Balad al-Sheikh (traditional transliteration) or Balad ash-Shaykh (most recent form of transliteration; Arabic: بلد الشيخ) was a Palestinian Arab village located just north of Mount Carmel, 7 kilometers (4.3 mi) southeast of Haifa. Currently the town's land is located within the jurisdiction of the Israeli city, Nesher.
Akihutubu kwenye msikiti wa Kichangani. Sheikh Walid ameshangaa inakuwaje sheikh anaingia msikitini na Bastola
👇
Hapa Sheikh Walid anashangaa inakuwaje sheikh anakuwa na bodyguard na Bastola.
Lakini hapa chini Al Had Mussa akajibu kuwa sheikh kumiliki Bastola ni Sunnah
👇
Kwa maoni yako yupi...
Ni rasmi sasa uongozi wake umehitimika.
Maswali muhimu ya msingi
1. Wakati anaingia madarakani alijaza mkataba ? (Ni vyeo vya mkataba ? au ?)
2. Unapoondolewa Kwa mtindo huo (kudhalilishwa na kufukuzwa kwenye cheo chako "cheo cha Walid" nini hatma yake ?
MAJIBU
Aje kiongozi mbele ya umma...
Barua ya wazi kwa Sheikh Walid
Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh,
Sheikh Walid, kwanza napenda kukufikishia pole zangu za dhati kwa mitihani na changamoto ambazo umekutana nazo katika kipindi hiki. Tunamuomba Mwenyezi Mungu akupe subira, nguvu na hekima katika kukabiliana na kila...
KBARUA YA WAZI KWA MUFTI MKUU WA TANZANIA: WITO WA UWAZI KUHUSU SAKATA LA KUONDOSHWA SHEIKH WALID
Kwa: Mufti Mkuu wa Tanzania
Yah: Ombi la kuweka wazi sababu za kuondoshwa Sheikh Walid ili haki na ukweli ujulikane
Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh,
Kwa heshima na taadhima...
Asalam aleykum Sheikh.🙏🙏
Sheikh mie ni pagani.Ni atheist mie.Siitikii kengele wala adhana na kabla ya madhila hii kukupata sikuwa nikikufahamu na nashindwa kukupa pole sheikh sbb sijui kwanini umeenguliwa ila naamini kuna kosa umetenda na nina tamani kujua ulipokosea sababu;
1)Video zako...
Binti anayedai sheikh ni mzazi mwenzake hataki kuwa single mother, anataka mtoto wake kulelewa na baba yake, kosa lake liko wapi hadi ashambuliwe?!
Mnaomshambulia huyu binti leteni ushahidi kwamba amepangwa ndipo mueleweke kumtetea Sheikh wenu kipenzi.
Utetezi kwamba amevutia watu wengi hasa vijana kushiriki katika dini kikamilifu hauna mashiko.
Utetezi pia kwamba kila mtu ana madhambi kwa hiyo asihukumiwe sio sawa, kama kuna ushahidi alitishia kumuua mwanamke aliyezaa naye na mtoto wake pia ashughulikiwe.
Kusiwepo ni double standards.
Askari wa Jeshi la Polisi nchini, wameuzingira Msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni, ambao awali ilidaiwa aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Walid Omari Kawambwa, angekwenda kuswali Swala ya Ijumaa.
Katika mitandao ya kijamii kulisambazwa taarifa za waumini kujikusanya katika msikiti...
Mara nyingi nikipita pita kwenye mitandao ya kijamii ninaona video za huyu Sheikh na ninaziangalia na ninazisikiliza.
Soma Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Walid Omar Kawambwa atenguliwa kwa kukiuka 'misingi' ya Uongozi
Huyu Sheikh ana kitu, utosi wake umejaa maarifa ya dini yake na sehemu...
Mbinu ya 'Asali na Mtego': Jinsi Skandali za Mapenzi na Nyaraka Zinavyotumika Kuangusha Nembo za Kidini (Kisa cha Sheikh Walid na Fr. Dr. Kitima)
Wana-JamiiForums, hamjambo!
Katika ulimwengu wa sasa, vita dhidi ya viongozi wa dini wenye ushawishi mkubwa haipigwi tena kwa kutumia hoja za kiasili...
Huwa nasema hakuna watu wanafiki kama masheikh, hakuna watu wanaofanya maovu kwa kujificha kama masheikh,Hawa ndio wazinzi wakubwa,wavuta Sigara na watukanaji WAKUBWA .
ila ndio wakwanza kushambulia watu na kuwalazimisha wamfate Allah kumbe wao hawawezi .
Huyu kwenye picha na video ni Sheikh...
Katika Moja ya kazi zangu za muda mrefu ni kutengeneza maudhui ya YouTube. Miaka ya hivi karibuni nilianza kuvutiwa na mihadhara ya kiislamu, Kwa hivyo nikaanza kufanya YouTube content za kiislamu.
Kiukweli nilia navutiwa sana na style ya sheikh Walid Omar. Na baadhi ya masheikh kama...
Baraza la Ulamaa BAKWATA limeazimia kumsimamisha Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Walid Omar Kawambwa kutokana na mienendeo inayokiuka misingi ya kiungozi ya Kibaraza
Uamuzi wa Baraza hilo umetolewa leo tarehe 14/07/2026, mara baada ya kukutana katika Kikao cha dharura chini ya Kaimu Mufti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.