rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Kanda ya Ziwa yasimama Rais Samia; Awasili Jijini Mwanza na kupokelewa na Maelfu ya Wananchi Wenye Nyuso za Tabasamu na furaha akielekea Mkoani Simiyu

    Ndugu zangu Watanzania, Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge Amewasili Mkoani Mwanza...
  2. Waufukweni

    Rais Samia: Sio dhambi Serikali Kushirikiana na Mahakama

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemshukuru na kumpongeza Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Mstaafu Prof. Ibrahim Hamis Juma, kwa kazi nzuri aliyoifanya ya kukuza ushirikiano wa Mahakama na mihimili mingine ya Dola ikiwemo Serikali na Bungeni ambapo Rais Samia amesema sio dhambi kwa...
  3. Heparin

    PreGE2025 Inadaiwa walimu wote Mwanza watakiwa kufika Airport kumpokea Rais Samia Juni 15, 2025 wakati anafika Mkoani humo kwa ziara

    Inadaiwa walimu wote Mkoani mwanza wametakiwa kufika Airport Mwanza kumpokea Rais Samia Juni 15, 2025 wakati anafika Mkoani humo kwa ziara. Huu ni ujumbe unaotumwa kwa walimu wakuu ili waufikishe kwa walimu walio chini yao.
  4. L

    VIDEO: Haya ndiyo mafuriko ya watu yanayoshikilia rekodi nzito ya mapokezi ya Rais Samia hapa nchini mpaka muda huu

    Ndugu zangu Watanzania, Kila anapokwenda Na kutua katika ardhi ya Nchi hii Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Amekuwa akilakiwa na kupokelewa kwa mafuriko makubwa sana ya watu ambao hujitokeza na kumiminika kwa wingi sana...
  5. Mto wa mbu

    Hali tete Simiyu, wananchi wanalazimishwa kwenda kwenye ziara ya Rais Samia

    Hali ni tete hapa mkoani Simiyu. Raisi Samia atakuwa na ziara hapa. Sasa maandalizi ya kuonyesha kuwa anakubalika yamekuwa ni maumivu Kwa raia. Raisi atakapo pita wafanya bihashara wameamliwa kufunga maduka, watumishi wote,Sungusungu ,Mgambo wameamliwa kuhudhuria mikutano ya Samia. Wenye...
  6. DuaZaMama

    PreGE2025 Kikwete: Nchi ni tulivu, mambo safi chini ya Rais Samia

    "Nakupongeza sana kwa kazi kubwa unayoendelea kufanya nchini katika maeneo mbalimbali, katika nyanja mbalimbali. Mwenye macho haambiwi tazama na mwenye masikio haambiwi sikia na kwa hii ambayo tumeona leo, kwanza kuhusu uwanja wa ndege, uwanja wa ndege wa Msalato umekuwa ni dhima ya viongozi...
  7. DuaZaMama

    Ulega: Rais Samia umeituliza nchi sakata la Dabi ya Kariakoo

    Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati na kusuluhisha mvutano uliokuwepo kati ya klabu za Yanga na Simba kuhusu ratiba ya mchezo wao, imeleta utulivu mkubwa kwa Taifa na mashabiki wa soka nchini. Akizungumza leo Jumamosi, Juni 14, 2025, wakati...
  8. Roving Journalist

    Rais Samia atembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma na kuzungumza na wananchi Juni 14, 2025

    Rais Samia akitembelea Barabara ya Mzunguko Dodoma (Km. 112.3) na Kuzungumza na Wananchi, leo tarehe 14 Juni, 2025. https://www.youtube.com/live/TgN_32Yqzlo?si=JWFkm-rF1pIErqq9 ==== Rais Samia ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya mzunguko wa Dodoma yenye urefu wa...
  9. M

    Ziara ya Rais Samia Maswa: Maswali Yaibuka Kuhusu Kipaumbele cha Miradi

    Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akitarajiwa kutua wilayani Maswa kwa ziara ya kihistoria, sintofahamu imeibuka miongoni mwa wananchi na wadau wa maendeleo juu ya maamuzi ya ratiba ya shughuli atakazozindua. Katika ratiba rasmi, Rais Samia amepangiwa kuzindua...
  10. peno hasegawa

    PreGE2025 Tetesi: Rais Samia kufanya ziara ya siku mbili ya kiserikali nchini Kenya

    Kuna tetesi kuwa Rais Samia ataenda kufanya ziara ya siku mbili ya kiserikali nchini Kenya. Pamoja na ziara hiyo, atahutubia Bunge la Kenya! Ngoja tusubiri ziara hiyo kama itafanyika!
  11. M

    Yanga/Simba imewezekana, Samia Fanya angalau reforms ndogo Waruhusu na CHADEMA Kushiriki, utapendwa. Tunataka kuondoa Vilaza Bungeni

    Mama Yetu Samia, Leo umefanya Jambo kubwa sana, kwakuwa uliona kuna mgogoro na malalmiko kati ya Simba na Yanga, Sisi wananchi tunaamini Rais Ndo Kila kitu , ukiamua nchi itulie inatulia, leo Bodi ya Ligi imejiuzulu, mgogoro wa Yanga, Simba TFF umeumaliza kwanini usilirefushe hili jambo mpaka...
  12. funaku

    Kwa mara nyingine tena Rais Samia anaitendea Haki Sekta ya BIMA Ya Afya abuni chanzo kipya cha mapato

    Rekodi hii inawekwa jukwaani ili siku asipokuwepo tumkumbuke sana. Alianza na upitishaji wa Sheria ya bima ya Afya kwa wote na Sasa ameleta njia ya utekelezaji wake na akaenda mbali yaani kuanzisha mfuko wa Dhamana ya Ugonjwa wa UKIMWI. Uanzishaji wa Vyanzo vya Mapato kwa Ajili ya Kudhibiti...
  13. Megalodon

    Huu ni MSIBA kuona deni la TAIFA linaongezeka huku uhalisia wa maisha ya mtanzania, miundombinu, huduma zikizidi kuwa duni

    Poleni Sana Watanzania. Mpo kwenye MSIBA mkubwa. Huu ni MSIBA kuona deni la TAIFA linaongezeka huku uhalisia wa maisha ya mtanzania, miundombinu, huduma zikizidi kuwa duni. Ila VIONGOZI wa CCM ni wana hela hadi wanaumwa hela, I tell you my fellow …. HELA zinapigwa kupitia miradi and all...
  14. Mkalukungone Mwamba

    Sheikh Kabeke: Unapomtukuna Rais unakuwa umeathiri Watanzania

    Sheikh Mkuu Mkoa wa Mwanza, Hassan Kabeke amewavaa na kukemea vikali kitendo cha baadhi ya watu kumshambulia na kumtukana Rais Samia Suluhu Hassan huku akidai kufanya hivyo kunaweza kumwathiri Rais katika kufanya na kutekeleza maamuzi. Akizungumza wakati wa dua maalumu ya kumuombea Rais Samia...
  15. R

    Kama CCM kufuatana na katiba yao wangeli float majina yapigiwe kura, Samia asingelipita kura za maoni za NEC!

    Viashiria vyote vinaonesha hivyo. Tunao mitaani, ndugu zetu, tena wakubwa wanasema bila figisu zilizofanyika, Mama asingelipita! Alikuwa anabwagwa katika round ya kwanza! 19 Januari 2025 Na Humphrey Mgonja CHANZO CHA PICHA,CCM Chama tawala nchini Tanzania, Chama cha Mapinduzi (CCM) kimepitisha...
  16. U

    Rais Samia akifuatilia kwa umakini Bajeti Kuu ya Serikali 2025/26 ikisomwa Bungeni Leo

    Wadau hamjamboni nyote? Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifuatilia Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2025/26 iliyokuwa ikisomwa Bungeni na Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba. Rais Mhe. Dkt. Samia alikuwa...
  17. Ojuolegbha

    Rais Samia Apongezwa kwa kuwa mfano bora kwa Wanawake

    Rais Samia Apongezwa kwa kuwa mfano bora kwa Wanawake Wanawake wa Taasisi ya Salama Mapesa kutoka mji wa Ntsoudjini wametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Comoro na kupongeza uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi mfano bora kwa wanawake Afrika. Viongozi wa Taasisi hiyo...
  18. McLaren

    Bunge lapiga makofi baada ya Rais Samia kuonekana akifuatilia kwa njia ya mtandao uwasilishaji wa Bajeti Kuu ya Serikali. Hapa tuna muhimili kweli?

    Wakuu, Rais Samia nae anafuatilia kwa njia ya mtandao wasilisho ya Bajeti Kuu ya Serikali Hapa kuna uhuru wa Mihimili ya Serikali kweli? Kwa wajuzi wa siasa za nchi kitu hiki kishawahi kufanyika?
  19. GENTAMYCINE

    Rais Samia una hii Taarifa muhimu ya Umoja wa Ulaya (EU) kuzuia Ndege za ATCL kutua Ulaya yote kutokana na kutokuwa salama kwa Abiria na mbovu?

    Nilidhani Msemaji wako (wa Serikali) Gerson Msigwa angekuwa busy kutueleza Watanzania kwanini EU wamezuia Ndege zako Unazozifaragua nazo kila Siku za ATCL kutua nchi zote za Ulaya kutokana na kutokuwa salama kabisa kwa Abiria na badala yake yuko busy kutishia Watanzania wanaoandika Mitandaoni NO...
  20. JanguKamaJangu

    Familia ya Juma Maganga yamlilia Rais Samia awasaidie ndugu yao atolewe Jela Sudan Kusini

    Familia ya Mtanzania Juma Maganga, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 13 nchini Sudan Kusini kwa kosa la kumgonga mwanajeshi hadi kufariki, imeelezea hofu yao juu ya hatma ya ndugu yao huyo endapo watashindwa kulipa fidia ya milioni 30 kama ilivyoamriwa na mahakama ya huko. Licha ya adhabu hiyo...
Back
Top Bottom