Baada ya kukamatwa kwa Uviru, M23 inaendelea na safari.
Siku ya jana, eneo lijulikanalo kama Mboko, lililopo umbali wa km 56bkutoka Uvira, liliangukia mikononi mwa kundi hilo la M23.
Inasemekana, kabla ya kuwaza kwenda Katanga, ambayo ndo kitovu cha uchumi w nchi, na ndo ilipo migodi ya raisi...