simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. DuaZaMama

    Tetesi: Celestin Ecua Nyota wa Asec Mimosas Ameingia kwenye Rada za Simba Sc

    Inaelezwa kuwa, Simba imekuwa ikimfuatilia Ecua kupitia michuano ya Kombe la Shirikisho ya msimu huu iliyoishia robo fainali kwa kutolewa na RS Berkane ya Morocco waliobeba taji kwa kuizidi ujanja Wekundu iliyocheza nao fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao 3-1. Taarifa kutoka ndani ya Simba ni...
  2. GENTAMYCINE

    Nawapa Saa 12 kutoka sasa Uongozi Simba SC kutangaza Kutocheza tarehe 25, Juni, la sivyo naenda kuishitaki Serikali FIFA ili Tanzania tufungiwe

    Sasa kama mnadhani GENTAMYCINE ninatania endeleeni hivyo hivyo. Simba SC tangazeni haraka Kutoicheza hiyo Mechi.
  3. GENTAMYCINE

    Mwenyekiti Mangungu kwakuwa unautaka mno Ubunge ukaamua Kulainishwa na Samia pamoja na Kikwete ili Simba SC ikubali Kucheza Yanga?

    Kwahiyo Mwenyekiti Mangungu kwakuwa unautaka mno Ubunge ukaamua Kulainishwa na Samia pamoja na Kikwete ili Simba SC ikubali Kucheza hiyo Mechi ili tuaibike tena? Simba SC tunaenda Kufungwa Magoli ya Kuhesabika safari hii hiyo Juni 25, 2025 kwa Mkapa. Mangungu ulichokitafuta kwa muda kwa wana...
  4. Bueno

    Je! Simba SC wanacheza Mechi ya Dabi leo km walivyosema?

    Nauliza tu, wadau Simba SC walisema leo ndio wanancheza Dabi tofauti na tarehe nyingine yoyote. Je! Tayari Simba SC washapeleka timu uwanjani km walivyosema? Au ndio kutishiana Nyau?
  5. Z

    Kwanini Viongozi wa Simba SC Wanatudharau mashabiki na wanachama wao kiasi hiki?

    Kiukweli viongozi wa Simba wanatuona mashabiki wao ni wajinga na hawatujali kabisa. Achana na matukio ya kutupiga viingilio takribani mechi tatu. Ila hili la mechi ya dabi ndio limedhihirisha kuwa wanatudharau sana mashabiki wao. Juzi walituambia kuwa mechi ya dabi ipo 15 juni na hivyo...
  6. Bueno

    Je! Ni kweli Simba SC Hawachezi June 25?

    Tusubiri kuona Wallace Karia akikikimbia kiti alichokikalia maana yeye na Bodi ya Ligi ndio kalitengeneza bomu sasa wanawatimua Mnguto na Kasongo,na yeye Wallace ajitimue pia sasa vipi Mwana FA nae atamtimua kwenye nafasi yake au itakuaje atajiuzuru? Simba watagomea kucheza June 25 kweli km...
  7. M

    Yanga wasema hii ya tarehe 25 tunacheza, haina kipengele kipengele uje nacho wewe!

    Tunaomba wale ndugu zetu wa Simba waendelee kutumia nguvu Ile Ile waliyokuwa wanatumia kuitangaza mechi ya trh 15 wakati wao sio wenyeji wa mchezo waendelee nayo ivyo ivyo kwenye mechi ijayo ya Tarehe 25! Kwasasa zile point za mezani zilizokuwa zinapigiwa hesabu bila kutoa jasho uwanjani...
  8. The Watchman

    Mwigulu Nchemba aipongeza Simba SC kufika fainali CAFCC, asema jambo hilo si geni kwa Yanga na hawakufungwa kama Simba

    "Mh. Spika nipongeze kwa dhati Simba kwa kutinga hatua ya fainali ya kombe la shirikisho barani Afrika kwa mara nyingine tangu mwaka 1993. Simba inapokuwa ya kimataifa mimi huwa shabiki wake. Mafanikio haya ya Simba yanatokana na juhudi kubwa ya uwekezaji na Rais wa heshima wa timu Mohamed...
  9. Dabil

    Yanga shikilieni hapo hapo! Kuna kitu Simba tunataka kujifunza

    Msimamo uwe huo huo hamchezi,Msipeleke timu uwanjani Simba tupo kimya kuna kitu tunataka kujifunza. Msipocheza baada ya Tar 15 tusipopata points za bure au msipokatwa points tutaenda kudai huko CAF na CAS halafu tuwafundishe namna kesi zinavyoenda,baada ya tar 15 kelele za Simba kudai points ndo...
  10. Crocodiletooth

    Dkt. Kigwangalla umekuwa ukiililia sana Simba SC, Je ukibwagiwa zigo utaliweza?

    Jamaa kila uchwao huwa anaililia simba hii, akipewa ataimudu au Ana mpango gani?, kuhusiana na simba atuwekee hapa!
  11. W

    Hakuna mwanaSimba anayeombea Yanga wacheze 15 Juni, wakicheza kuna hatari kubwa ya kumaliza msimu bila kombe lolote

    Hii sio meme, ndio hali halisi, Kama hata Singida walishinda 3 tena kwa huruma ya Refa kupunguza magoli, jambo la msingi ni kuwaombe Yanga washikilie msimamo wao "HATUCHEZI" vinginevyo kuna aibu Kombe la CAF shirikisho ❌ Kombe la FA ❌ Kombe la ngao ya Hisani ❌ Kombe la mapinduzi ❌ Kombe la...
  12. GENTAMYCINE

    Tajiri Mo Dewji yule 'Scout' wako wa Mchongo mpaka sasa ameshakuletea majina ya Wachezaji wangapi wa maana kwa Simba SC yetu ya 2025/2026?

    Kwakuwa mwaka jana nilikuambia tutafutane ili nikufanyie hiyo Kazi ukawaamini Wanafiki waliokuzunguka sasa GENTAMYCINE nimeshapata Wachezaji wa maana Watano kutoka Congo DR 2, Tanzania 1, Uganda 2 ila kwa Hasira wote nawapeleka Yanga na Azam ili nipate 10% yangu.
  13. GENTAMYCINE

    Fadlu hana Kosa na naomba asifukuzwe Simba SC yangu ila Machawa hawa wa Simba SC wakae mbali na Timu kwani pia ni sehemu ya tatizo

    1. Mzaramo 2. Mandala 3. Kisugu 4. G64 5. Friji Bovu Hawasemi ukweli na hawajui mambo ya Kiufundi, ila wanachojua ni Kudanganya, Propaganda na kujikomba kwa Tajiri na Uongozi ili wawe katika Payroll yake na wawe na uhakika wa kusafiri na Timu kwa kulipiwa Tiketi kila inapoenda.
  14. NALIA NGWENA

    Unahisi Mwamba kazingua wapi Kabla sisi (Viongozi Wa Simba SC) hatujamchukulia hatuka Kali ya kumshitaki TFF na Bodi ya Ligi ?

    Mashabiki wenzangu semeni mapema ili tupeleke report kwa baba (TFF na Bodi ya Ligi) Hii siyo Bure kabisa binafsi naona kama tumehujumiwa kabisa Nawasilisha hoja
  15. W

    Simba tumeanguka mara mbili, lakini si kwa mara ya tatu! Nguvu ihamishiwe Ligi kuu kumalizia mechi mbili zilizosalia tubebe Kombe, Njia ni nyeupe !

    Ni wiki ya maumivu… FA tulifika mbali, tukashindwa kutoboa. CAF tuliinua matumaini hadi fainali, tukarudi mikono mitupu. Lakini sasa tumekubali: vilio vya fainali vimepita – imebaki kazi moja tu… kuchukua LIGI KUU! Mechi mbili zimebaki – Kengold na Kagera Sugar, wanakuja kama vibonde lakini...
  16. GENTAMYCINE

    Nawaonya Simba SC yangu kwa mara nyingine tena kuwa 'Bwetekeni' Yanga SC HACHEZI nasi, kisha akileta Timu tarehe 15 Juni, 2025 tufungwe 12-0 sawa?

    Nina taarifa za uhakika kabisa kuwa Yanga SC ATACHEZA hiyo Mechi ila wanatumia Mbinu Kuu mbili za SAIKOLOJIA na PROPAGANDA ili tu KUIDHOOFISHA Simba SC hivyo NAWAONYA kwa mara nyingine Simba SC kuwa kamwe TUSIBWETEKE na WASITUDANGANYE bali ukweli ni kwamba Mechi ipo na hiyo tarehe 15 mwezi Juni...
  17. Auto-Marvelt

    FT: Simba SC 1-3 Singida Black Stars | CRDB Bank Federation Cup | Tanzanite Kwaraa | Mei 31, 2025 | Simba yatupwa nje | Singida yatinga fainali

    Wakuu, Leo inapigwa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank ni Simba SC dhidi ya Singida BS pale katika dimba la Tanzanite Kwaraa Mkoani Manyara. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 9:30 alasiri na kuruka mbashara kupitia AzamSports3HD. Je, ni Mnyama ama Singida BS nani kumfata Mwananchi...
  18. GENTAMYCINE

    Tuwe Wanamichezo na kamwe tusiwe Mashabiki, Simba SC hata tungecheza na RS Berkane mara 10 tungefungwa nao, na Ushindi kwetu Kwao ni Sare / Suluhu

    Mo Dewji atulie na asajili Wachezaji wa maana wa Kamaifa na wenye Uzoefu wa Mechi za Kimataifa ili wakusaidie katika Mechi za Kimataifa na vile vile katika Ligi ya Ndani (NBC Premier League) ambayo Kwao (hawa Wachezaji wa Kimataifa na wenye Uzoefu) itakuwa ni kama tu kufanya Mazoezi. Wala...
  19. Waufukweni

    Kelvin Nashon Naftal mzawa pekee aliyeanza kwenye kikosi cha Singida BS dhidi ya Simba SC

    Kiungo Kelvin Nashon Naftal wa timu ya Singida Black Stars ndiye mchezaji pekee mzawa aliyeanza leo kwenye kikosi cha Singida BS kinachocheza dhidi ya Simba Sports Club. Kikosi cha Singida Black Stars dhidi ya Simba SC, Ligi Kuu ya NBC. 1. Amas Obasogie 2. ⁠Andre Cirille 3. ⁠Imoro 4. ⁠Anthony...
  20. W

    FT | Simba SC 1-0 Singida Black Stars SC | NBC premier League | KMC Complex | 28.05.2025

    Simba 1 - 0 Singida Black Stars (⚽ MUKWALA 42' ) LIGI: NBC premier League ⚽🏆 Game: Simba SC v/s Singida Black Stars SC Tarehe: 28-05-2025 Uwanja: KMC Complex Muda: Saa kumi jioni ni mechi ya kiporo yenye mvuto wa kipekee, Simba SC wataingia dimbani kwenye uwanja wa KMC Complex kuchuana vikali...
Back
Top Bottom