WanaJF
Kwanza nianze kwa kusema ya kuwa, nimefanikiwa kufika kwenye shule mbalimbali nikiwa kwenye harakati za kusaka tonge.
Shule hizo, nyingi nilizifikia mwaka wa masomo wa 2020 na 2021.
Kiufupi, nilifikia shule kwa orodha ifuatayo.
Wilaya ya Geita
1. Halmashauri ya wilaya ya Geita...