simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. The Burning Spear

    Bora Simba Sc wafungwe maradufu ili CCM wakome Kuvuna wasipopanda

    GT Mimi ni simba ila kitendo cha maCCM kuzichukulia timu zetu kama sehemu ya propaganda na campaign kuelekea uchaguzi mkuu kinanikera sana. Kwa maana hiyo basi ili kuwakomesha hawa maCCM na kuwaziba midomo maana siwapendi acha tu simba sc wafungwe tu na wasichukue kombe kabisa. Kama maCCM...
  2. Mkalukungone Mwamba

    FT: RS Berkane 2-0 Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025

    RS Berkane VS Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025 Mashabiki wa Mnyama tayari wameanza kufanya kazi yao Timu imeondoka kambini kwenda uwanjani. Kikosi cha Simba tayari kimewasili Uwanjani Vikosi na mfumo kwa kila timu
  3. Waufukweni

    Mwana FA: Fainali ya Simba dhidi ya RS Berkane itachezwa Benjamin Mkapa

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) amesisitiza kuwa Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na RS Berkane itachezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Mei 27, 2024 kwa kuwa Serikali imefanya jitihada mbalimbali za...
  4. Waufukweni

    VIDEO: Hali ya Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika mechi ya Simba SC vs RS Berkane

    Tazama hali ya sasa Uwanja wa Mkapa ambao ulitarajiwa kutumika katika mechi ya Kombe la Shirikisho Simba SC vs RS Berkane
  5. GENTAMYCINE

    Mashabiki wa Simba SC tafadhali Siku zingine msirudie tena huu Ushamba ambao pia ni Hatari kama Ndege ikiwa Angani na hairuhusiwi

    Hairuhusiwi popote pale Ndege ikiwa Angani Watu (Abiria) kuanza Kucheza Dansi huku wengine Wakiruka Sarakasi katika Viti vyao na wengine wakirandaranda na Vinywaji vyao (Vilevi) kana kwamba Wote wako Baa wakati kumbe wako Futi 65,000 Usawa wa Bahari wakiitafuta Morocco. Na nimeshangaa sana tu...
  6. Manyanza

    Simba SC kwenye ligi kuu mpaka leo tarehe 12 May 2024

    🚨 ➡️ROUND 26.✅ ⚽MOST GOALS 🇨🇮Jean Charles Ahoua - 15 🇨🇲 Leonel Ateba - 12 🇺🇬Desse Mukwala - 11 🇨🇩Fabrice Ngoma - 4 🇹🇿Shomari Kapombe - 3 🇨🇩Ellie Mpanzu - 3 🇹🇿Kibu Denis - 2 🇹🇿Valentino Mashaka - 2 🇨🇲Che Melone - 2 🇹🇿Awesu Awesu - 2 🇹🇿Edwin Balua - 2 🇨🇬Debora Fernandez - 1 🇹🇿Mohammed Hussein -...
  7. Kipenzi Changu

    Simba Sc inampumulia Yanga kisogoni kabisa

    Viporo vyote vimeliwa bila utata wowote. Sasa Yanga inapumuliwa kisogoni. Yanga mnaisikia pumzi ya Simba Sc?
  8. GENTAMYCINE

    Haya chukueni hii tena ikiwa bado Mbichi kabisa: Simba SC na Yanga SC kulizana kwa ama Zengeli kuja Simba au Mpanzu kwenda Yanga

    Na kama Uongozi wa Simba SC haukumalizana mapema na Elie Mpanzu basi wana Simba SC tuanze kujiandaa Kulia Ok?
  9. GENTAMYCINE

    Simba SC ikicheza na hatuchezi sports club (Yanga) siku za Jumapili huwa ana 95% za Ushindi, 4% za Sare / Suluhu na 1% ya Kufungwa

    Sijajua hasa tarehe ya Mechi ya Simba SC na HATUCHEZI SPORTS CLUB ni lini ila ni Siku iliyobarikiwa ya Jumapili wameisha.
  10. NALIA NGWENA

    Za ndanii kabisa: Rs Berkane wameliomba shirikisho la Soka Africa(CAF), Mchezo Wao dhidi Ya Simba Sc siku hiyo wajifunge Misuli tu

    Naaam! Hayawi hayawi Sasa yamekua Mtoto akililia wembe MPE, ndiyo hayo siyo maneno yangu Bali ni maneno ya Wahenga na kiuhalisia kabisa hii fainali Simba SC waliitaka kwa hali na Mali ili wapoze machungu ya Mashabiki Wao Wenye uchu ya makombe na kuona timu Yao ikipiga hatua kimataifa na siyo...
  11. GENTAMYCINE

    Onyo na angalizo kwa Simba SC dhidi ya propaganda ya kiufundi inayofanywa na Yanga SC kuelekea mechi ya tarehe 15 juni, 2025

    Simba SC tafadhali sana nawaomba chonde chonde msiingie katika huu Mtego wa Kiufundi na Kabamba ambao Yanga SC waliuanza na bado wanaendelea nao mpaka leo kuwa HAWATOCHEZA MECHI YA MARUDIANO na Simba SC baada ile ya tarehe 8 Machi, 2025 Kuahirishwa. Taarifa za uhakika ambazo leo hii GENTAMYCINE...
  12. Tembosa

    Simba SC 5-1 Pamba SC | NBC Premier League | KMC Complex | 08.05.2025

    Match Day Vikosi vya Leo. 1. Simba 2. Pamba SC Mechi imeanza (Kick Off) 4' Hakuna bao pande zote 08' Simba wanapata free kick nje kidogo ya 18, anapiga Ahoua inaishia kwenye mikono ya kipa wa Pamba. Game on 0-0 11' Mpira unaendelea umiliki kwa Simba, wanaingia sana kwa Pamba. Refa...
  13. Franky Samuel

    Namna bodi ya ligi anavyotaka kumbebesha msalaba wake yanga - Sehemu ya kwanza

    NAMNA BODI YA LIGI ANAVYOTAKA KUMBEBESHA MSALABA WAKE YANGA - SEHEMU YA KWANZA. Wakati Simba Sports Club imechapisha taarifa ya kugomea mchezo wa Derby walikuja na sababu zao na chini kabisa Klabu ikasema “Uchunguzi ufanyike na Wahusika wakuchukuliwe hatua kali za Kisheria” naaam na Bodi ya...
  14. B

    Mzee Magoma asema Dabi ipo na Yanga itaingia uwanjani

    Mwanachama wa Yanga SC, Mzee Magoma amesema ni bora timu iingie uwanjani kuikabili Simba SC kuliko kupoteza alama 15. Asisitiza mechi ipigwe bora wafungwe kuliko kuliko kupoteza mechi 15. Na aliyesema timu isipelekwe uwanjani ili alama 15 zipotee huyo ni mtu wa Simba na siyo wa Yanga tena. Pia...
  15. DELETED ACCOUNT

    Haya mabadiliko ya ratiba siyo rafiki kabisa kwa Simba SC

    Nimeangalia kwa umakini haya marekebisho ya ratiba naona siyo rafiki kabisa kwa Simba. Sijajua ushirikishwaji wa wadau wa hizi timu upoje kabla ratiba haijatolewa au kufanyiwa marekebisho ila naona kuna mapungufu makubwa. Tukianzia, nimeshangaa kuona game ya KMC vs Simba ya tarehe 11/05 bado...
  16. N

    Bodi ya ligi haitanii, yatoa ratiba ya derby ya Kariakoo. Sasa kupigwa Juni 15, 2025

    Bodi ha Ligi imetoa ratiba za viporo vilivyobaki, huku ikifanyia pia marekebisho ya tarehe kwa baadhi ya michezo. Jambo kubwa zaidi ni kuwa derby ya Kariakoo bado ipo palepale, itapigwa Juni 15, 2025, saa 11:00 Jioni uwanja wa Benjamin Mkapa. Hii inajiri masaa machache baada ya Klabu ya Yanga...
  17. feyzal

    Mkakati wa Marefa kuiharibia Simba Sc makusudi ili ionekane inapendelewa

    Wazee wana michezo habari zenu. Bila kupoteza muda niende kwenye hoja,kumekua na maamuzi mengi ya hovyo yanayofanywa na marefa na baadhi ya wachezaji na benchi la ufundi la timu pinzani pindi simba ikicheza ilimradi kuiharibia simba mwana lunyasi inakera sana. Sisi Simba hatuihitaji busta yenu...
  18. NALIA NGWENA

    Je, tutegemee kuona tukio gani kwenye mchezo wa JKT Tanzania vs Simba SC?

    Karibu Wadau Wa Soka uweke utabiri wako Wa tukio la kustaajabisha litakalokuacha mdogo wazi (kupigwa bumbuwazi) kwenye Mchezo Wa JKT Tanzania vs Simba SC kati ya haya yafuatayo. (1) Penati ya mchongo Baada ya mchezaji kujiangusha kwenye Penati box (2) Kadi nyekundu yenye utata na...
  19. Tembosa

    FT| JKT FC 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Maj.Gen Isamuhyo Stadium | 05.05.2025

    Tunaendeleza tulipoishia. VIKOSI VYA LEO
  20. L

    Wakati RS Berkane kamaliza mechi za ligi ya kwao Simba bado anapamabana na mechi zake ngumu

    Ama Kwa hakika Simba hua anashiriki mashindano ya Kimataifa katika mazingira magumu sana tofauti na wapinzani wao wote,yaani wa ndani na nje. RS Berkane wao walishamaliza ligi Yao siku nyingi TU na Sasa kazi Yao ni moja TU,kujifunza kuisoma Simba na kufanya mazoezi dhidi ya Simba TU. Wakati...
Back
Top Bottom