sgr

The SGR-A1 is a type of sentry gun that was jointly developed by Samsung Techwin (now Hanwha Aerospace) and Korea University to assist South Korean troops in the Korean Demilitarized Zone. It is widely considered as the first unit of its kind to have an integrated system that includes surveillance, tracking, firing, and voice recognition. While units of the SGR-A1 have been reportedly deployed, their number is unknown due to the project being "highly classified".

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Matajiri wa JF mnafujo sana hapa Dar ikija swala la magari! Ndio maana serikali inadhani wote tuna hela hawashushi bei za mafuta!

    Imagine Porsche 911, Ferrari Spyder, Lamborgini Urus, Mercedes Benz AMG G63, Bentley Bentayga na vichenji chenji kina VXR vikicruise mtaani kwa pamoja, mnaenda ChitChat meeting Coco. Sisi tupo around.
  2. JamiiForums Tanzania TRC yaingiza Ford Rangers zenye teknolojia ya Laser kukagua Reli ya SGR

    Ununuzi wa magari ya Ford Ranger yanayotumia teknolojia ya laser uliofanywa na Shirika la Reli Tanzania (TRC) unaashiria hatua kubwa katika kuimarisha usalama wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR). Magari hayo, yaliyoboreshwa kuwa magari maalum ya Hi-Rail, yatatumika kukagua na kufuatilia reli...
  3. JamiiForums Tanzania TRC yanunua magari maalumu yatakayotumika katika ukaguzi wa njia ya reli ya SGR kipande cha 1 na 2

    ======= Shirika la Reli Tanzania (TRC) limenunua magari mawili maalumu ya kisasa ili yatumike katika ukaguzi na upimaji wa reli mpya ya mwendokasi (SGR) kwa upande wa kipande cha kwanza na cha pili (Lot 1 & Lot 2). Magari hayo yana uwezo wa kipekee wa kutembea juu ya reli kwa kutumia...
  4. JamiiForums Tanzania Hizi SGR watu wanavukaje?

  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kituo cha SGR – Dar kitengewe sehemu ya madereva kuchukua abiria wao, kulipia buku hata kama unapita tu si sawa

    Madereva tunapata changamoto kubwa pale kwenye Kituo cha SGR kilichopo Stesheni, Dar es Salaam, wanatukamata tukienda kubeba abiria, wanataka tuingie ndani ili tulipie shilingi 1,000, wakati sisi ni madereva wa mtandaoni na pale tunapita tu siyo kwamba tunaenda kuegesha vyombo vyetu. Namaanisha...
  6. JamiiForums Tanzania Angekuwepo shujaa wa Afrika hayati JPM leo hii mradi wa SGR ungekuwa umekamilika hadi Mwanza. Hii ni kwa sababu alikuwa na uchungu maisha ya watu

    Leo hii Trc wanajinasibu kuwa shirika linajiendesha lenyewe bila kupata ruzuku toka serikalini. Hizi zote ni juhudi za Shujaaa wa Afrika. Alikuwa makini sana kusimamia pesa za umma. Kutandika reli na kuweka njia za umeme kama angekuwepo mradi ungekuwa umekamilika. Leo hii watu wangeweza...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Babu Tale: Kwanini tusije na Ambulance ndani ya SGR?

    Mbunge, Taletale amependekeza kuwa Serikali ije na SGR ambulance kwa kuwa kuna wagonjwa wanakiwa wanahitaji huduma ya magari ya wagonjwa kutoka Morogoro kwenda Muhimbili ila hawana uwezo hivyo kwa kuja na hiyo SGR Ambulance itakuwa imewasaidia wananchi wengi. Hayo ameyasema bungeni wakati...
  8. JamiiForums Tanzania Tanzania ya 2030–2035: Baada ya SGR, tuingie awamu ya barabara kuu za njia nne

    Tanzania tunaelekea kufanya jambo kubwa kupitia mradi wa reli ya kisasa ya SGR. Lakini baada ya kukamilisha SGR, nina pendekezo Serikali iandae project nyingine kubwa ya kimkakati ya kujenga barabara kuu za njia nne (dual carriageways) kwenye route muhimu zote za nchi yetu zinazobeba uchumi wa...
  9. JamiiForums Tanzania Tanzania and Sweden Seal USD 1.32 Billion Deal for SGR Expansion in Dodoma

    Tanzania and Sweden are taking another major step forward in their partnership with the signing of SGR Lots 3 and 4 in Dodoma. With financing of around USD 1.32 billion, this milestone reflects a shared commitment to long-term, sustainable infrastructure. Already used by over 5.5 million...
  10. JamiiForums Tanzania Safari za SGR siku za weekends. Watu wanachoka sana wakitoka Dsm

    Uzi na Mr Attorney Fanya uchunguzi wa Train za kuja Dar Ijumaa na Jumamosi. Utagundua Manzi za Dodoma huwa wanafuraha saana, snapchat, instagram na Tiktok kwa wingi… Ila Train za Jumapili kurudi DOM huwa ni kisanga sana. Huwa mamanzi wanalala tu, wamechookaa hatariii… wapo hoooii bin Taaban...
  11. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kudate/kuoa mwanamke mwembamba (slim) unatakiwa uwe na uvumilivu wa kiwango cha SGR

    sjui ni nature au nini ila mostly wana Gubu, hasira , mlio wahi kudate au kuoa wanawake slim nadhani mnatambua vyema.
  12. JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli hii sauti inatolewa na kichwa cha treni ya SGR?

  13. JamiiForums Tanzania Kukata tiketi za SGR kumerahisishwa zaidi

  14. JamiiForums Tanzania TRC: Abiria waliopanda SGR kati ya Juni 2024 – Machi 2026 ni 5,512,995

    Abiria waliopanda SGR (Juni 2024 -Machi 2026) ni 5,512,995.
  15. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NEMA Opens 30-Day Public Review for SGR Extension After Environmental Assessment

    The National Environment Management Authority (NEMA) has opened a 30-day public review period for the proposed extension of the Standard Gauge Railway (SGR) from Kisumu to Malaba, marking a critical step in the approval process of the multi-billion infrastructure project. In a public notice...
  16. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ma-HR katika Mradi wa SGR Mwanza – Isaka wachunguzwe. Wanajineemesha kwa kufukuza watu kazi

    Wakandarasi wanaofanya kazi SGR tuna kero moja kwanza mshahara wa Serikali ilipopandisha mwanzo kabla hawajapandisha ilikuwa kwa siku ni shilingi 17,200 kwa madereva na ma operator, ila kwa malabour ilikuwa 16,200 baada ya serikali kupandisha wameweka level sio dereva, sio operator wote ni...
  17. JamiiForums Tanzania USHAURI: Jengo la NSSF Water Front linalotazama na Magufuli SGR Station linafaa kuwa Hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano

    Habari Watanzania wenzangu naomba niende moja kwa mojakwenye hoja, nikiwa kama kijana wa kitanzania naomba niishauri serikali yangu kupitia menejimenti ya NSSF kufikiria upya matumizi ya jengo la NSSF Water Front, Jengo hili ni kati ya majengo bora kabisa kwa muonekano kwamaana ya designing na...
  18. JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda World Bank pledge’s Financial support for Uganda’s SGR project

    The World Bank will financially support Uganda in the construction of the Standard Gauge Railway (SGR), a senior official of the global financial institution has said. According to a State House statement issued Wednesday, Fan Qimiao, World Bank division director for Kenya, Rwanda, Somalia, and...
  19. JamiiForums Tanzania SGR kuvuka mipaka: Mawaziri wa Tanzania, Rwanda na DRC wakutana kuweka mustakabali mpya kiuchumi

    https://youtu.be/03vJQKnKpZ4
  20. JamiiForums Tanzania Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.). Nimetapeliwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…