Kwanini wenyeviti Serikali za mtaa/Vijiji hawashitakiwi mahakamani au kufungwa kwa kushiriki utapeli/wizi wa ardhi?

MTV MBONGO

JF-Expert Member
Feb 18, 2016
1,262
1,220
Wadau hawa jamaa wanashiriki mno ktk wizi WA ardhi kwa makusudi. Mbona sisikii wakifungwa au walau wakipandishwa kizimbani?

Yaani hata akijua mahali ni open space au palishauzwa, maadam tu wamekuja watu wanataka kuuziana, anasaini, anatia mihuri anaomba 10% anasepa. Wanaogopwa? Kunani? Wengi wanalizwa.
 
Wadau hawa jamaa wanashiriki mno ktk wizi WA ardhi kwa makusudi. Mbona sisikii wakifungwa au walau wakipandishwa kizimbani?

Yaani hata akijua mahali ni open space au palishauzwa, maadam tu wamekuja watu wanataka kuuziana, anasaini, anatia mihuri anaomba 10% anasepa. Wanaogopwa? Kunani? Wengi wanalizwa.
Wengi wanaroga sana,ndio mana wanajiamini
 
Kwasababu mnajipeleka wenyewe, fuata taratibu sahihi za kununua kiwanja.
Wanasheria tupo mnaona hatuna umhimu.
Pambana na hali zenu.
 
Sehemu nyingine mwenyekiti mwenyewe anatangaza kuwa kijiji kinauza ardhi kumbe haiuzwi, anaandaa muhtasari feki kuonesha kuwa wanakijiji walikaa wakakubali kukuuzia kumbe uongo
 
Wadau hawa jamaa wanashiriki mno ktk wizi WA ardhi kwa makusudi. Mbona sisikii wakifungwa au walau wakipandishwa kizimbani?

Yaani hata akijua mahali ni open space au palishauzwa, maadam tu wamekuja watu wanataka kuuziana, anasaini, anatia mihuri anaomba 10% anasepa. Wanaogopwa? Kunani? Wengi wanalizwa.
Kwasababu kubwa tatu.

1. CCM imegota haina Dira na watawala ni vichwa panzi viazi.

2. Sheria ya Madai haipo upande was aliyedhulumiwa.

3. Utapeli Tanzania ni biashara halali kabisa.


Read: Ukweli usiosemwa: Kwa Tanzania, UTAPELI ni Biashara iliyohalalishwa kabisa isipokuwa kwa wenye mamlaka tu
 
Back
Top Bottom