Zamani enzi zetu, kila mwaka tulikuwa tunaona gari la waguzi wanakuja na kukaa shuleni walau siku tatu hadi wiki wakifuatilia maendeleo mbalimbali (sifa za waalimu, vifaa, majengo nk nk)
Nimejiuliza kwa sababu, kwa miaka hii unaweza kusikia Muandishi wa habari anaripoti madarasa yanataka...