! Tulikaa kimya...
  4. NALIA NGWENA

    Dakika 15, za nyongeza na Penati ya mchongo na bado tunajisifu Kuwa hii ni Ligi ya tano kwa ubora ?

    Mambo ya kushangaza na kustaajabisha kabisa hata kama ni kubebwa Lakini hii ni too much Mashujaaa FC wamezurumiwa wazi kabisa na Refa aliyechezesha Mchezo dhidi ya Simba SC na Mashujaaa. Dakika kumi na tano za nyongeza na Penati isiyo halali Refa kafunika mkwaju Baada ya kuambiwa na mchezaji ...
  5. Tembosa

    FULL TIME || Simba SC 2 - 1 Mashujaa FC | NBC Premier league | KMC Complex | May 02, 2025

    Litakufa Jitu Leo... #nguvumoja# VIKOSI VYA LEO 1. SIMBA 2. MASHUJAA FC Updates... Dk 04' Simba wanafanya shambulizi kali , inakuwa kona. Inapigwa haileti madhara. Valentino.. DK 05' Goooooooal Mashujaaa Wanaweka chuma cha Kwanza. Hapa 0-1 HT Simba 0-1 Mashujaa. 2nd Half Simba wamefanya...
  6. ngara23

    Yanga hajashindwa kesi CAS dhidi ya TFF, Bodi ya ligi na Simba sc

    Kuna upotoshaji unaendelea ati Yanga ameshindwa kesi, sio kweli Bali Yanga amepewa mwongozo kuwa aanzie kwenye kamati ya Rufaa ya TFF Kanuni za CAS ni kuwa tukio linalolalamikiwa linapotokea CAS hutoa siku 21 liwe limefika mezani kwao Baada ya bodi ya ligi kuhairisha mechi kihuni, Yanga...
  7. DELETED ACCOUNT

    Simba SC itoke hadharani ijitenge na imkemee huyu mwanasiasa

    Kuna video clip nimeiona jana ya mtu ambaye inasemekana ni Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Geita, anayejulikana kama Manjale akiitumia timu ya Simba na mafanikio yake kukinadi chama chake. Hii video inatia kichefuchefu maana huyu bwana anaongea kama vile yeye ni kiongozi pale Simba...
  8. JanguKamaJangu

    Hizi ndio fedha ambazo Simba na timu nyingine zitapata katika Kombe la Shirikisho Afrika 2025

    Bingwa $ 2,000,000 (Tsh. Bilioni 5.3) Wa pili $ 1,000,000 (Tsh. Bilioni 2.6) Nusu Fainali $ 750,000 (Tsh. Bilioni 2) Robo Fainali $ 550,000 (Tsh. Bilioni 1.4) Wa 3 Kundini $ 400,000 (Tsh. Bilioni 1) Wa 4 Kundini $ 400,000 (Tsh. Bilioni 1) $ ni Fedha ya Dola CHANZO: CAF Michuano ya Kombe la...
  9. Labani og

    Baba Levo: Kama Simba mtabeba kombe mkavunje ghorofa langu

    Mtangazaji wa Wasafi FM, BabaLevo aweka ahadi kama Simba wakishinda Kombe la Shirikisho Afrika, mashabiki wa klabu hiyo waende kuvunja ghorofa lake. Credit: Wasafi FM Hata Mimi ntaweka ahadi ya gari langu Land cruiser v8 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
  10. GENTAMYCINE

    Uzi huu ni Maalum kwa kuisaidia tu Simba SC mawazo ya Kiufundi kuelekea Mechi ya CAFCC Fainal away na RS Berkane

    Poti wangu Crescentius Magori, Msemaji Ahmed Ally, Mwenyekiti Mangungu, Meneja na Mtani wangu wa Kihaya Patrick Rweymamu, Wajumbe Salim Abdallah Mhene Try Again, Swedi Nkwabi na Dada yangu Asha Baraka bila kusahau na Wadau wengine wa Simba SC najua huwa mnanisoma mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums...
  11. L

    Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajabu

    Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajqbu. Imefanya mambo yaliyofanywa na baba zao miaka 32 iliyopita. Kwangu Mimi Simba hii ni moja kati ya kikosi Bora kabisa Cha Simba,hii ni Kwa sababu ya namba zake. Sikatai ubora wa vikosi vya Simba vilovyopita,lakini kikosi hiki ni Cha maajabu sana...
  12. LICHADI

    Kuelekea fainali ya Simba Taifa tunaomba muache habari ya Tiketi za bure mnatuharibia mpira

    Sisi kama mashabiki og tunaoenda uwanjani mechi zote za Caf kma mechi za mtoano hakukuwa na Tajiri aliyetununulia tiketi za bure basi fainali napo tunaomba kila mtu alipie ili wapenzi.halisi wa simba tupate nafasi ya kuona fainali Hii mechi mkiitumia kisiasa sijui mtu.mmoja anunue tiketi 30,000...
  13. DELETED ACCOUNT

    Simba ikitua leo moja kwa moja inakwenda Jangwani kuomba mechi

    Mimi kama mzee wa za ndaaani, nimepata taarifa kuwa kikosi cha Simba kikiwasili leo wana mipango ya kwenda moja kwa moja makao makuu ya Yanga pale Jangwani. Wachezaji wa Simba wameshaandaliwa kimbinu na kisaikolojia kuwa iwapo itatokea kina Aziz Ki na Pacome wapo viunga vya hapo bondeni na kama...
  14. Kipenzi Changu

    Asante kwa Squad nzima ya Simba SC, ila hawa watu wametufikisha nchi ya ahadi

    Mungu ibariki Simba Sc nzima Heshima kwa wachezaji wote, bench la ufundi, uongozi na mashabiki dunia nzima, mmetuheshimisha sana. Pamoja na timu nzima kutupeleka fainali lakini wapo watu ambao majina yao inabidi yaandikwe kwa wino mwekundu wa moto..Majina yao yaandikwe sio kwenye kuta za Simba...
  15. GENTAMYCINE

    Kuna zile IDs za wana Simba SC ziliiombea mabaya Jana kwakuwa tu Rais Samia aliipa Simba SC Ndege, chonde naziomba ziendelee kuiombea mabaya Simba SC

    Kuna Watu hapa JamiiForums ni Wapumbavu (Mapopoma) hadi basi. Hivi unajijua kabisa Wewe ni mwana Simba SC na unajulikana hapa lakini kwa CHUKI ZAKO TU ZA KISIASA (za CHADEMA na CCM) unaiombea Simba SC mabaya huko Afrika Kusini katika Mechi yake ya Jana dhidi ya Stellenbosch FC na hadi Kuilaani...
  16. L

    Mwaka huu 2025 Simba itachukua kombe la shirikisho,nyota inaiwakia,namba zinairuhusu ,ni muda wake

    Mimi sio mchambuzi wa soka,sio mtabiri wala sio mganga,Bali ni mtu ninaependa kuangalia mambo kwa kina. Sababu zinazonifanya nione kabisa kua, safari hii na mwaka huu wa 2025,ni mwaka wa Simba kutwaa kombe la shirikisho ni hizi: Ni kweli Simba bado inajenga timu,hili wala hakina ubishi. Lakini...
  17. R

    Kinachowauma Yanga ni Kombe la shirikisho kufutwa huku Simba ikienda kuhitimisha kwa kuipa nchi Kombe kwa mara ya kwanza, Medali zitakuwa takataka

    Kombe la shirikisho limefutwa rasmi. https://www.jamiiforums.com/threads/caf-kuyafuta-mashindano-ya-kombe-ya-shirikisho.2309878/ Simba ina chance ya kulihitimisha kombe hili kwa kuiheshimisha nchi kwa kushinda na kuwa timu ya kwanza nchini kuleta kombe la kimataifa la CAF. Yanga waliwahi...
  18. S

    Tumeshinda nimefurahi sana Leo lakini timu yetu bado ina madhaifu mengi sana, tujirekebishe tunapocheza na RS Berkane ugenini

    Kwanza napongeza sana uongozi wa Simba, bodi na mashabiki pamoja na serikali kwa kufanikisha Simba kuingia fainali na hivyo kuendelea kuweka rekodi. Mchezo wa Leo vs Stellebosch ulikuwa mzuri kwa sababu tumetoka share na hivyo kikanuni tumeweza kufuzu kwa BAO letu la home. Hata hivyo, kwa mtu...
  19. SankaraBoukaka

    Simba yazika rasmi umbea wa ngonjera za medali za mchongo za Gongowazi!

    Kwa heshima na taadhima, tunapenda kuwapongeza Yanga kwa kuweka historia ya kuwa watalii rasmi wa fainali za CAF Confederation Cup! 🎖️😂 Kwa muda mrefu mmekuwa mkihubiri injili ya "medali, medali", sasa tumewasindikiza rasmi kwenye kaburi la hadithi hiyo! ⚰️🏅 Simba tunaenda fainali, tutavaa...
  20. ngara23

    Tusilinganishe CAFCC Ile Yanga alochukua medali na hii ya Simba

    Naona baadhi ya wachambuzi na mashabiki wa Simba wasio na ufahamu wa masuala ya Soka wanalinganisha kufuzu Kwa Simba Leo kuwa amefika record ya Yanga Tukumbuke mashindano ya CAFCC ambayo alishiriki zilikuwemo nchi ambayo ni mabingwa wa mataifa Yao kama Yanga, Rivers united, Club Africain n.k...
Back
Top Bottom