mzee wa magumashi
Senior Member
- Oct 10, 2012
- 136
- 42
Salama wakuu.
Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi?
Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na mahaba kedekede siyo mzoefu na kifupi sijawahi kula mwanamke wa shanga.
Na shinikizo linakuja kwa watu wanaomzunguka wife yaan ofisin kwao wanawake majority Wana shanga, nikapata swali dogo kwamba akivaa siyo ikawa ngome ya majini mahaba?
Matusi siyo sehemu yake na kama no bathing better kupita kwenye Uzi huu.
Asanten wakuu.
Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi?
Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na mahaba kedekede siyo mzoefu na kifupi sijawahi kula mwanamke wa shanga.
Na shinikizo linakuja kwa watu wanaomzunguka wife yaan ofisin kwao wanawake majority Wana shanga, nikapata swali dogo kwamba akivaa siyo ikawa ngome ya majini mahaba?
Matusi siyo sehemu yake na kama no bathing better kupita kwenye Uzi huu.
Asanten wakuu.