sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. Tanzania Railways Corp

    Fahamu tofauti kati ya mizigo(luggage) na kifurushi (parcel) ukisafiri na SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa ufafanuzi wa aina gani ya mizigo abiria anayoruhusiwa kusafiri nayo katika mabehewa ya abiria ya SGR. Akitolea ufafanuzi huo Aprili 12, 2025 katika stesheni ya Magufuli Jijini Dar es Salaam, meneja wa Treni za abiria wa TRC Bw. Ringo Mboma...
  2. K

    Natafuta Co-Founder wa mfumo wa Kisasa wa booking kwa usafiri wa SGR (Train Booking App)

    Habari wana JF, Mimi ni software engineer mwenye uzoefu, na nina ham kubwa ya kuingia kwenye ujasiriamali wa kiteknolojia – hususan kutengeneza mifumo inayotatua changamoto kwenye jamii yetu. Miezi michache iliyopita nilisafiri kwa mara ya kwanza kwa kutumia SGR, na kwa kweli experience...
  3. C

    Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR & Comedy awards!

    Hilo Bunge la Ulaya wanatuonea wivu SGR yetu na Tuzo za Comedy. Tumestuka. Msaada tutapata Dubai na Morocco
  4. Tanzania Railways Corp

    Waziri Mbarawa awasihi waTanzania kulinda miundombinu ya SGR

    Waziri wa uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, amewasihi Watanzania kushirikiana na Shirika la Reli Tanzania (TRC), kuilinda na kuitunza miundombinu ya treni ya kisasa ya Umeme (SGR). Prof. Mbarawa, ametoa wito huo katika stesheni ya Magufuli Dar es Salaaam, muda mchache baada ya kumsindikiza Rais...
  5. M

    Wakenya walitusimanga sana na SGR yao, sasa wanakiona cha moto

    Tanzania ikiwa chini ya utawala wa Rais Kikwete na wakenya wakiwa chini ya Rais Uhuru mwaka 2013 wakazindua treni ya haraka (SGR) inayotumia dizeli na kuifanya Kenya kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya kati kuwa na treni ya mwendokasi, basi na kwa jinsi wakenya wanavyopenda majivuno...
  6. Kitchener

    Yale mabehewa ya SGR ya ngazi mbili yapo wapi? au tulishapigwa na kula hasara?

    Kwa wapenzi wa kupanga train ya mwendo kasi, kuna mabehewa fulani tulitunua kwa kodi za wananchi, tukatumia garama kubwa kusafirisha toka korea hadi hapa, ila sijaona yakitumika. Zipo fununu kwamba hayakuwa compatible, tunataka kujua why not compatible? yapo wapi? mazima au walituletea...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Makalla: Kukamilika kwa SGR ni matokeo ya Utawala bora wa CCM

    Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), CPA Amos Makalla, amesema kukamilika kwa miradi mikubwa ya kimkakati nchini, ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), ni matokeo ya sera madhubuti na mipango thabiti ya CCM inayolenga kuwaletea maendeleo...
  8. Tanzania Railways Corp

    Abiria zaidi ya milioni 2.3 wasafiri na SGR; Makusanyo yakifikia Tsh. Bilioni 66.8

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania - TRC ndugu Masanja Kungu Kadogosa amesema kuwa TRC imeweza kusafirisha zaidi ya abiria milioni 2.3 tangu kuanzishwa kwa uendeshaji wa treni ya SGR June 14, 2024 hadi sasa Aprili, 2025. Akizungumza katika kipindi cha " One on one" cha Wasafi TV Ndugu...
  9. Waufukweni

    Naibu Waziri Uchukuzi, Kihenzile: Mzigo chini ya kilo 20 hutakiwi kulipia nauli kwenye SGR

    Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amesema sheria na kanuni ya Leseni ya Usafiri wa Umma inamruhusu abiria kupakia mzigo ambao upo chini ya kilo 20 bila kulipia kwenye basi la abiria. Akijibu swali la Mbunge wa viti maalumu, Anatropia Theonest aliyetaka kufahamu ni kwa kiwango gani...
  10. T

    Nilicho-experience katika safari za treni za SGR hadi sasa

    Nimesafiri na aina zote za train tokea ile ya enzi za mkoloni aka gari moshi hadi hii SGR ile express na Ordinary. Wastani wa safar zangu kwa sasa ni kama mara 24 nikipanda madaraja ya uchumi (economy) na biashara (Business). Royal class ipo njian pia. Naipongeza serikali kwa huu mradi, hakika...
  11. T

    Kwa nini tusiwe na safari za ziada za SGR kwa siku zenye abiria wengi?

    Wanajukwaa, Sote tunafahamu kwa nchi yetu na maeneo mengi haoa ulimwenguni, ikifikia kipindi cha sikukuu au likizo za wanafunzi abiria wanakuwa wengi kupita kiasi. Lengo la uwepo wa usafiri wa uhakika umma ni kuhakikisha watanzania wanawahi ratiba zao mbalimbali huko waendako bila kulazimika...
  12. Waufukweni

    Mbunge ashauri bei ya VIP SGR ipunguzwe

    Mbunge wa Kyerwa, Innocent Bilakwate ameiomba Serikali ipunguze nauli ya daraja la VIP katika treni ya kisasa (SGR) kutoka TSh 150,000 hadi TSh 70,000 ili kuongeza mapato. Amesema bei ya juu inachangia idadi ndogo ya abiria, akitoa mfano wa behewa linalobeba abiria 40 wakati mwingine husafiri...
  13. Waufukweni

    Waziri Mkuu, Majaliwa: SGR Dar - Dodoma yakusanya TSh. Bilioni 54.9

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amesema kwa kipindi cha Agosti Mosi 2024 mpaka Februari 2025, Jumla ya shilingi Bilioni 54.9 zimekusanywa kwenye huduma ya usafiri wa reli kati ya Dar Es salaam - Morogoro - Dodoma. Waziri Mkuu Majaliwa amebainisha hayo leo...
  14. K

    Serikali iondoe SGR toka TRC

    SGR inaonesha kufanya vizuri na ikisimamiwa vizuri itafanya vizuri zaidi. TRC ni dude kubwa sana na hawajawahi kuendesha kwa faida. Serikali iiondoe SGR kutoka shirika la reli hili iwe rahisi kufuatilia uendeshaji wake la sivyo pesa inayopatika SGR itaenda kutengeneza miundombinu...
  15. Mkalukungone Mwamba

    Mambo 7 kuhusu TRC na mradi wa SGR uliogharimu trilioni 29.5

    Ili kuwa mwandishi mzuri wa habari, ni lazima uwepo eneo la tukio. (To be a good journalist, you have to be there.) Ryszard Kapuściński Ni ngumu sana kulizungumzia jambo kiundani kama aukuwepo eneo la tukio. Mazingira yanaweza kuzungumza na kukupa picha kubwa au ndogo ya jambo umelisikia au...
  16. Sheffer95

    Hivi kipande cha SGR kutoka Dodoma mpaka Singida kina kamilika lini?

    Nimebaki najiuliza ni kama watanzania tumepumbazwa au tumeridhika na kukamilika kwa kipande cha kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma Mimi ningependa kujua hivi kipande cha sgr kutoka dodoma mpaka singida ujenzi wake umefikia asilimia ngapi?,lini kina kamilika? Na kwanini unakuta muda mwingi...
  17. J

    VIDEO: Sasa kama wanayajua haya kwanini ATCL, TTCL na SGR zinaendelea kutia hasara kila ripoti ya CAG?

    Nimesikiliza hii clip kwa zaidi ya mara tano hiki kitu kinachoitwa Ubia naona kama kinaelekea elekea hivi kwa mbali, Mimi nashauri badala ya kila siku CAG kutangaza namba kubwa kubwa za hasara toka kwa baadhi ya Mashirika yetu ya Umma nadhani ni wakati Sasa Mashirika haya yawekwe chini ya...
  18. Hismastersvoice

    TAKUKURU itendeeni haki nchi kwa kuchunguza ubora na gharama za injini na mabehewa ya treni ya SGR

    Tangu treni za DGR zianze kufanya kazi baadhi yetu tuliowahi kuingia ndani ya mabehewa hayo tumekuwa na mashaka ya upya wake, muonekano wa ndani si wa mabehewa mapya ni wa mabehewa ya miaka iliyopita yakizidiwa usasa na mabasi ya safari za mikoani kwa ubora wa viti na sehemu za kuchaji simu!
  19. Pascal Mayalla

    Treni ya SGR Yanitoa UshambaYasafiri Kinyumenyume Badala ya Kimbelembele!。Yote Tisa, Kumi Asikwambie Mtu, Kusafiri na SGR, Raha, Uroda! Big Up TRC

    Wanabodi Mazoea yana taabu,kwanza utaratibu wangu wa safari za kikazi,kama kuna pipa,hiyo ndio my choice No 1,ndipo nije nije nyingine, tugemeana na umbali, hali ya barabara na hali ya mfuko. Kwa safari za Dar Dodoma, huwa ni kwea tuu, na ikibidi, nina vuta mashine!. Tangu ujio wa Treni ya...
  20. R

    Hivi ujenzi wa stesheni ya SGR ya Dar haujakamilika?

    Mwanzoni TRC walisema stesheni itaonekana hivi. Hilo jengo refu la ofisi pembeni silioni.
Back
Top Bottom