Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.
A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.
Mungu amekupa nafasi ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa raisi wa Tanzania tangu Mungu iumbe Tanzania. Badala ya kuitumia nafasi hiyo vizuri ili ionyeshe watanzana na dunia zima kuwa hata wanawake wanaweza kuwa viongozi.
Wewe umeitumia kutanganzia dunia kuwa wanawake hasa wa kiafrika hawezi kabisa...
==
Mchambuzi nguli wa mambo ya Fedha na Uchumi Dkt Bravious Kahyoza katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Wasafi TV katika kipindi maarufu cha One on One alisema kuwa Rais wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anaonesha msukumo mkubwa kwenye maswala ya Ubia, PPP.
Dkt Kahyoza anasema...
Habari wakuu,
Rais Samia anaendelea na ziara zake huko Kanda ya ziwa,leo kwenye moja ya mikutano yake huko ameraruana na Luhaga Mpina mbunge wa Kisesa.
Wakati Luhaga Mpina anazungumza wananchi walimshangilia sana kwa shangwe ila ilipofika wakati wa Rais Samia kuzungumza alimshambulia Luhaga...
Ziara ya mh Rais mkoani Simiyu imenifumbua macho kuhusu siasa zinazoendelea kuelekea Oktoba 2025.
Kitendo cha Mpina alikaa bungeni zaidi ya miaka 10 kutumia jukwaa la mkutano wa Mh Rais kulalamikia maendeleo ya jimboni kwake kana kwamba yeye si sehemu ya mfumo wa kuyashughulikia kumenishtua.
Kwa...
Ukitafakari kwa makini, utagundua huu ndio ujumbe ambao Mpina alikuwa anajaribu kuifikisha kwa Mama Samia.
Mpina alilenga kuwakosoa wanaosema hawamdai Mama wakati hii nchi na watu wake ni masikini na majlmbo kuna changamoto nyingi sana na huo ndio ukweli na huu ndio ulikuwa ujumbe wa Mpina kwa...
Kwako,Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Samia Suluhu Hassan
YAH: MALALAMIKO JUU YA MKURUGENZI WA WILAYA YA BUSEGA NDUGU MAIKO RICHARD KACHOMA
Mheshimiwa Rais,
Kwa heshima na taadhima,Sisi walimu wa halmashauri ya wilaya ya Busega tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu...
Rais Samia kateleza ulimi alipokuwa anatoa ufafanuzi wa hoja za Luhaga Mpina. Kazi ya Mbunge si kuleta maendeleo wala kutoa huduma kama alivyodai. Bali mbunge ni mwananchi anayewawakilisha wenzake Bungeni.
Mbunge ni mwakilishi wa wananchi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Mlipokuwa mnaita mama, mama, mama, sasa haya ndiyo madhara yake.
Ukimueleza ukweli anaona kama unamkosea unamvunjia heshima mama.
Ukimkosoa anaona hastahili kukosolewa, unamkosoaje mama yako mzazi wakati wewe ni katoto tu?
Tuliwaambieni haya mambo mkaona kama hatuna nidhamu kwa mama. Mnalo...
Mwanzo Hadi Mwisho wa Hotuba ya MPINA, Wananchi walionekana kufurahia Hoja na kwakuonyesha Hisia Kwa Hoja Makini za Mbunge wao, wananchi wamepiga Makofii, vifijo na nderemo.
Alipoingia Rais Samia, Licha ya vichambo vingi Sanaa, Licha ya backup ya Bashe, Bado wananchi wameonekana kutowaelewa...
Mama Samia ametoa kauli tena akiwa na Uso wenye hasira kwamba "Luhanga Mpina ni Mbunge wa Kitaifa na siyo Mbunge wa Kisesa" akaendelea na kusema "Anaruka ruka tu" baada ya kauli hiyo NAOMBA kuuliza Swali la Ufahamu.
Je, Luhanga Mpina anaweza kujihesabu kama Mbunge wa CCM? Hiyo siyo kauli ya...
Kwa nilivyomsikia Tundu Lissu jana akitema madini kwa ufasaha wa hali ya juu na akili iliyotulia bila hata papara huku akiwa anaishi na kuteswa Gerezani na namna nilivyomsikia Rais Samia leo akimsema vibaya mbunge wa CCM Luhaga mpina kwa namna alivyosimama kutetea maslahi ya wananchi wake...
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amemwambia Rais Samia Suluhu Hassan kuwa jimbo lake bado linamdai fedha za maendeleo na kwamba maeneo mengine yanayodai hayamdai, fedha zao zihamishiwe Kisesa.
Mpina ametoa kauli hiyo leo, Jumanne Juni 17, 2025, wakati wa mkutano wa hadhara unaofanyika Wilaya ya...
Wakuu!
CCM wanatafuta nyomi la kutengeneza huko,
==
Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeandika barua kwa Wakuu wa Shule Binafsi, Msingi na Sekondari katika Manispaa hiyo, ikiomba magari kwa ajili ya kusafirisha wananchi kwenda Mwanza kushiriki katika ujio wa Rais Samia katika hafla ya...
Rais Samia akiendelea na ziara Kanda ya Ziwa jana Juni 16, 20225 amezindua shule ya Wasichana Simiyu, mradi uliogharimu Billioni 4.45 hadi sasa imetumika Billioni 4,159,942,035.37 ikiwa ni majengo 22 ya darasa, Jengo la utawala, maabara 4, nyumba 5 za walimu, Chumba cha Tehama, Chumba cha...
RAIS anataka kuwakamua wananyonge na Masikini, wakati huohuo amefail katika Usimamizi wa FEDHA hizo zinazokusanywa, amefail katika kukusanya hizo Fedha.
Luaga Mpina mara Kadhaa anaonyesha Kwa Ushahidi ni Mabilioni mangapi in USD yapo Mahakaman mpaka sasa!!
Luaga Mpina mara Kadhaa anasema...
Marekan ni Ulaya ni Viongozi wa Dunia kiuchumi na itabaki hivo !!.
RAIS kujifanya Et Tanzania inafanya vizuri kiuchumi kuliko Marekan na Ulaya ,HUO NI UONGOOOOOO MTUPU
Kahamisha Uhusiano wake Kwa Mashariki, Wachina, Urusi, Korea, ndio maana anawaponda Wamagharibi , na anazuga kutowagusa...
Ndugu zangu Watanzania,
Ziara ya Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama inaendelea kanda ya Ziwa na kama ambavyo mmeona mafuriko ya watu waliomiminika mpaka kukosekana hewa kwa...
“Kwa mfano leo hapa Bariadi kuna miradi sita ya kufungua na yote ni kwa sababu serikali ilikuwa na fedha, tumetawanya fedha za kufanya miradi hiyo. Ni makusanyo ya ndani. Miradi yote tumejenga wenyewe isipokuwa mmoja ndio wa mtu binafsi niliokwenda kuufungua asubuhi leo. Lakini mitano yote ya...
Rais Samia, amesema kwamba licha ya hali tete inayoikumba dunia kwa sasa, Tanzania inafanya vizuri kwa viwango vya kuvutia kiuchumi. Akiwahutubia wananchi wa Simiyu katika ziara yake ya kikazi, Rais Samia alieleza kwa msisitizo hali halisi ya ulimwengu na nafasi ya Tanzania ndani yake...
Rais Samia anafanya ziara mkoani Simiyu Juni 16, 2025
Halmashauri zote zijitahidi katika makusanyo mapato, kwa upande wa TRA wanajitahidi sana lakini kwa Halmashauri mnakula nyingi mnaleta kidogo, niwaombe sana mjizatiti katika makusanyo ili maendeleo yaendele kama tulivyoyapeleka katika miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.