serengeti

  1. BigTall

    DC wa Serengeti atoa siku 7 kwa wanasiasa waliowadanganya wafanyabiashara

    Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Dkt. Vicent Mashinji ametoa siku 7 kwa viongozi wa siasa waliowaambia wafanyabiashara warejee katika maeneo yao ya awali ya biashara na kuondoka katika maeneo yaliyotengwa, kwenda kukanusha kauli zao vinginevyo atawachukulia hatua kali za kisheria. “Niwaagize wote...
  2. chamilo nicolous

    Walimu na Wanafunzi Serengeti Watapeliwa

    Walimu na Wanafunzi Serengeti Sekondari Walizwa kizembe!! Wahenga walisema ‘Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao’ Kuna mtu anayesadikika alifika kwenye ofisi ya Mkuu wa shule mapema juma hili tarehe 28/03/2022 na kujitambulisha kwa jina la Ditric, mwenyeji wa Mbeya na amekuwa akifadhiliwa na...
  3. mkenya wa kova

    Serengeti Lager kubwa inafoka

    Ni kwa mda mrefu kidogo nimekua nikiwa nchini Tanzania natumia bia ya Serengeti Lager, hii ni vile taste yake kidogo inakalibiana na bia ya balozi ya Kenya. Sasa kwa kipindi hiki nina kama week moja na nusu niko nchini na nikiitisha hii bia waiter akifungua inafoka, na inamwagika kama 25% hivi...
  4. Kichwamoto

    Faru Rajabu miaka 43 nae kafa huko Hifadhi ya Serengeti.

    Ndugu wahifadhi na jamii kwa ujumla tasnia ya uhifadhi na utalii wa mbugani imepata pigo jingine la kuondokewa na mnyama kivutio cha watalii Faru Rajabu. Tumuombee apumzike salama na tudumishe uhifadhi endelevu. R. I. P Faru Rajabu Source: Mwanachi
  5. John Haramba

    TANAPA yatangaza kifo cha Faru Rajabu (mtoto wa Faru John) katika Hifadhi ya Serengeti

    Shirikia la Hifadhi la Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza kifo cha Faru Rajabu aliyekuwa na umri wa miaka 43, leo Jumatatu Machi 21, 2022 akiwa katika Hifadhi ya Serengeti sababu ikitajwa kuwa ni uzee. Faru Rajabu alikuwa mtoto wa Faru John ambaye alifariki mwaka 2015 akiwa na miaka 47. Faru...
  6. R

    CHADEMA Kanda ya Serengeti yakosoa Ripoti ya Uchunguzi wa mazingira Mto Mara

    Chama kikuu cha upinzani chenye Matawi yake imara pande zote za nchi huku kikitetea haki za kuishi, maendeleo, haki, ulinzi na usalama wa wananchi kimekosoa vikali ripoti hiyo. Kimetanabaisha kuwa Iwapo serikali haitakuja na majibu Tangible basi kwa kushirikiana na Wananchi wa Eneo hilo, asasi...
  7. Jamii Opportunities

    Shift Brewer at Serengeti Breweries

    Job Description: About us Diageo is the world’s leading premium drinks company with an outstanding collection of brands, such as Johnnie Walker, Smirnoff, Baileys, Captain Morgan, Tanqueray and Guinness. Our purpose – Celebrating life, every day, everywhere – has an important role in our...
  8. Roving Journalist

    Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti

    Pundamilia ' Ndasiata' ualbino ameonekana Hifadhi ya Taifa ya Serengeti mapema Februari mwaka huu. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la wanyama wenye rangi za kuangaza ambapo ualbino ndio sababu ya kawaida ya muonekano huo. Wakati, pumbamilia maarufu Tira ambaye pia alionekana Kenya na...
  9. waziri2020

    Waziri Bashe azikaanga kampuni za TBL, Serengeti. Agomea kukutana nao

    Mwandishi wetu, Waziri wa kilimo nchini, Husein Bashe "amezinyooshea vidole "kampuni za bia za Tanzania Breweries Ltd pamoja na Serengeti kwamba endapo watashindwa kuingia makubaliano na wakulima wa shayiri wasahau kukutana na yeye. Bashe,alitoa kauli hiyo Jana katika kituo cha utafiti wa...
  10. K

    Kuna uhaba mkubwa sana wa Serengeti lager maeneo ya Kimara na Mbezi Luis

    Wakuu Ni wiki ya pili sasa kila nikitaka kupiga serengeti lager kwenye bar nyingi za Kimara na Mbezi Luisi naambiwa hamna. Wahusika jitafakarini.
  11. John safar tour

    Itanigharimu kiasi gani kutalii katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti?

    ITANIGHARIMU KIASI GANI KUTALII KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI? Napenda kuchukua nafasi hii kutoa ufafanuzi kwa wale wanaotamani kwenda kutalii lakini hawajui itawagharimu shilingi ngapi. Gharama ya kutalii mara nyingi inabadirika kutegemeana na sababu mbalimbali kama vile... Kampuni...
  12. Jamii Opportunities

    Brand Manager, Partner Brands at Serengeti Breweries Limited

    Context/Scope: Serengeti Breweries Limited (SBL) is a fully integrated beverage business in Diageo Africa (supply and demand for beer and spirits) It is a subsidiary of East Africa Breweries Limited (EABL), the largest business unit in Diageo Africa and the second largest listed company on the...
  13. K

    Tukihamisha watu Ngorongoro tusisahau na Serengeti

    Wataalamu walishaona mbali. Tusipoangalia tutaua migration ya Serengeti. ========= Thirsty Serengeti wildlife to get new water hole: Lake Victoria Kizito Makoye DAR ES SALAAM Tanzania (Thomson Reuters Foundation) - After decades of struggling to help the wildlife of Serengeti...
  14. MBWARI

    Waziri Ndumbaro: Royal Tour ya Rais Samia yaanza kuzaa matunda kwa kuleta wawekezaji

    SHUGHULI za Royal Tour zilizokuwa zikifanywa kwa mara ya kwanza nchini na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan za kutangaza vivutio vya Utalii, Biashara na Uwekezaji nchini zimeanza kuzaa matunda kwa wawekezaji kuanza kujitokeza kuwekeza hoteli za kisasa ndani ya hifadhi...
  15. CM 1774858

    Tanzania ya pili duniani kwa vivutio asilia vya utalii, tulikwama wapi?

    Kila mwaka duniani kuna wastani wa watalii 1.5 bilioni wanatafuta ni wapi waende kutali au kula bata || ||Sisi Tanzania ni nchi ya Pili kwa vivutio vingi vya asili duniani lakini tunaambulia watalii chini ya 2m kwa mwaka hapa kunajuhudi zinahitajika Sehemu, === Niseme kidogo kuhusu Rais Samia...
  16. S

    Wale tunaopenda vacation, sehemu gani ya utalii Tanzania uliyofika au unatamani kufika?

    Habari zenu wadau, uzi huu ni maalum kwa ajili ya kucomment sehemu yoyote ile ya kitalii uliyokwishafika au unapenda/kutamani kufika kwa hapa Tanzania au nchi za jirani na Tanzania. Karibu uweke comment yako.
  17. B

    Twendeni Watanzania tukapigie kura mlima Kilimanjaro na hifadhi yetu ya Serengeti

    TWENDENI WATANZANIA TUKAPIGIE KURA MLIMA KILIMANJARO NA HIFADHI YETU YA SERENGETI. Kwa mara nyingine tena Mlima wetu adhimu kabisa wa Kilimanjaro na Hifadhi yetu ya Taifa ya Serengeti imechaguliwa kuwania tuzo za Utalii duniani (World Travel Awards 2021) ambapo Mlima Kilimanjaro umechaguliwa...
  18. Kasomi

    Maajabu 7 ya Afrika kama yalivyopigiwa kura mwaka 2013

    Maajabu 7 ya Afrika kwenye mpangilio wake kama jinsi yalivyopigiwa kura mwaka 2013. 1. Bahari nyekundu -Misri, Eritrea, na Sudan. 2. Mlima Kilimanjaro -Tanzania. 3. Jangwa la sahara- Algeria, Chad, Misri, Libya , Mali, Mauritania, Morocco, Niger, Sudan, Tunisia. 4. Kuhama hama kwa wanyama...
  19. Mad Max

    Mrejesho wangu baada ya kutumia Serengeti lite

    Wakuu kwema. Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi. Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo robo glass tu. Ila nilipojaribu Castle Lite Ijumaa niliona mabadiriko. Bia ina utamu wake. Sasa leo...
Back
Top Bottom