sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania TRC yatangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya SGR

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza Tenda ya Kusambaza, Kufunga, na Kuboresha Mfumo wa Kamera za Ulinzi (CCTV) kwenye mabehewa ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR). Tenda hiyo inahusisha; Kusambaza kamera maalum za reli (4 MP IP CCTV), mifumo ya kurekodi picha (8-Channel NVRs), na vifaa...
  2. JamiiForums Tanzania TRC Yaongeza Usalama SGR kwa Laser

    TRC Yaimarisha Usalama wa SGR kwa Teknolojia ya Laser Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeongeza uwezo wa usalama wa reli ya kisasa (SGR) baada ya kununua magari mawili maalum yenye mifumo ya kisasa ya laser kwa ajili ya kubaini hitilafu na vihatarishi katika vipande vya 1 na 2. Teknolojia hiyo...
  3. L

    JamiiForums Tanzania Kutoka kituo hadi lango: Namna SGR nchini Kenya inavyobadilisha Voi

    Ali Khan, 17, aliweka sawa mkoba wake wa nyuma na kupanda treni ya mchana ya SGR katika Kituo cha Voi. Siku tatu kabla ya hapo, kijana huyo wa Kihindi na wenzake 74 waliokuwa wamepiga kambi waliwasili kwa treni ya asubuhi wakitokea Mombasa. Baada ya kuangalia msitu wa Tsavo, walikuwa wakiendelea...
  4. JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    SGR Ina shida mahali , unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu mwanzo mpaka mwisho wa safari hii imekaaje ?
  5. JamiiForums Tanzania Pamoja na kukopa trilion 51 ndani ya miaka 5 bado mradi wa SGR Unasuasua tatizo nini?

    Mikopo yote tuliyokopa tumeshindwa kweli kumalizia kipande cha SGR mwanza Dar kweli? Tutakuza vipi uchumi kama miradi ya maendeleo inasuasua hivi?
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tatizo Malipo Tiketi SGR Kupitia M-Pesa

    Mnamo tarehe 24 July 2026, mimi na mfanyakazi mwenzangu tulifanya malipo ya tiketi za SGR kupitia M-Pesa kwa kutumia control number tulizopewa. Fedha ziliondolewa kwenye akaunti zetu, lakini malipo hayakuwasilishwa kwa SGR. Tulipowasiliana na SGR, walituambia control number zilikuwa bado...
  7. JamiiForums Tanzania Kuhusu kamera za SGR kutofanya kazi, TRC wawaondoa wasiwasi wananchi, wasema zinafanya kazi!

    TAARIFA KWA UMMA KAMERA ZA CCTV NDANI YA TRENI ZA SGR Dar es Salaam, Agosti 06, 2026. Shirika la Reli Tanzania (TRC), linapenda kuuarifu umma kuwa Kamera za CCTV zilizofungwa ndani ya mabehewa ya treni za SGR zinafanya kazi kama zilivyokusudiwa na ni sehemu muhimu ya mifumo ya usalama...
  8. JamiiForums Tanzania SGR vs BMW x3 F25

    Wadau wa magari mnaendeleaje na ujenzi wa taifa? Kuna wataalam wa magari huko Instagram wameamua kushindana na SGR train. Wao watatumia BMW X3 F25 sijui ina engine gani N20 N47 au N55. Wamechagua gari nzuri kwa mwendo na usalama kwanza. Ila niliwaona ni vichaa. Maanake SGR train inatumia 4hrs...
  9. JamiiForums Tanzania Kwanini abiria wa SGR wakose huduma ya internet wakati wa safari?

    Ni Jambo la kushangaza kwamba licha ya maendeleo ya teknolojia na uwepo wa fibers bado abiria wa SGR wanakosa mtandao ndani ya train wakiwa safarini. Hili ni Jambo la kushangaza na linapaswa kufanyiwa kazi Kwa haraka Sana. Yaani watu tushindwe Fanya biashara zetu kisa tupo kwenye SGR hapana...
  10. JamiiForums Tanzania SGR ifungamanishwe na uchumi wa inakopita, abiria wabebe vifurushi

    Usafiri wa njia ya SGR unapaswa kusajihishwa na shughuli za kiuchumi za wananchi kwenye vituo inakopitia. Hali ilivyo sasa abiria hawezi kubeba hata kamzigo ka kilo 20 za mchele, nyanya, mboga wala chochote kinachozalishwa kwenye maeneo inakopita SGR. Kifupi kwenye vituo vya SGR hakuna kuuza na...
  11. JamiiForums Tanzania Hayati JPM alifanya makusudi sana kuharakisha reli za SGR kanda ya ziwa kabla wahuni walivyomuwahi

    Katika miradi ambayo ingeweza kuishia njiani au kufa na mengine imebaki story. Ni miradi ambayo kanda ya ziwa ambayo jitihada za haraka kama angesubiri ziwe kwa awamu mfano SGR Dar -Dodoma kwanza basi reli kutoka dodoma kwenda Mwanza ingekuwa story.
  12. JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao. Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
  13. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Railways Warns Public Against Fake SGR Booking Website

    Kenya Railways has cautioned members of the public against fraudulent websites and social media platforms impersonating the corporation and claiming to offer booking services for the Madaraka Express Passenger Service. In a public notice issued on Wednesday, the corporation warned that the fake...
  14. JamiiForums Tanzania Polisi mnayemuweka mataa ya Central azingatie muda wa SGR

    Huyu askari anazuia magari mpaka abiria wanazuiwa kuingia kwenye sgr si sawa hii. Zingatieni muda wa train ya sgr mbona vitu havihitaji shule kubwa jamani.
  15. JamiiForums Tanzania Maoni binafsi: Serikali Inachochea Biashara ya Ukahaba kwenye Treni za SGR

    Kitendo cha kuweka wadada walioumbika na kuwavalisha vimini vyenye mpasuo ili kuvutia wateja ni ukahaba. Kuna vile vidada vinavyouza vinywaji na bites kila mara vinainama inama, paja linakaa wazi, guu la bia jicho lege yani kama tuko Ubungo Riverside. Ni vijanja sana ukigusa kinajifanya...
  16. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kuweka faini kwenye SGR ili kubadili tarehe ya safari si sahihi

    Kwa kweli niwapongeze na awamu ya sita huduma ni nzuri nzuri sana.na kwa kweli mnatusaidia sana. Tunasafiri raha mustarehe. Kidogo naomba mnisaidie na maoni. Adhabu ya kubadili tarehe kwa kutozwa hela tena. Hela nimeshatoa imeingia nimepatwa na dharura nahitaji ku reschedule tiket kupeleka...
  17. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda's SGR Gets Green Light with Largest-Ever Shs2.6 Trillion IsDB Financing Package

    Uganda's Permanent Secretary and Secretary to the Treasury (PS/ST) Dr Ramathan Ggoobi and Dr. Muhammad Al Jasser, the President of the Islamic Development Bank (IsDB) and Chairman of the IsDB Group. PHOTO/ MINISTRY OF FINANCE HANDOUT Uganda has received a major boost in its long-delayed...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini treni mchongo yenye behewa 16 (Dar - Morogoro) hainoekani kwenye mfumo wa tiketi

    Kuna jambo ambalo sijalielewa kuhusu uendeshaji wa treni ya mwendokasi (SGR) kati ya Dar es Salaam na Morogoro. Kwa kawaida, safari hii hutumia treni yenye behewa 14 (ordinary). Hata hivyo, kumekuwa na nyakati ambapo treni ya mchongoko yenye behewa 16 imekuwa ikitumika kwenye route hii. Sina...
  19. JamiiForums Tanzania TRC yaingiza Ford Rangers zenye teknolojia ya Laser kukagua Reli ya SGR

    Ununuzi wa magari ya Ford Ranger yanayotumia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR). Magari hayo, yaliyoboreshwa kuwa magari maalum ya Hi-Rail, yatatumika kukagua na kufuatilia reli...
  20. JamiiForums Tanzania TRC yanunua magari maalumu yatakayotumika katika ukaguzi wa njia ya reli ya SGR kipande cha 1 na 2

    ======= Shirika la Reli Tanzania (TRC) limenunua magari mawili maalumu ya kisasa ili yatumike katika ukaguzi na upimaji wa reli mpya ya mwendokasi (SGR) kwa upande wa kipande cha kwanza na cha pili (Lot 1 & Lot 2). Magari hayo yana uwezo wa kipekee wa kutembea juu ya reli kwa kutumia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…