Shanga is an archaeological site located in Pate Island off the Eastern Coast of Africa. The site covers about 15 hectares (37 acres). Shanga was excavated during an eight-year period in which archaeologists examined Swahili origins. The archaeological evidence in the form of coins, pottery, glass and beads all suggest that a Swahili community inhabited the area during the eighth century. Evidence from the findings also indicates that the site was a Muslim trading community that had networks in Asia.
Nini madhumini na matumizi ya vitu vifuatavyo wavaapo wakina dada na akina mama katika jamii yetu?
1: Kipini cha puani a.k.a (Kishaufu) iwe kushoto au kulia
2: Kikuku iwe mguu wa kushoto au kulia au yote kwa pammoja
3: Na mwisho ni Shanga za kiunoni.
Je, waonaje? Vyapoteza maana halisi kwa...
Mwaka 2003, safari yangu ya kwenda Tanga iliiva kutoka mkoani Kilimanjaro, kwa babu mzaa baba, kuelekea Tanga kwa babu mzaa mama. Siku hiyo nyumbani kwa babu kulikuwa na sherehe, basi watu walikula na kucheza sana. Wakati wa kucheza babu akanikuta niko nimeshikilia jimama nacheza nalo, ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.