sheikh mwaipopo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Tuna kundi la vijana 38,000 wanaojiita "Mbwa Mwitu". Ukiandamana Sabasaba wanapita na maini yako

    Sheikh Mwaipopo akiwa amezungukwa na baadhi ya vijana hao,anasema kuwa kikosi chao tayari kimesambazwa na kushika hatamu katika miji mikubwa ikiwemo Dar es Salaam, Arusha, Mwanza, Mbeya, Iringa, Musoma (Mkoa wa Mara), na Kilimanjaro Anasema lengo kuu, kwa mujibu wa kiongozi huyo, ni kukabiliana...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Madai ya Sheikh Mwaipopo Kunusurika Utekaji: Tishio Halisi au Kiki za Kusafisha Bonge la 'Backfire' la Kauli ya Kutahiri Watu?

    Wakuu salama, Kama mnavyofahamu, nchi yetu hivi karibuni imekuwa kwenye taharuki kubwa ya matukio ya watu kutekwa na kupotea. Lakini katika hali ya kushangaza na inayoacha maswali mengi, Sheikh Said Mwaipopo naye amejitokeza na kudai kuwa kuna watu walifika ofisini/nyumbani kwake wakiwa na...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nimepewa maono, Sheikh Mwaipopo unafuata kama ilivyokuwa kwa Sheikh Majini

    Sheikh Mwaipopo, Tanzania ni Kubwa kuliko CCM, kuliko Samia na Genge lake !!. Sheikh Mwaipopo, Mungu kanipa Maono, ilikuwa usubiriwe Usimame mbele Kuta za MAHAKAMA ujibu Tuhuma za Harakari zako za Kigaidi. Sasa Mungu amenena nami, kama alivyonena na Manabii wake juu ya Wafalame waovu, UNAFUATA...
  4. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Serikali imkamate Sheikh Mwaipopo, acheni double standards. Haya mambo ndio yanachochea chuki na kuligawa Taifa

    Shekhe Mwaipopo kaongea maneno ya uchochezi wazi wazi kila mtu ameona lakini bado yuko uraiani anadunda tu. Je, haya maongezi angekua ameongea mtu mwingine mlengo mwingine angekua bado yuko uraiani?. Tuseme Mwaipopo ni mwana CCM ni kada wa chama...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania TISS na Tanpol mnajua Sheikh Mwaipopo alishawahi kuthibitisha aliwekwa kundi la ugaidi Somalia kama mateka ila mnajizima data

    Shida ya JF yetu ni refa wa kuchagua maamuzi ila anajisahau kuwa siku tukiwatetea kuhusu VPN 😁 . Huyu shaikh mwaipopo mi sitaki kuwa msimuliaji angalia historia yake wanao mfahamu na yeye alishawahi kusema lile kundi waliwahi kumuepusha kuuliwa ila alitakiwa kukubari mafundisho. Sasa neno mbwa...
  6. Etwege

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo hukujifunza chochote kutoka kwa yaliyomtokea shehe Sharifu Majini?

    Wewe shehe Mwaipopo kwa kutoa matamko ya kutishia watu na kuitetea CCM humfikii hata robo marehemu shehe Sharifu Majini lakini aliishia kupigwa risasi za kutosha kwenye maandamano ya October 29. Wewe shehe Mwaipopo vitisho vyako vinakuweka hatarini zaidi wewe na familia yako kuliko waandamanaji...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo, Muislam wa Misimamo Mkali na Hatupaswi kucheza na hili kundi, Hawa ni lazima Wamulikwe na US !!

    Hili Kundi linaloendesha shughuli zake za Kisiasa-Kiislamu kwa Mrengo wa Uislam, ndio lile lile ambalo Magufuli alilipiga Pini . Hili Kundi ni lazima tuliweke Wazi, Dunia ilitazame. Hatupaswi kucheza na hili kundi, hawa tukiwaacha, kutaibuka vikundi vya kigaidi chini ya mwamvuli wa kumlinda...
  8. ngara23

    JamiiForums Tanzania Serikali mngekaa kimya kama kauli ya Sheikh Mwaipopo ingetolewa na kiongozi mkristo "kumiliki kikundi cha mbwa cha kuchinja na kuuwa"

    Shehe ubwabwa Mwaipopo, anajitambuliza kama katibu wa habari wa BAKWATA amengaza ugaidi na serikali na police wapo kimya 1. Anamiliki kikundi cha mbwa mwitu, (uhalilifu) Alisema wazi akiamuru kamata wanakata, akiamura ua wanauwa. She Mwaipopo anadeka na anaendesha serikali kwakuwa ni muisla 2...
  9. MLIMAWANYOKA

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula: Unajua sababu za Sheikh Mwaipopo kutaka 'Kuwatahiri watu bila ganzi'?

    Anaandika Askofu Mwamakula ______________________ JE, UNAJUA SABABU ZA SHEIKH MWAIPOPO KUTAKA 'KUWATAHIRI WATU BILA GANZI'? Wiki hii kaibuka Sheikh Mwaipopo, kaita press na kutamka maneno mazito. Baadhi ya maneno hayo ni 'kutairi waandamanaji bila ganzi', kuwa na 'kikosi cha mbwa mwitu', nk...
  10. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Tunakupongeza Sheikh Mwaipopo kwa uzalendo wako dhidi ya wavunjifu wa amani nchini

    Friends and Our Enemies, Kauli alizozisema sheikh mwaipopo na za kuungwa mkono na kila mzalendo na mpenda amani wa taifa letu. Hakuna ubaya kabisa kama watu wanaopanga uhalifu kama walioufanya kipindi cha uchaguzi wakaachwa hivi hivi bila kuchukuliwa hatua. Tukikukumbuka tulikotoka wachochezi...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Haki ya kikatiba vs vikosi vya ulinzi: kauli ya sheikh mwaipopo na ukimya wa polisi unatafsiri gani?

    Wakuu, Nadhani wengi wenu mmeona au kusikia taarifa za mkutano na waandishi wa habari uliofanywa na Sheikh Said Mwaipopo mnamo Juni 20, 2026, kuelekea maandamano yaliyopangwa ya tarehe 7 Julai (Saba Saba). Katika kauli yake, ametishia kuwepo kwa "kikosi kazi maalum" kitakachowashughulikia...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mwaipopo: Waliopanga kuandamana, tutakayemkamata tutamtahiri bila ganzi

    Sheikh Said Mwaipopo ametangaza kiama kwa Wanaharakati na wote ambayo wanajinasibu kuandamana Julai 07 na kwamba watachoma shule, hospitali na miundombinu muhimu, watashughulikiwa na kikosi kazi maalum ambacho amekitambulisha mbele ya jopo la waandishi wa habari leo Juni 20, 2026 Dar es salaam...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Ina maana CHADEMA ni tishio mpaka ifutwe? Inamtishia nani? CHADEMA ina watu wanne ambao ni mazwazwa

    Kauli anazoendelea kuzitoa Sheikh Said Mwaipopo kuna wakati zinakuacha mtu ukibaki mdomo wazi, ukijiuliza kama kweli zimefikirika kabla ya kutolewa. ================ Shekhe Said Mwaipopo amesema amesikia taarifa ya msajili wa vyama kutoa taarifa ya onyo kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
  14. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mwaipopo: Kama sio vyombo vya ulinzi kupanga WAPIGANAJI wao barabarani hii nchi ingekuwa imekwenda. Hawakufanya kosa kwanini wajiuzulu?

    Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam mapema leo Shekhe Said Mwaipopo amewataka wale wanaoshutumu viongozi wa ulinzi na usalama katika utekelezaji wa kazi zao hasa katika kipindi cha uchaguzi mkuu wa oktoba 29 Ameyasema hayo wakati akiongea na waandishi wa habari ambapo...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Uongozi si jambo dogo, wapo wanaopewa vyeo na kuvitumia kama bakora ya kutesa watu

    Sheikh Mwaipopo akizungumza katika mkutano uliowakutanisha viongozi mbalimbali wa dini ametoa wito kwa watu kuheshimu na kuwapongeza viongozi kwani kazi hiyo si kazi ndogo. Ameongea kuwa kiongozi kama Rais hawezi kutukanwa tu watu mitandaoni.
  16. gallow bird

    JamiiForums Tanzania Sheikh mwaipopo adai kitima alikutana na heche na kumpa milioni mia

    Sheikh mwaipopo anaonekana misikitini akidai kitima alikutana na heche na kumpa milioni mia moja Ni matumaini yangu, kanisa langu makini moja takatifu la mitume litakanusha,na siyo kukanusha tu bali kumchukulia hatua za kisheria sheikh mwaipopo,maana kazidi sana! NB: Modes acheni kufuta nyuzi...
  17. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Pichaa hii ya Padri Kitima na John Heche walipofanya mazungumzo Januari 06, 2026

    Wakuu hii picha inasambazwa kwa kasi sana mtandaoni leo inasemekana kuwa Padre Kitima na John Heche walikutana na kufanya mazungumzo Januari 06, 2025. Je, ni kweli? i
  18. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mwaipopo: Mzee Warioba anakosoa Serikali kwa chuki baada ya shinikizo la kumteua mwanaye kuwa mkuu wa mkoa kukataliwa

    Katibu wa Baraza la Habari la Waislamu nchini Tanzania (BAHAKITA) Sheikh Said Mwaipopo amesema sababu ya Chuki na ukosoaji unaofanywa na Waziri Mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba ni kutokana na mwanae kushindikana kuwa Mkuu wa Mkoa kama Mzee Warioba alivyokuwa ameomba kwa Rais Dkt. Samia...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mwaipopo: Warioba anatumiwa na wazungu kueneza chuki kwa watanzania

    Sheikh Mwaipopo amemvaa Jaji Mstaafu Warioba kwa kudai kuwa anaeneza chuki na anatumiwa na wazungu. Aidha, amesema kuwa kila panapokuwa na uchaguzi ni jambo la kawaida kwa vyombo vya ulinzi na usalama kujiandaa ipasavyo. Akinukuliwa amesema:
  20. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Sheikh Mwaipopo: Sheikh Sharif Majini alipigwa risasi ya kifua na tumbo BAHATI MBAYA akiwa nyumbani kwake

    Hii dunia ina wanafiki wengi, Huyu Sheikh Mwaipopo mchumia tumbo kama wengine, hivi mtu unawezaje kupigwa risasi mbili bahati mbaya, kwamba asisema amedhulumiwa uhai makusudi na mamlaka, naye atauawa? Huyu na wanafiki wenzake wa BAKWATA ndo wamekuja na tamko la kijinga kuhusu uchaguzi. Soma >...
Back
Top Bottom