Hili limzee bwana
Sote tunatambua kuwa urais wa CAF kuupata sio rahisi rahisi lazima uwe na pesa plus ushawishi mkubwa ..
Kwanza waarabu ndiyo wanakupitisha,
Yaani wakisema huyu hatumtaki basi hautoboi hapo,
So motsepe alilamba viatu vya waarabu kwanza plus pesa zake ndiyo akatoboa .
Hilo sio...