rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Kiboko ya Wajinga

    PICHA: Wasukuma Mliokuwa na mashaka na Rais Samia Kwa Uanamke Wake Sasa Yeye Ndio Chief Wenu Mkuu Wasukuma Wote akiwemo Gwajima na Mpina

    Tazama, nasubiri kusikia Mpina na Gwajima wakiukana usukuma wao ila Mungu humpa chochote yoyote amtakaye. Hongera Mama Samia kipenzi Cha Wasukuma na Kanda yote ya ziwa. SAMIA MITANO TENA# Kwa taarifa tu, Hii fimbo inamaana ya Mamlaka ya juu kabisa - Kisukuma
  2. tpaul

    Kifo cha Edgar Lungu na uhaini wa Tundu Lissu ni funzo kwa Rais Samia

    Naingia kwenye hoja moja kwa moja pasipo kuwachosha wala kuwapotezea muda. Naomba niwapitishe kwenye kisa kichungu lakini chenye nguvu kinachotokea Zambia leo, ambacho kila dikteta wa Kiafrika anapaswa kuzingatia kwa umakini mkubwa sana. Mnamo mwaka 2017, Edgar Lungu alikuwa Rais wa Zambia...
  3. DuaZaMama

    PreGE2025 Rais Samia amepokea zawadi mbalimbali kutoka kwa wasukama

    Rais Samia amekabidhiwa zawaidi mbalimbali alipotembela kituo cha utamaduni na makumbusho ya wasukuma Bujora,Kisesa mkoani mwanza, baadhi ya zawadi alizokabidhiwa ni kiti cha kichifu kutoka kwa watemi wa kisukuma, cheti cha shukrani na kikombe kutoka kwa wasukuma wa Oman na blanketi maalum...
  4. Mindyou

    PreGE2025 Rais Samia: Waganga wa Kienyeji, mgombea akija na fungu, wewe kula; lakini…

    Wakuu, Akizungumza leo kwenye Tamasha la Utamaduni la Bulabo la Kanda ya ZIWA, leo tarehe 21 Juni, 2025, Rais Samia amesema: "Ombi langu hasa kwa viongozi hasa wa kimila, waganga wale wa kienyeji ombi langu, kipindi hiki wanaoomba kupata nafasi mbalimbali watawatembelea na wanapo watembelea...
  5. Roving Journalist

    Rais Samia aalikwa kufungua Mkutano wa Kimataifa wa Mabaraza ya Habari Afrika utakaofanyika Julai 14 – 17, 2025

    Tanzania itakuwa mwenyeji wa Mkutano wa Kimataifa wa Mabaraza ya Habari Afrika utakaofanyika kuanzia tarehe 14 hadi 17 Julai 2025. Mkutano huo utafanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC). Mgeni Rasmi aliyealikwa kufungua mkutano huo wa kimataifa ni Rais wa Jamhuri ya...
  6. Mindyou

    Rais Samia: Ufaransa wako tayari kutupa ruzuku na mikopo zaidi

    Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina maendeleo hivyo amewaomba Watanzania kuendelea kuitunza amani nchini na utulivu wa kisiasa na kwamba Watu wasilazimishe vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua ambazo zinaepukika. Akiongea Jijini Mwanza June 20,2025 wakati...
  7. Just Pray

    Mchinjita: Kasi ya ongezeko deni la taifa chini ya Rais Samia haijawahi kutokea tangu nchi yetu ipate uhuru

    "Hadi kufikia Aprili 2025 deni la Serikali limefikia shilingi trilioni 107.70 ikilinganishwa na shilingi trilioni 91.7Machi mwaka 2024. Hili ni ongezeko la shilingi trilioni 16. sawa na 17.23% kutoka mwaka wa Fedha uliopita. Ambapo Deni la Nje ni Trilioni 72.94 na Deni la Ndani ni Trilioni 34.76...
  8. Roving Journalist

    Rais Samia akishiriki Tamasha la Utamaduni la Bulabo Kanda ya Ziwa, Mwanza Juni 21, 2025

    Rais Samia kushiriki Tamasha la Utamaduni la Bulabo Kanda ya Ziwa, Mwanza Juni 21, 2025 https://www.youtube.com/live/JttLArFY5bo?si=5JhZHxwYL98w30IE
  9. L

    PICHA: Dkt Jakaya Mrisho Kikwete Akimtambulisha Mwanae Ridhiwani Kikwete kwa Rais Samia

    Ndugu zangu Watanzania, Picha inaongea,picha inazungumza,picha ina maana kubwa sana,picha moja pekee ni zaidi ya maneno Elfu moja. Hapa Ni Rais wetu mstaafu Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete Akimtambulisha Mwanae Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete kwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu...
  10. Inside10

    Rais Samia: "Tusilazimishe Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Kufanya Mengine"

    Mengine hayo ni yapi?!! Msikilize Mh kwenye video hii fupi
  11. L

    Tabasamu na Furaha: Picha Ya Wiki Ya Rais Samia na Mama Janeth Magufuli katika Uzinduzi wa Daraja la Kigongo Busisi

    Ndugu zangu Watanzania, Hii ni picha ya wiki kati ya Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan pamoja na Mama Janeth Magufuli Mke wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Awamu ya Tano Wa Tanzania. Ni picha iliyojaa nyuso za...
  12. Stephano Mgendanyi

    Ni Historia Rais Samia Afungua Rasmi Daraja la J.P. Magufuli Kigongo-Busisi, Mwanza

    NI HISTORIA RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI DARAJA LA J.P. MAGUFULI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelifungua rasmi Daraja la J.P. Magufuli lenye urefu wa kilomita 3 na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 1.66 linalounganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema...
  13. B

    Rais Samia hashauriki au ana washauri wabaya?

    Kinachoendelea hivi sasa nchini Tanzania inaonyesha aidha rais Samia Suluhu Hassan hashauri (haambiliki) ama ana washauri wabaya wanaompotosha Kukamatwa kwa mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu na kufunguliwa kesi ya uhani ni jambo la kushangaza ambalo linaonyesha pengine lengo ni kudhibiti kasi...
  14. D

    Rais Samia: Ua zuri liliochipua katikati ya ziwa Victoria

    Katika kina cha Ziwa Victoria ziwa kubwa kabisa barani Afrika, lenye mawimbi yasiyotulia na upepo wa ghafula ni nadra kuona ua likimea katikati ya maji, likadumu, na zaidi likachanua kwa uzuri wa ajabu. Hilo ndilo fumbo la uumbaji, na huo ndio mfano halisi wa Rais Samia Suluhu Hassan ua zuri...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Moja ya Mazuri ya Samia ni kufungua nchi kwenye Ajira. Kilichomtoa Mchezoni ni Mambo ya Utekaji na Mauaji ambayo serikali yake imeshindwa kutoa jawabu

    Mpo Salama! Hata wanaomchukia wanakiri kuwa Rais Samia alipoingia aliwatia katika wakati Mgumu. Kwanza, aliamua kufuata Haki ya watu kuwa Huru Kujieleza. Hiyo nilimpa Big tick! Katika haki hiyo wapo waliomzodoa na kumkabia kooni kwa namna Mbalimbali. Wengine wakimvunjia heshima Kama Rais wa...
  16. LIKUD

    Rais Samia yupo sahihi kwenye maamuzi yake kwa asilimia mia ( Nalia na wanaoitwa "Wasomi" wa Tanzania wanao mpinga Samia)

    Ndio maana mara kwa mara nimekuwa nikiandika nyuzi hapa kukosoa watu kulipa mamilioni kwenye shule zinazo fuata mtaala wa Necta( EMS) kwa sababu there is nothing worth paying there. Wasomi wa Tanzania shuleni huenda kukariri masomo wafaulu mitihani waajirike ( Sijasema watajirike ni...
  17. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia wewe una mapenzi mema kwa nchi hii, na kwa Watanzania

    Mhe, Rais niliojitihada zako za kuratibu na kujenga miradi yote ulionza nayo na Hayati Magufuli, na uliniita ukaniambia tumeachana mzigo huu ni wetu sote pamoja na watanzania, ni lazima tutekeleza ili miradi hii kukamilika. Soma Pia: Uzinduzi wa Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) - Juni 19...
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Samia agawa Bahasha za Maokoto kwa wasanii Rayvanny, Saida Karoli, Harmonize uzinduzi wa daraja la Magufuli jijini Mwanza

    Rais Samia amegawa bahasa za fedha kwa wasanii mbalimbali wa muziki nchini, akiwemo Rayvanny, Harmonize na Saida Karoli, wakati wa hafla ya uzinduzi wa Daraja la Magufuli (Kigongo–Busisi) lililofanyika leo Juni 19, 2025 mkoani Mwanza. Wasanii hao walipewa bahasha za fedha baada ya kumaliza...
  19. Waufukweni

    Uzinduzi wa Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) - Juni 19, 2025

    https://www.youtube.com/watch?v=C_twIGs3KIM Rais Samia mgeni rasmi katika hafla ya ufunguzi wa Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) lenye urefu wa kilometa 3 pamoja na barabara zake unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66. Daraja hilo tayari lipo tayari kwa matumizi, likiwa ni miongoni mwa...
  20. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Wasira: Namshangaa Mbunge (Mpina) kusema Jimboni kwake bado wanamdai Rais Samia

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, amesema amesikitishwa na mbunge (hamkumtaja jina) aliyesema anamdai Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wakati wenzake hawana deni naye na kwamba mbunge huyo ameingia ‘choo ambacho sio chake. Soma > Mpina: Rais Samia jimboni Kisesa...
Back
Top Bottom