Samia Hassan Suluhu (born 27 January 1960) is a Tanzanian CCM politician and the designated President of Tanzania, due to be sworn into office following the death of president John Magufuli on 17 March 2021. She became Tanzania's first female vice-President following the 2015 General election, after being elected on the CCM ticket along with president John Magufuli. Suluhu and Magufuli were reelected to a second term in 2020. Before her tenure as vice-president she served as the Member of Parliament for Makunduchi constituency from 2010 to 2015, and was also the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015.
Prior to this, she served as a minister in the semi-autonomous region of Zanzibar in the administration of President Amani Karume. In 2014, she was elected as the Vice Chairperson of the Constituent Assembly tasked with drafting the country's new constitution.
Nimeamka na mawazo mengi sana juu yahombea huyu iwapo atshinda uchahuzi mkuu wa 2025 na kupata idhini yakutuongoza mpaka 2030
Nimekuwa nikisikiliza kampeni zake lakini zimekuwa hazina hoja wala mashiko
SIONI NURU KABISA
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Watu wakapige kura kwaajili ya maendeleo au kwaajili ya kuweka historia ya mtu? Huu ni ushamba mwingi bhana unachekesha sana. Uchawa uchawa uchawa tuuuu!
==============
"kura yako ya ndiyo ni yenye thamani kubwa kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan tumpe ahsante kwa kazi kubwa aliyoifanya kwa kipindi...
Hapo kwanza nichekee! Samia kumbuka kuna familia hawajui wapi walipo ndugu zao, wametekwa
=============
Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema katika eneo la furaha na uhuru kwa Watanzania, serikali...
Jamani njooni mmsikie mama kizimkazi, Mama anabwebwe huyu za mdomoni.
Kama kweli Tanzania ni pepo mbona shida zipo nyingi, utekaji umeshamili, ufisadi ndio maisha ya vigogo. Embu tuache kidogo.
============
“Lakini vijana wa Kitanzania, msidanganywe. Ukichukua Afrika Mashariki, pengine na...
Bi mkubwa anaendelea kuwatisha watanzania ambao wapo tayari kutetea nchi yao.
Ila hivi vitisho vina mwisho wake kwa wale wote wanajiona ni bora zaidi kuliko watanzania wengine.
==========
"Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ndani ya Taifa hili vimejipanga vyema, tumevijengea uwezo wa...
Kauli aliyoitoa leo Samia Oktoba 21, 2025 pale Kinondoni yakusema Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura, naona imewapa viburi zaidi polisi na vyombo vya ulizi na usalama kwa ujumla.
Yani kauli yake ni oda kubwa kwamba kila...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kazi kubwa aliyoifanya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha miaka minne na nusu aliyoiongoza nchi, ndiyo inayowafanya Watanzania wampe miaka mingine mitano ya kuongoza.
Amesema kukamilika kwa miradi mikubwa...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Christian Makonda, ameendelea na ziara zake za kampeni ndani ya jimbo hilo, ambapo leo Oktoba 18, 2025, amekutana na wafanyakazi wa saluni wanaojihusisha na kazi ya ususi na urembo.
Katika mkutano wake na...
Bi mkubwa amewambia wanaCCM kama wanavyojaza kwenye kampeni basi wakajaze hadi kwenye masanduku ya kura.
Ila kuna waTanzania nao watatoka kwaajili ya maandamano
=====================
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Samia Suluhu Hassan amesema kama ambavyo wananchi...
Kipindi hichi ndio nimefahamu kwamba Tanzania kuna makundi yenye umoja, maana hati umoja wa mamalishe Tanzania nimeufahamu kipindi cha Samia
==============
Umoja wa Mafundi Magari Kinondoni Dar Es Salaam umetoa wito kwa mafundi wengine nchini kumpigia kura mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Nimeona mnufaika mmoja wa selikari dhalimu ya Samia akionesha bango kua mama hana deni, maana yake
Huduma za kijamii zote mambo safi na wao "wananchi" Wameridhika.
Sasa swali langu, huyu mama anagombea aende kufanya nini kama ameshakamilisha na hana deni kwa wananchi?
Samia kwenye kampeni zake zote akumtaja na kumeeleza vyema hayati Magufuli kama alivyofanya leo wakati yupo huko Chato!
Unafiki wa kura unaendelea
=======================
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amemkumbuka na...
Shirikisho la vyama vya wachimbaji wa madini nchini Tanzamia (FEMATA), lenye wanachama takribani Milioni sita, limeahidi kura zote kwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakishukuru kwa maboresho na uwezeshaji mkubwa wa sekta ya madini pamoja na...
Naona kama Samia anawatisha wapinzani wake! Hata hao wapinzani wanauwezo wa kuongeza nchi na kupata uzoefu na kuleta maendeleo makubwa kwenye nchi
Mbona wale CHADEMA mnawaletea figisu kila kukicha? Kama nyinyi mnajiona mnauzoefu, wekeni mpira kati kila mtu ashinde mechi zake sasa...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutafakari kwa makini kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa, akisisitiza kwamba uongozi wa nchi unahitaji uzoefu na uwezo wa kusimamia masilahi ya...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kwa lengo la kudhibiti mamba ili kuwalinda wananchi wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli mbalimbali.
Akizungumza leo, Jumanne...
Mgombea urais Kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan amesema jambo muhimu ni kuheshimisha jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania ndani na nje ya nchi tunaheshimisha nchi yetu kwa kuleta amani, kufanya chaguzi bila matatizo bila mavurugu, kufuata sheria zetu wenyewe, na kufuata...
Kwa wanaojua kilichotokea baada ya Mzee Benjamin Mkapa kumaliza ngwe yake, watakubaliana nami, kuwa, kwa mazoea, mrithi wake alipaswa kutoka Visiwani.
Hata hivyo, haikuwa. Why? Jibu ni rahisi kuwa wanamtandao hawakutaka nafasi yao ichukuliwe na mwingine. Baada ya Kikwete, wanamtandao...
Kumbuka uliwekwa hapo kwa bahati mbaya tuu baada ya kifo cha afande wetu mpendwa Amiri jeshi mkuu JPM (A.M.P) hatukuwa na mpango wa kuwa na Rais mwanamke kamwe ! Umemaliza awamu ya tano B, TOKA SASA, UNANG'ANG'ANIA NINI ?
Mwanamke kazi zake ni kufanya tendo la ndoa na mwanaume, kupata ujauzito...
Neno la Mungu (Biblia) linaonya kusema;
Mithali 29:1 SUV
"...Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa..."
Rais Samia na wenzako serikalini na ndani ya chama chako - CCM msione aibu, kubalini kuwa mmekosea, hamtapungukiwa wala kupoteza chochote...
Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.