johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Siku ambayo CCM watakubaliana kutenganisha nafasi ya Rais wa JMT na mwenyekiti wa CCM basi watakuwa wanajichimbia kaburi na watadumbukia mara baada ya kufunga mkutano kitakachobaki ni wananchi kufukia tu kwa mchanga.
Nyerere alijaribu hii wakati Rais Mwinyi alipoingia madarakani mwaka 1985 na mwaka 1987 wakati anatukabidhi kadi za CCM pale uwanja wa Samora mjini Iringa alisema "Ninyi ni wanachama wa mwisho kukabidhiwa kadi na mimi nikiwa mwenyekiti kwani nang'atuka haiwezekani kutenganisha kofia ya Rais na mwenyekiti"
Wakati huo ilikuwa enzi ya chama kimoja tena zilikuwa zinadumu fikra za mwenyekiti wa CCM, sembuse leo kina Mbowe na Zitto udenda unawatoka wakitamani madaraka?
Ramadhan kareem.
Kazi Iendelee!
Nyerere alijaribu hii wakati Rais Mwinyi alipoingia madarakani mwaka 1985 na mwaka 1987 wakati anatukabidhi kadi za CCM pale uwanja wa Samora mjini Iringa alisema "Ninyi ni wanachama wa mwisho kukabidhiwa kadi na mimi nikiwa mwenyekiti kwani nang'atuka haiwezekani kutenganisha kofia ya Rais na mwenyekiti"
Wakati huo ilikuwa enzi ya chama kimoja tena zilikuwa zinadumu fikra za mwenyekiti wa CCM, sembuse leo kina Mbowe na Zitto udenda unawatoka wakitamani madaraka?
Ramadhan kareem.
Kazi Iendelee!