Expect unexpected,nilijua atarudi,ndio kwani kafanya mengi yenye kuonekana,nasema hivo Mimi mwananchi ninayeishi naye huyo mgombea aliyekatwa.
Amewakilisha wananchi vilivo,alisemea wananchi shida zetu akajenga hoja ameangukia pua,nahama kwenye siasa sitaki tena siasa za majimoto,husda,vihoja...