Shanga is an archaeological site located in Pate Island off the Eastern Coast of Africa. The site covers about 15 hectares (37 acres). Shanga was excavated during an eight-year period in which archaeologists examined Swahili origins. The archaeological evidence in the form of coins, pottery, glass and beads all suggest that a Swahili community inhabited the area during the eighth century. Evidence from the findings also indicates that the site was a Muslim trading community that had networks in Asia.
Waakuu, rejea kichwa hicho km kinavyojieleza hapo juu, namaanisha kichwa cha habari. Siku za hivi karibuni nikikutana na Mwanamke ambae havai Shanga haanipi amsha amsha kabisa.
Why? Wanawake wanaovaa Shanga wana vitu via pekee kuliko wasiovaa, nina ushahidi wa kutosha. Sasa imekua nikikutana na...
Habari wakuu?
Tukiachana na hizi shanga wanazo vaa dada zetu mama zetu au mabinti zetu
Sijui na Sina hakika kama ni ulembo tu au Kuna mambo mengine ya ziada nyuma za shanga hizo lakini sizi zungumzii hizo shanga hapana
Nime shuhudia waganga wakienyeji wakiingia kwenye majumba ya watu wakitoa...
Chale za wanga ni aina ya mihuri ambayo huwa anawekwa mtu usoni na wachawi. ukishawekwa mihuri hiyo huwa ni ngumu kutibika na huishia kuumwa mpaka uifute mihuri hiyo ambayo ni alama ndogo sana na hujulikana nakuonekana kwa wenye ujuzi.
Mtu kwenda kwa mtaalam na kuchanjwa chale ni ishara ya...
Kuna mtu nilikua namshughulikia usiku wa leo,kavaa mashanga kiunoni..binafsi mimi hayajanivutia,nimeona kama ni uchafu tu.
So maybe help me to understand, hiyo mishanga huwa inaongeza nini wakti wa kukulana?
BANA WEWEE USITUKANE MAMBA UJAVUKA MTU
MSIKILIZEE MWAMBA ANAVYOSEMA
YANGA WALIVAA SHANGA
MEDALI BILA KOMBE KAMA SHANGA TUU
WAO WANALETA KOMBEEE
WAMEISSHIAA
KUJA NA SHANGA ZILE ZILE LOH
Salaam, shalom!!
Najaribu kuangalia tofauti kati ya shanga zinatumiiwa na Waganga, maasai, rozali na misaafu ,zinakuwa na mwonekano unaokaribiana Kwa karibu!!
Nini Hasa asili ya shanga, rozali na misaafu ?
Wenye majibu tafadhali 🙏
Wadau hamjambo nyoote?
Leo nadhani nimepewa zawadi ya boxing day.
Nilitoka na familia yangu mimi na mke wangu na mama mkwe ambaye kaja tu kusalimia nikaona si ubaya tukatoka tukaelekea Luguluni huko. Tukapata sehemu nzuri tukawa tunaongea maisha.
Mara akapita Mmasai mkononi kashika zile fimbo...
Sina mengi ya kusema kichwa cha habari Kiko bayana karibu tuzungumze wengine mna mtazamo gani kuhusu wanawake hasa kuvaa shanga.
Vibe langu limekaa kwenye shanga, obviously shanga huambatana na miuno kama yote
Pang Fung Mi
Waungwana sijui ni mizimu ya aina gani nakosa mzuka kumnyandua Mwanamke Ambaye hajavaa Shanga, nachafukwa nikiona demu hajavaa shanga na hana kawaida ya kuvaa shanga.
Naboeka sana na aina hio ya wanawake Washamba.
Pang Fung Mi
Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na masikioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali ikiwemo madhara ya kudumu na kifo.
Kauli hiyo imetolewa na Jopo la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Kifua na Moyo, Mapafu na Mfumo wa...
Kutokana na utandawazi, karibia robo tatu ya warembo kwa nyakati hizi huwa wanavaa shanga kiunoni au ata miguuni; wao wanaita urembo.
Ingawa wao wanavaa wakiamini, huwa zinawapendezesha na pia uwavutia wapenzi wao pale wanapokuwa au wanapohitaji kuwa kwenye mahusiano.
Mara nyingi warembo...
Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua?
Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi wakati tunakua ndo tulikuwa wanawake tunawapa maua. Siku hizi mtoto wa jinsia me anataka apewe maua...
Ni miaka ya 2000/2001 huko wilayani kwetu jamaa mmoja aliyeitwa Ibu aliibua taharuki mtaani baada ya kubuni style ya kuwavutia wadada.
Alikuwa akivaa shanga na kukatika viuno vya kiwango cha SGR.
Sasa kila dada akipitiwa anaweza kusimulia kuwa Ibu ni moto wa kuotea mbali. Basi wakawa wao ndio...
Likizo niliambiwa this time unaenda kumsalimia bibiyo. Nikaona si Issue....nikabadili mazingira huko Morogoro.
Basi nikaenda kule kijijini nlikuwa gumzo miaka hiyo nimepiga pamba kali nimeweka na plata shavuni kama Nelly.
Basi walikuwepo watoto wakali sana ila mimi domo zege halafu sina...
Yas kama bei ya karatasi [hizi rimu/ream sijui] imefikia sijui 20,000s, na gharamagharama sijui thelathini naa huoni kama ni yaleyale. Ya kutoa dhahabu na kupewa kioo!!
Tunapewa kakitu kadogo tusichozalisha kwa bei kubwa na ili kupata fedha za kununulia huto tuvitu tunauza chakula chetu cha...
Salama wakuu.
Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi?
Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na mahaba kedekede siyo mzoefu na kifupi sijawahi kula mwanamke wa shanga.
Na shinikizo linakuja kwa watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.