Sasa huko mitandaoni, tunaona picha za mnato, zikimuonesha Samia akiwa na viongozi wa Ulaya, tunaambiwa "anafanya mazungumzo" Sasa kwenye picha ya mnato, utajuaje kama anazungumza issues, au alikuwa anasalimia tu?
Rais afanye mahojiano na BBC, Aljazeera Ili akuze profile, kama alivyofanya Ruto...