Salamá is a city in Guatemala. It is the capital of the department of Baja Verapaz and it is situated at 940 m above sea level. The municipality of Salamá, for which the city of Salamá serves as the administrative centre, covers a total surface area of 764 km² and contains 65,275 people.
Habari wadau
Siku ya leo nakupa hii kwa wale wa podcast ba studio
Mic ya kwenda kabisa
SURE CONDENSER MIC
KWA PODCAST , STUDIO & VIDEO MAKING 🏷️ 490.000
Tunapatikana kariakoo mtaa wa aggrey na ndanda
Kwa mawasiliano zaidi kwa wasap na normal call - 0692690033
Rais wa Iran ameteketea. Hata hivyo ni taifa gani lipo salama?
Marekani walishambuliwa palepale Pentagon (makao makuu ya ulinzi) na WTC ambako maelfu waliuawa. Israel walishambuliwa palpable na zaidi ya watu elfu 1 waliuawa, wanajeshi wake nao wameuawa kadri vita yao na Hamas inaendelea...
Rais wa Iran ameteketea. Hata hivyo ni taifa gan lipo salama? Marekani walishambuliwa palepale Pentagon (makao makuu ya ulinzi) na WTC ambako maelfu waliuawa. Israel walishambuliwa palpable na zaidi ya watu elf 1 waliuwawa, wanajeshi wake nao wameuawa kadri vita yao na Hamas inaendelea...
Hii haijawahi kutokea, najua unajua lakini nakujuza ujue zaidi. Rais Samia amekusanya mabilioni ya dola kwa ajili ya nishati salama.
Kwa hakika Samia ndiye Rais mwenye ushawishi mkubwa duniani akitokea Afrika, ni lulu, ni almasi, ni mwamba kutoka Tanzania.
Mitano tena!? ahahaha, na hapa ipoo.
Mkuu wa Mkoa Manyara, Mhe. Queen Sendiga amewataka Wakala wa Maji na USAFI wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kuhakikisha wananchi Mkoani humo wanapata huduma Bora ya maji safi na Salama muda wote.
Ameyasema hayo katika kikao cha watumishi wa RUWASA Mkoani humo kolicholenga kuwajengea uwezo...
Ndugu zangu Watanzania,
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema na Fadhili kwa kumsafirisha na kumfikisha Salama Nchini Ufaransa Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza...
1. Marekani haijawahi kuwa na rais pro Israel kuliko bwana Joe Biden aliyeko madarakani sasa.
2. Yupo kwenye rekodi Joe Biden akisema commitment yake kwa Israel ni unconditional, iron clad na vya namna hiyo; kuwa atasimama nao hata iweje!
3. Kwamba hapo #3 atakuwa nao hata wamtie vidole...
Naomba kujua unywaji pombe salama na bora kiafya ni kiwango gani kwa siku?
Bia ni kiasi gani na pombe kali konyagi au K.VANY ni kiasi gani? Wadau naomba kujuzwa kiwango sahihi kwa siku.
Nawaasa tu ndugu zangu kwenye ligi ya NBC huyu bwana ni pacha na lala salama.
Sasa kama ukiona Yanga haijafunga na anaingizwa huyu ujue mtazaa nae mapacha tu.
Huyu kaiokoa sana Yanga hasa pale tunapokuwa tumekata tamaa.
Huyu ni mwona maono wa Yanga pale maelfu ya wana Yanga wanasema tumelala...
MAFANIKIO YA MIAKA MITATU YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA
A). Huduma ya majisafi na salama vijijini na mijini imeimarika
Vijijini kutoka wastani wa 77% Desemba 2022 hadi 79.6 Desemba, 2023
Mijini kutoka wastani wa 88% Desemba, 2022 hadi 90% Desemba, 2023
Chanzo kipya cha fedha kupitia...
Goood Morning,
Habari za asubuhi wapendwa wana JF.
Kabla sijajinyanyua kutoka hapa kitandani asubuhi hii ya leo, nimepokea taarifa mbili usiku wa kuamkia leo, taarifa za vifo watu wawili ambapo mmoja ni jamaa tu jirani yangu katika mtaa huu tunao ishi. Na jana nimeonana nae maeneo ya car wash...
Ofcoz tulikuwa na kamgogoro flani wakati naondoka.
Lakini ni masaa 14 toka nifike in my destination ila wife hata hajanipia kunijulia hali ila whatsapp yuko mudo wote namuona online.
Nifanyaje wakubwa?
Nimelazimika kuleta Uzi huu, kutokana na kuona ongezeko kubwa la watoto wa mitaani, yatima, watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, machokoraa, "panya road" na kadhalika.
Ukichungiza matatizo yote hayo, mwanzo wake ni kutokana na mimba zisizotarajiwa.
Kwa vyovyote vile mtoto akiletwa duniani...
1. Vyuo vikuu au taasisi za elimu ya juu ni sehemu nyeti kwa usalama wa taifa kama ilivyo kwa jeshi na sehemu zingine kama hizo.
"Columbia University students say protest highlights ‘Bigger cause’
"The students remain defiant and they remain here in the campus.
"Hundreds of students have not...
Milio mizito ya risasi inayo shtua inasikika hadi maeneo ya hospital ya mkoa. Kila mara imekua ni kawaida kabisa kwa jeshi la police kufanya mazoezi ya kufyatua risasi karibu kabisa na makazi ya wanachi hali inayopelekea kushtua sana watu. Na pengine ineweza leta athari hata kwa wagongwa au...
Wanakumbi.
🚨🇮🇱🇵🇸HAMAS: TUNAWASHIKILIA MAAFISA 30 WA ISRAELI "MAHALI SALAMA"
Madai yao yameibua wasiwasi kwamba baadhi ya mateka huenda walisafirishwa kutoka Gaza hadi Sinai nchini Misri ili kuzuia kuachiliwa kwao wakati wa mashambulizi ya ardhini ya Israel huko Rafah.
Hamas pia walisema...
Hello!
Serikali ilikosea sana kutunyima mshahara wa Machi baadhi ya watumishi wa umma kwasababu ya kutokukamilisha PEPMIS.
Nikiri kuwa kazini kwetu hakuna aliyepata semina wala kidudu gani, tuliwekewa tu tangazo Whatsapp tujiunge wenyewe. Mimi binafsi niliona simple nikajiunga nikaona mchezo...
Wadau hamjamboni nyote
Mungu amlaze mahala pema peponi mpiga picha na sajenti rose nyawira wa Jeshi la Kenya aliyefariki kwa ajali majuzi.
Mwendazake alikuwa mpiga picha wa mwendazake CDF Kenya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.