Salamu kwenu, nyote wenye kulitakia heri taifa.
Yahitaji maarifa ya CUBA kuelewa kwa namna gani CCM inamudu kusimamia serikali. Hii inakuja baada ya wajumbe wakuu wa Kamati kuu kuwa ni viongozi wakuu wa serikali mfano Rais, Spika na Waziri.
Sasa, maagizo ya Kamati Kuu kuielekeza serikali...