ramani

  1. stabilityman

    Nakukaribisha uangalie ramani hii ya vyumba 3 vya kulala

    Vyumba 3 vya kulala 1 Master bedroom 2 Normal bedroom Seble, dinning room,jiko,store, public toilet 2 verandahSawa makadilio haya hapa NYUMBA YA VYUMBA VITATU INA SELF MOJA NA VYUMBA VIWILI VYA KAWAIDA : ✴️Sitting ro ✴️Dinnin ✴️Kitchen & Stor ✴️Public toile ✴️1 Self Bedroo ✴️2 Normal Bedroo...
  2. Gai da seboga

    Ramani ya vyumba vitatu

    Habari zenu mabibi na mababu. Natarajia kuingia katika ujenzi wa nyumba yangu sasa nimetafakari nimeona nianze na nyumba yenye vyumba VITATU kimoja kikiwa Master, sebule, dining, jiko, store, public toilet. Kama kuna wajuzi wa michoro ya Ramani naombeni msaada itapendeza ikiwa Ramani ya kisasa...
  3. H

    Napata wapi ramani ya kujenga nyumba?

    Nyumba ya vyumba vitatu
  4. M

    SoC04 Kuzindua Dira ya Mabadiliko ya Kiuchumi ya Tanzania: Ramani ya Barabara ya Miaka 25

    Wakati Tanzania inapotazama katika robo karne ijayo, mkakati wa kiuchumi ulioandaliwa vyema unaoungwa mkono na sera za kimkakati za fedha-(Kiserikali) na fedha-(Kibenki) unaibuka kama msingi wa harakati zake za ukuaji endelevu na ustawi. Kwa kutumia uwezo wa hatua za upanuzi na za kupunguza...
  5. Design Your Idea

    Chagua idea ya nyumba unayopenda ili nikubunie ramani ya kuendana na uchaguzi wako

    Unaweza kutana na picha nzuri ya nyumba na ukapenda nyumba utakayojenga ifananie hivyo hivyo. Kwa gharama ya Tsh 50,000 nakuchorea ramani na makadirio ambavyo vitaendana na muundo wa hio picha ya nyumba utakayo kuwa umechagua. KARIBUNI. WHATSAPP: 0755325977
  6. navigator msomi

    Mwanza mshikaji wenu nimetia mguu, nipeni ramani

    Wadau kama nilivokwisha kutoa habari hapo kabla ya kuwa na nia ya kuja kuishi mwanza, hatimae nimetimba kibabe takribani zinakatika wiki mbili... Kwasasa niko maeneo ya Buhongwa Nyamagana ila cha ajabu mpaka saizi sijaona inshu gani nifanye ili niweze ingiza mia mbili tatu. Kuanzia asubuhi...
  7. Druggist

    Nini kibadilike kwenye hii Ramani?

    Wakuu Salama? Naomba mnifanyie critical Review ya huu mchoro toka Kwa Mtaalam wangu.Lengo langu ni 4 bedroom all ensuite Kwa Familia Kubwa/AirBnB na pia. Itajengwa Village.Wanafamilia watatumia siku za mwisho wa Mwaka Ila wakiondoka inaleta Pesa kama AirBnB. Vitu gani viko Sawa na vitu gani...
  8. MK254

    Kila anayeichukia Israel awe anatazama hii ramani na kupata aibu

    Nimejikuta natafuta Israel kwenye hii ramani, inabidi uitafute sana tu yaani, majitu ya uarabuni yanatia aibu, halafu na huku Afrika kuna wavaa kanzu ambao wanapaswa kuitazama hii picha wajipige vibao vya uso, ni aibu sana kwa kweli, haileti mantiki, nashindwa nicheke, nilie au nihuzunike. Na...
  9. greater than

    Ramani za nyumba za kwenye series maarufu kwenye tv

    Kwa wale wapenzi wa kuangalia TV Drama/Series za Hollywood, lazima kutakuwa kuna nyumba umeipenda na ungetamani ungeishi humo. Leo tuangazie baadhi ya ramani hizo SEHEMU YA KWANZA 1.HOW I MET YOUR MOTHER Wanaoikumbuka sitcom hii,iliyokuwa na akina Tedy Mosby,Marshall,Bernie,Robin na Lily...
  10. R

    Ushauri kuhusu mawazo yangu kabla sijampa kazi msanifu majengo

    Habari ndugu wana Jamii Forums, Nipo kwenye mchakato wa kumtafuta msanifu majengo anichoree ramani ya nyumba ya kuishi familia ghorofa moja ndogo simple isiyo na makorokoro mengi maana kiwanja ni kidogo. Nyumba yangu ya kwanza, msanifu majengo mweledi kabisa alitumika na bado chumba...
  11. Meneja Wa Makampuni

    Proved: Yanga atacheza finally na Al Ahy ili kumlipiza na kuwatoa waarabu kabisa kwenye ramani ya mpira Africa ili wawe na heshima

    Wakuu bila kuwafunga waarabu hawataacha kutudharau watu weusi. Sasa ni dhahili Yanga atacheza finally na Al Ahly ili kumlipiza na kuwatoa waarabu kabisa kwenye ramani ya mpira Africa ili wawe na heshima. Young African will beat AL Alhly hii ni baada ya ushindi wa gori tatu kesho.
  12. tpaul

    Wanafunzi wanauliwa na walimu kwa vipigo na wengine wanachora ramani za kutorokea USA; tazama huyu hapa anauliwa tena!

    Inasikitisha sana. Tumekuwa tukisikia walimu wakihusika kuwaua wanafunzi kwa vipigo na baadhi yao wameishafungwa gerezani na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa lakini huku mtaani nako hali si shwari. Tazama mabaladhuli haya yanavyomuadhibu huyu binti bila huruma huku watu wazima wakishuhudia na...
  13. Lycaon pictus

    Ramani ya Ngome ya Bahima

  14. Financial Analyst

    Je, inahitajika kibali kufungua ofisi ya kuchora ramani za nyumba?

    Mimi sijasomea kuchora ramani ila nina ustadi huu. Nataka nigeuze ustadi huu kama side hustle nijipatie kipato. Je, kuna process zinatakiwa kufanywa kabla sijafungua ofisi ya namna hii.
  15. T

    Ramani ya vyumba viwili, kimoja master, jiko, sebule na public toilet kwa 5000 tu

    Wakuu habari za hapa,ninauza ramani ya kuanzia maisha ,ramani ya vyumba viwili,KIMOJA master,jiko,sebule, choo cha public. Ramani hiyo Ina kurasa za paa,msingi,muonekano,na vipimo vyake. Kwa mawasiliano nichek inbox. NB: NAUZA KWA SABABU MIMI MWENYEWE NIMENUNUA,NDIO AMBAYO NIMEJENGA.
  16. E

    Msaada wa Ramani ya Nyumba

    Habari. Nina shida na Ramani ya nyumba yenye sifa zifuatazo -Vyumba viwili vya kulala, kimoja master -Sitting room -Public toilet -Jiko Naomba kuwasilisha
  17. L

    Ni namna gani nzuri ya kuezeka ramani hii

    Nauliza
  18. L

    Naomba kujuzwa kuhusu hasa hii google saved places(visited places)accuracy yake kwenye ramani

    Je hii kitu Ina accuracy kiasi gani? Je, inaweka kumlocate mtu akilala guest flani na hajawahi lala hapo? Je, ukipita mahali hata mara moja kama location ipo on, baadae ukiangalia kwenye ramani itanyesha uliwahi lala hapo?
  19. L

    naomba kuuliza jinsi ya kupata ramani ya mipango miji ardhi

    habari za jioni wadau heri ya mwaka.mpya naomba kuuliza kama nimepata coordinate za eneo usiku kwaajili ya kurasimisha kiwanja changu nawezaje kupata ramani ya mipango miji ya eneo husika na gharama yake kupata ramani ni sh ngapi
  20. Kalaga Baho Nongwa

    Naombeni makadirio ya ramani hii wakuu

    Habari ya muda huu, Naombeni wataalam wanisaidie kukadiria hesabu ya tofali ya kijuba hiki. Niko kwwenye hatua za awali za KUFIKIRIA kujenga, kiwanja nimeshanunua wakuu. Tuanzie hili la tofali, Nitashukuru sana
Back
Top Bottom