Katika mkesha wa mwaka mpya, rais Xi Jinping wa China ametoa salamu za mwaka mpya wa 2023 kupitia Shirika Kuu la Utangazaji la China (CMG) na mtandao wa Internet. Ifuatayo ni salamu hizo:
Makomredi, marafiki, mabibi na mabwana:
Hamjambo!
Wakati mwaka 2023 umewadia, mimi nikiwa hapa Beijing...