Viongozi wa dini wenye akili timamu kama TEC wameweka wazi MSIMAMO wao na tunaujua.
Hatuwezi kuwa na nchi ambayo watu ambao wanapaswa kuwa independent entities kumbe ni MAKADA; DG anaesimamia Uchahuzi
Ni Kada wa CCM ,
Hatuwezi kuwa na nchi ambayo Jaji Mkuu ni Kada wa CCM,
Hatuwezi kuwa na...