rushwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    JamiiForums Tanzania GE2025 TAKUKURU yakamata wajumbe wa UWT kwa madai ya rushwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita, imewakamata wajumbe wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Nyankumbu Jimbo la Geita mjini walionekana katika picha mjongeo wakigawana rushwa katika mchakato wa uchaguzi ndani ya CCM huku taasisi hiyo ikiendelea na uchunguzi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo Rushwa kwa bei elekezi nilizowahi kuziona Tanzania

    Rushwa yangu ya kwanza niliitoa mwaka 2010, nilipita njia niliyoona watu wengi wanavuka lakini haikuwa njia rasmi, siku niliyokamatwa nikaomba waniachie hawakunielewa, nikatoa elf 2 wakaniachia. kukamatwa na bangi kiasi kidogo mfano msokoto - Elf 50 (mmalizane kabla hamjafika kituoni) matrafki...
  3. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Viongozi wa CCM Geita walalamikia kukithiri kwa rushwa kura za maoni

    Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Geita Mjini mkoani Geita wameeleza kusikitishwa kwao na namna mchakato wa kura za maoni za kupata wagombea ubunge na madiwani ulivyokwenda huku wakidai kugubikwa na rushwa kwa baadhi wagombea na wajumbe. Wakizungumza na JAMBO...
  4. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Wajumbe wakigawana Mavuno ni rushwa nje nje hii ni hatari kwa Nchi

    GʻT Hawa wanaonunua uongozi kuna biashara gani wanaenda kufanya huko kwenye ofisi za umma ili pesa zao zirudi. Taifa lipo katika hali mbaya sana chini ya wanamtandao TAKUKURU nao wameng'olewa meno.
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ninaomba uongozi wa juu wa CCM ufuatilie jinsi rushwa ilivyotolewa jimbo la Rorya

    Kama ndiyo kupata uongozi ndiyo ulivyo tunaelekea pabaya. Katika zoezi la kura ya maoni Jimbo la Rorya RUSHWA ilitawala kwa kiasi kikubwa. Kwa sasa kupata uongozi katika nchi hii aidha uwe Tajiri, uwe na connection na mengineyo mengi. Asilimia kubwa ya watia nia walioongoza kura za maoni...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rushwa aliitoa mbunge wa jimbo la Mbulu Mjini aliyemaliza muda wake Zakaria Isaay inatisha; wakati TAKUKURU wapo, vyombo vingine vipo; nchi imetekwa!

    Katika kura za maoni za CCM zilizopigwa hivi punde kama unataka kujua maana ya upatikanaji wa uongozi kwa njia ya rushwa nenda Mbulu, mkoa wa Manyara. Mbunge wa jimbo Mbulu mjini Zakaria Isaay rushwa alizotoa kuongoza kura za maoni inatisha. Mwenyekiti wa kitongoji moja alipewa mpaka Sh. Milioni...
  7. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Pascal Lutandula mhitimu darasa la saba aongoza Chato kusini,Takukuru wamuogopa,amwaga rushwa adharani,adai ametumwa na mkuu

    Vijana tafuteni hela,money can buy anything Pascal Lutandula muhitimu wa darasa la saba B shule ya msingi Igando wilaya ya Chato,ameongoza kura za naoni kwa kuwaacha mbali wagombea wasomi akina Katwake na wenzake Huyu ni mfanyabiashara wa madini ya dhahabu,ana hela kama njugu Mpaka muda huu...
  8. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jimbo la Temeke lagubikwa na rushwa, vitisho na ukiukwaji wa maadili ya chama ktk kura za maoni

    Na Mwanachama Hai wa CCM TEMEKE Utangulizi Kwa masikitiko makubwa na kwa dhamira ya dhati ya kulinda heshima, maadili, na misingi ya haki ndani ya chama chetu, napenda kuwasilisha taarifa hii maalum ya uchunguzi wa awali kuhusu mchakato wa kura za maoni ndani ya Jimbo la Temeke. Taarifa hii...
  9. K

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kama chama tukae chini tuzungumze suala hili la rushwa kwenye uchaguzi

    Kura ya maoni ya CCM imetia fora kwa rushwa. Kila mjumbe anasema bila chochote mtia nia hapati kura yake. Kila mtia nia anaona bila kutoa chochote atapoteza nafasi anayoiomba. Hapa kwa asilimia 100 tusiwalaumu TAKUKURU. Rushwa ni siri ya yule anayetoa na yule anayepokea. TAKUKURU hana cha...
  10. C

    JamiiForums Tanzania Wajumbe CCM ni kirusi nchini, Wanakula rushwa na kupitisha viongozi wasiofaa

    Hello jf members, Hilo halina ubishi hawa wajumbe wamegeuka janga kwenye nchi yetu. Bora kura tupige wanachama wote.
  11. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Huwezi kuitenganisha CCM na rushwa

    Unapotamani kwenye chaguzi za CCM kusiwepo na rushwa au upendeleo, ni kama unataka kusema CCM isiwepo! Huwezi kuitenganisha CCM na rushwa halafu CCM ikaendelea kuwepo. Rushwa kwa wana CCM wengi ni kama ndiyo damu na pumzi inayoifanya CCM iwe hai. Siasa za ndani ya CCM zinahitaji Hela nyingi...
  12. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Ngoma bado mbichi UWT K'njaro, wagombea walioenguliwa waanika mtandao wa rushwa

    Moshi bado unaendelea kufuka ndani ya Jumuiya ya wanawake ya Chama cha mapinduzi(UWT)baada ya wanachama wake walioenguliwa katika kinyang'anyiro cha kusaka nafasi ya ubunge wa Viti maalumu kufichua mtandao uliotumika kutawanya rushwa kwa wajumbe . Miongoni mwa wanaotajwa kutawanya rushwa kwa...
  13. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Dar, Mgombea Diwani Rajabu Shabani Manyinya wa Kivule Akitoa Rushwa hadharani. TAKUKURU Kazi kwenu

    TAKUKURU, pokeeni kazi hii. Mshindi wa kura za udiwani Kata ya Kivule ndungu Rajabu Shabani Manyinya akitoa rushwa waziwazi siku moja kabla ya uchanguzi kufanyika. Kata ya Kivule ipo Jimbo jipya la Kivule Jijini Dar es Salaam. Nategemea kupoka majibu sahihi kutoka kwenuo Hii rushwa yeye...
  14. Pascal_TZA

    JamiiForums Tanzania GE2025 Uchaguzi Zanzibar inadaiwa Makamu Mwenyekiti atoa rushwa kumtetea Mwanae

    Makamu Mwenyekiti wa UWT adaiwa kutoa maelekezo wasimamizi wa Uchaguzi kuhusu Mtoto wake Wardat Nassir Ali anayegombea Uwakilishi Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar ili aweze kupata ushindi. Pia ameonekana akigawa rushwa hadharani kwa wajumbe wa mkutano huo nje ya ukumbi wa mkutano, na wajumbe...
  15. NAMDORY

    JamiiForums Tanzania Hili la bahasha mlizopokea ili muwapigie kura watia nia, litawaghatimu. Vijana waliokuwa hawana bahasha na walikuwa na sera nzuru

    Mmefanya hivyo mjue itawagharimu. Mtoa rushwa sikozote hana msaada.mtanikumbuka kwayo. Maana tumeshindwa kujiuliza kwanini watia Nia wanawapa takitoma? Hamjawahi kujiuliza swali hilo. Nawanasihi msimchague mtoa Rushwa,ni adui kwenu. Mie napita tu.
  16. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Wagombea kugawa hela mbona inachukuliwa kawaida wakati NI rushwa ile

    Chama kisikae kimya kukemeea hii michezo wagombea unaambiwa usiku wanapita na kugawa 10000 kwa watu
  17. Mganguzi

    JamiiForums Tanzania Usiku huu kijani na njano wamejikusanya hapa ulongoni b ofisi mpya za ccm kata ya luguluni

    Video hii inakuonyesha makumi ya kina mama wakiwa wameacha watoto na waume zao wako kwenye foleni ya mgao wa rushwa angalia video hii sungura anamla sungura !!
  18. Genius Man

    JamiiForums Tanzania TAKUKURU bila upendeleo wanapaswa kumchukulia hatua na Samia kwa kugawa rushwa naona tu rushwa zinahesabiwa kwa wale wa ubunge na udiwani

    TAKUKURU bila upendeleo wanapaswa kumchukulia hatua na Samia kwa kugawa rushwa naona tu rushwa zinahesabiwa kwa wale wa ubunge na udiwani. Walichokifanya hao wa ubunge na udiwani ndio kile kile alichokifanya Samia, kama samia kwake sio rushwa basi hawa wengine nao sio rushwa. lakini kama kwa...
  19. Southern Giant

    JamiiForums Tanzania Viashiria vya rushwa katika zahanati ya Tambukareli, Temeke Dar es salaam

    Zahanati ya Tambukareli iliyopo kata ya Azimio wilaya ya Temeke DSM, ambayo ni tegemeo kwa wananchi wa kata ya Azimio na maeneo jirani imeanza kugubikwa na viashiria vya rushwa, hali inayotia doa huduma za afya na kuathiri maisha ya wagonjwa na wateja kwa ujumla. Malalamiko kutoka kwa wananchi...
  20. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hamis Mbeto: Ukitoa Rushwa Tunakukata kwenye uteuzi wa wagombea Ubunge na Udiwani

    UKITOA RUSHWA UNAKATWA, UTEUZI WA WAGOMBEA WA CCM KUELEKEA UCHAGUZI MKUU Katibu wa itikadi na uenezi na mafunzo wa chama cha mapinduzi (ccm) upande wa zanzibar Hamis Mbeto ameeleza jinsi wagombea wa chama cha mapinduzi wanavyo patikana katika mchujo wa kura za maoni na kusisitiza kuwa wagombea...
Back
Top Bottom