Katika hotuba yote ya rais Samia mbele ya bunge, jambo nililoliona jipya na muhimu sana, ni pale alipoahidi kuzidisha ari ya kuchimba mabwawa ya kuzuia maji Tanzania. Yaelekea serikali kadhaa zilizopita hazikujua umuhimu wa jambo hili. Kwa wale walioinukia katika miaka ya 50, 60 na 70 bila...