simba sc

Simba Sports Club is a football club based in Kariakoo, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1936 as Queens, the club later changed their name to Eagles, then to Sunderland. In 1971 they were renamed Simba (Swahili for "Lion").
Simba is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Young Africans. Simba have won 21 league titles and five domestic cups, and have participated in the CAF Champions League multiple times. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship six times.
Nicknamed "Mnyama" (The Beast) or "Wekundu wa Msimbazi" (The Reds of Msimbazi), Simba play their home games at the Benjamin William Mkapa Stadium and the National Stadium. In 2020 Simba were the fastest growing Instagram account among football clubs, with 1.9 million followers and a growth of 89% from the previous year.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Tanzania Tumeshinda nimefurahi sana Leo lakini timu yetu bado ina madhaifu mengi sana, tujirekebishe tunapocheza na RS Berkane ugenini

    Kwanza napongeza sana uongozi wa Simba, bodi na mashabiki pamoja na serikali kwa kufanikisha Simba kuingia fainali na hivyo kuendelea kuweka rekodi. Mchezo wa Leo vs Stellebosch ulikuwa mzuri kwa sababu tumetoka share na hivyo kikanuni tumeweza kufuzu kwa BAO letu la home. Hata hivyo, kwa mtu...
  2. SankaraBoukaka

    JamiiForums Tanzania Simba yazika rasmi umbea wa ngonjera za medali za mchongo za Gongowazi!

    Kwa heshima na taadhima, tunapenda kuwapongeza Yanga kwa kuweka historia ya kuwa watalii rasmi wa fainali za CAF Confederation Cup! 🎖️😂 Kwa muda mrefu mmekuwa mkihubiri injili ya "medali, medali", sasa tumewasindikiza rasmi kwenye kaburi la hadithi hiyo! ⚰️🏅 Simba tunaenda fainali, tutavaa...
  3. ngara23

    JamiiForums Tanzania Tusilinganishe CAFCC Ile Yanga alochukua medali na hii ya Simba

    Naona baadhi ya wachambuzi na mashabiki wa Simba wasio na ufahamu wa masuala ya Soka wanalinganisha kufuzu Kwa Simba Leo kuwa amefika record ya Yanga Tukumbuke mashindano ya CAFCC ambayo alishiriki zilikuwemo nchi ambayo ni mabingwa wa mataifa Yao kama Yanga, Rivers united, Club Africain n.k...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Yanga Ruksa mchukue Ligi kuu, Muungano cup na hata FA, Simba tujikite kuleta kombe la kimatafa kwa mara ya kwanza Nchini

    Yanga mna ruhusa zote kubeba makombe yote ya ndani Ligi kuu, FA na hilo la Muuungano. Hayo makombe ya ndani yapo tu wala hayana stress, Simba tujikite na kombe la kimataifa ikiwezekana hata huko FA tujiengue
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania FULL TIME || TotalEnergiesCAFCC || Stellenbosch 0-0 Simba SC || Aggreggate 0-1 || 27.04.2025 || 16:00 EAT || Moses Mabhida Stadium

    Mechi ya nusu fainali Kombe la Shirikisho Afrika mkondo wa pili kupigwa leo Jumapili. Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Moses Mabhida akicheza na Stellenbosch. Mnyama anaingia katika mchezo huu akiwa na mtaji wa goli 1 - 0 alilopata kwenye mchezo wa kwanza pale Zanzibar. Mechi hii itapigwa...
  6. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Simba leo ikishinda natembea bila nguo na nipigwe Ban kwa kitendo hicho

    Ndiyo natembea bila nguo kifuani....watu waone manywele yote kifuani. Na kwa kitendo hicho nipigwe ban ya mwezi mzima kavu. Bila mbambamba. Sioni Simba ya kushinda match ya leo na washambuliaji kama akina Ateba na Ahoua anabaki na goal anapiga nje....nlicheka sana. Mshambuliaji migulu baja...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naelekea Durban, Inye Iche, Matokeo ni Suluhu au Sare kesho

    Mnyama kesho anafuzu nusu fainal bila shaka yoyote, narudia kesho mnyama anafuzu pale Durban. Utake usitake au kwa kisambaa Inye Iche tunakwenda final. Tujiandae kwa wingi kwenda kuipokea pale Airport, am on the way to Durban
  8. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Simba mkitaka kuchukua kombe la shirikisho! Mpanzu, Kibu na Ahoua waachwe Bunju hawa ndio wanaohujumu timu yenu

    Mimi naomba nipingane na mashabiki wote wa simba na wachambizi wa mchele hapa Bongo wanaojiita wachambuzi wa soka. Kibu, Mpanzu na Ahoua hawa watu wanatabia moja ya kupenda sifa, mapicha picha, camera na ujiko Uchezaji wao ni kama wa boka au kibwana shomari tena afadhali boka na kibwana maana...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wengi walioingia kushabikia Simba miaka ya hivi karibuni ndio wanaiua timu yetu kwa sababu ya mambo ya kijinga

    Leo baada ya ushindi kiduchu tunaanza kudanganyana kuwa mechi za nusu fainali hazina magoli mengi, pumbavu kabisa. Hazina magoli mengi wakati RS Berkane anaongoza bao 2 huko hadi sasa half time halafu wewe unaleta uchawa wako wa kijinga jinga. Wengine sisi tumeanza kwenda kuishangilia Simba...
  10. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Simba SC kwanini Deborah, Awesu, na Nouma, wanaanza Bench kila Mechi?

    Uongozi wa club ya Simba SC tafadhari huyu kocha wenu tutamzomea kuna sababu gani Deborah, Awesu na Nouma wanaanza Bench kila Mechi, inaumiza sana mechi zinazohitaji hao wachezaji kocha anafanya mchezo. Tusipofika fainali lawama mtazibeba kwa haya machungu yetu inatia hasira sana huyu kocha...
  11. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Simba SC habari imeishia Zanzibar , hii timu Yanga angeipiga goli 5

    Tuacheni MZAHA SSC leo imejimaliza. Bado kikosi cha SSC ni dhaifu, halafu ni kama wachezaji hawana hari. Last game pale Misri SSC ilikuwa na shot on Target 10 , sadly hawakupata goli, Al masiri walikuwa na 2 shot on target na wakapata goli 2 . Huwa wachezaji wa SSC hawajui maana ya Fursa, too...
  12. MwananchiOG

    JamiiForums Tanzania Nina uhakika 100% kama Simba ingeshiriki CAFCL kwa kikosi hiki isingeweza kufuzu hatua ya makundi

    Kuna wakati inabidi mashabiki wa Simba wawe na shukrani, Maana kama hiki ndicho kikosi chao cha kwanza, na aina hii ya uchezaji, basi nina uhakika 100% wasingeweza kufuzu hatua ya makundi katika mashindano ya Mabingwa wa bara la Afrika. Wanapaswa kuoshukuru sana Azam na kushukuru kudondokea...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nasema Hivi Simba akipita hii hatua Niwe banned kwa miezi 4

    Hii ID ni moja ya ID zinazogombewa sana humu ndani. Watu wanapanda dau niwaachie. Wengi baada ya kugundua kupitia ID hii siri kubwa sana.... Niliache hili. Naangalia hapa kwenye kioo sioni. Naangalia tena sioni hata kwa kuibia ibia. HAMNA KITU YAANI ZERO KABISA. SIMBA HAIENDI SHINDA HATA NUSU...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Simba pamoja na kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani na kufanya Kila kitu Stellenbosch wameonyesha uwezo

    Ule msemo wa uchawi aupandi ndege inawezekana ukaja kutimia kule bondeni kwa madiba! Simba pamoja na kuwa kwenye uwanja wake wa nyumbani na kufanya Kila aina ya ushirikina bado wamepewa mechi ngumu na vijana wa madiba! Kama kawaida yao na jadi yao ya ushirikina ndio vimewanusuru Leo kupata...
  15. Bueno

    JamiiForums Tanzania Tarehe 27.04.2025 Simba SC anafungwa na Stellenbosch FC, asipofungwa naomba nipigwe ban JF kwa muda watakaoupendekeza Mashabiki wa Simba SC

    Wakuu sijamaliza, muendelezo ni ule ule baada ya leo wale Makolo kufunga goli la Offside ya mchongo kutoka kwa Kibu akipewa assist na refa. Sasa game inayofuata kwa Madiba miamba Stellenbosch wanaenda kuukata mzizi wa fitna. Simba SC kwa Stellenbosch hafui dafu nyumbani kwa Stellenbosch. Kwa...
  16. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 1-0 Stellenbosch FC | Nusu Fainali CAFCC | New Amaan Stadium | 20.4.2025

    Mechi kali ya mkondo wa kwanza Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika inapigwa leo, ambapo Mnyama Simba SC anawakaribisha Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini, katika dimba la Amaan, Visiwani Zanzibar. Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 10:00 jioni. Kaa karibu kwa Live updates Asubuhi...
  17. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Simba SC kuzindua viwanja viwili vikubwa nchini

    Hata ufanye nini, ukubwa haujifichi. Kuna timu ilipelekwa huko katikati ya mashamba ya alizeti eti kuzindua uwanja ambao kwanza hauna hata majukwaa na matokeo yake wageni rasmi waliloana tepetepe, kamvua tu kadogo kakasitisha mechi. Wakati huo huo, Simba imepewa heshima ya kuzindua viwanja...
  18. aka2030

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe kashifa ya mkurugenzi wa JAYRUTTY watengeneza jezi wapya wa simba sc

  19. Kekule Wa Benzene Ring

    JamiiForums Tanzania Mdhamini mpya wa Jezi wa Klabu ya Simba aliwahi kutuhumiwa kwa makosa haya

    Kwanza nimpongeze Mtanzania mwenzangu Joseph Rwegasira Samson kwa kushinda tenda ya kuzalisha jezi za mnyama. Pili niwapongeze SIMBA SC Kwa Mkataba mnono WA jezi wenye thamani ya BILLION 38.6 Kwa Miaka mitano. Ukiwa pamoja na Extra bonuses kama vile Ujenzi wa uwanja...Media production...
  20. ngara23

    JamiiForums Tanzania Udhamini wa Jay Ruty Kwa Simba utuamshe Yanga

    Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, tukiachana na utani wetu wa jadi wa hapa na pape ila mtani katisha Mtani Leo amepata ufadhili mkubwa mno, billion 38 Kwa miaka 5 ni pesa ndefu mno, Simba ina wastani wa kuvuna billion 7.6 Kwa kila mwaka. Ambayo ni pesa ndefu kiukweli Nimeshtuka kusikia...
Back
Top Bottom