rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Familia ya Juma Maganga yamlilia Rais Samia awasaidie ndugu yao atolewe Jela Sudan Kusini

    Familia ya Mtanzania Juma Maganga, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 13 nchini Sudan Kusini kwa kosa la kumgonga mwanajeshi hadi kufariki, imeelezea hofu yao juu ya hatma ya ndugu yao huyo endapo watashindwa kulipa fidia ya milioni 30 kama ilivyoamriwa na mahakama ya huko. Licha ya adhabu hiyo...
  2. McLaren

    Yanayoendelea Tanzania yafika Marekani. Gazeti la Wall Street Journal yamkaanga Rais Samia!

    Wakuu, Naona kelele za Watanzania zimefika duniani huko. Sasa tuone kama CCM wataweza kufungia hili gazeti nalo!
  3. L

    Rais Samia Kuingia Katika vitabu Vya historia yaDunia. Ni Baada ya Kualikwa na Mataifa mawili Tofauti kuwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho ya uhuru wao

    Ndugu zangu Watanzania, Ukisikia kupendwa basi huku ni zaidi ya kupendwa ,ni zaidi ya kuheshimika ,ni zaidi ya kuthaminiwa,ni zaidi ya ushawishi ,ni zaidi ya kukubalika na Dunia. Kwa hakika Rais Samia anapendwa hapa Duniani sijapata kuona ,.anakubalika haijapata kutokea. Ana ushawishi...
  4. britanicca

    Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya

    Gazeti la "The Wall Street Journal " la New York la tarehe 11/06/2025 limesema Rais Samia anatumia Madaraka yake vibaya. Britanicca
  5. Waufukweni

    Nabii aliyechangiwa Milioni 100 na Rais Samia, Kuhani Musa adai atazungumza mema aliyofanya Rais

    Nabii Mussa Richard Mwacha Maarufu kama Kuhani Musa, amesema kuwa Tanzania imekuwa kitovu cha amani barani Afrika, na hivyo kuwa kimbilio kwa watu kutoka mataifa jirani wanaokumbwa na machafuko. Ameeleza kuwa mara nyingi ndugu zetu kutoka nchi kama Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
  6. ChoiceVariable

    PreGE2025 Mzee Wasira: Mitano Tena" ni kwa Samia, wengine watasubiria mchujo

    My Take Safi sana Wasira unajua sana kuwakera 😂😂👇👇 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, leo Juni 11, akizungumza na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma, ametumia jukwaa hilo kuwakumbusha wanachama wa CCM nchini kuwa kwa sasa mgombea...
  7. Mudawote

    Dkt Samia Alipongezwa Mapema Kabla ya Katiba Kuruhusu – Je, uklikuwa na Ajenda?

    Kuna tukio moja la kihistoria ambalo linaacha maswali mengi, hasa kwa wana-JF wenye kupenda kuchambua mambo kwa kina. Ni lile tukio ambapo Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt John Pombe Magufuli, alikuwa kwenye ziara Mtwara, na wakati huo huo moshi mweupe ukafuka Moshi – tukio lililozua tafsiri...
  8. Holoholo-Baba Kijacho

    PreGE2025 Kishindo cha Awamu ya Sita: Miaka Minne ya Rais Samia, Huduma za jamii zimeenea kila pembe ya nchi

    Wakuu, Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni. Rais Samia amevuka matarajio ya watanzania walio wengi. Ameonyesha mwanga na nuru pale ambapo hapakuwa na nuru wala mwanga Ni miaka minne pekee imetosha kuuonesha umma wa Watanzania kuwa wanawake wanaweza. Nakushukuru sana Rais wangu Samia kwa...
  9. Lord Diplock MR

    Rais Samia apokea simu ya Salim Kikeke aahidi kufanyia kazi yanayosemwa mitandaoni, aahidi taifa lenye umoja

    Ni kuhusu alichokiandika mtangazaji Salim Kikeke katika mtandao wake wa Instagram (Insta story) ambapo ameandika ujumbe ufuatao. "Nimeongea na Bi Mkubwa kwa simu Leo kwa urefu Sana akaniambia "Salim Mwanangu hii ni 'off record' lakini nasikia kinachosemwa mitandaoni. Nalifanyia kazi Jambo...
  10. Benson Mramba

    Nafikiri ni hatari sana kumkosoa Rais Samia kama anaamini humpendi. Mood yake haitabiriki

    Kwanza niweke wazi kuwa mimi nimelelewa na Mama tangu utoto wangu. Mama yangu amejitahidi kwa kila hali kunihudumia kwa kadiri ya uwezo wake hivyo naweza kusema nawapenda na kuwathamini wanawake kuliko wanaume. Kukiwa na mgogoro wa Mwanamke na mwanaume most likely nitakuwa upande wa mwanamke na...
  11. H

    Kwanini Serikali isingetumia njia ya Mombasa hadi Kisumu kisha Ziwa Victoria kusafirisha boti badala ya njia ya Barabara kutoka Mtwara mpaka Mwanza??

    Anayeweza kunisaidia kufafanua bot inayosafirishwa kupita mikoa zaidi ya 4 kwa siku 30 kwanini lisingesafiri kwa maji kutoka Mtwara mpaka Mombasa Kenya kisha, wasafirishe mpaka bandari ya Kisumu kisha iingie kwenye maji yenyewe mpaka Mwanza? Wataalam walitumia tathimini gani kuona njia...
  12. Kitchener

    Wafanyakazi wa umma hawako makini vya kutosha wanamwaibisha Rais Samia

    Ni mara nyingi kuna nyaraka zinazunguka mtandaoni za kiserikali, zingine barua zingine amri n.k unahisi kabisa wafanyakazi waliopewa nyadhifa kubwa huwa wanafanya kazi bila umakini wa kutosha na kwa sababu hiyo wanaaibisha serikali na Rais aonekane hayuko makini vya kutosha. kuna barua nyingi...
  13. Roving Journalist

    Rais Samia akipokea Gawio na Michango kutoka kwa Taasisi na Mashirika ya Umma Juni 10, 2025

    Rais Samia akishiriki Hafla ya Kupokea Gawio na Michango kutoka kwa Taasisi na Mashirika ya Umma Ikulu Dar es Salaam, tarehe 10 Juni, 2025. https://www.youtube.com/live/Lf1jVU2cugw?si=sGSInESSct_k5jxS
  14. R

    PreGE2025 Rais Samia manung'uniko dhidi ya Jeshi la Polisi yamezidi kwa sasa tangu Tanganyika iwepo Duniani

    Nina uhakika wa Mungu unajua fika kuwa jeshi la polisi linalalamikiwa sana kuliko miaka yote tangu Tanganyika iwepo duniani. Mauji ya wananchi, kuonea wananchi and many many other atrocities committed by polisi, bado makubwa yanayotokea mikononi mwa polisi. POLICE BRUTALITY IS AT ITS PEAK...
  15. Roving Journalist

    Rais Samia: Polisi komesheni rushwa, natumiwa ‘clip’ za Barabarani nami namrushia IGP

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam, leo tarehe 9 Juni, 2025.
  16. BigTall

    IGP Camillus Wambura: Rais Samia umefanya mambo ambayo yalitakiwa kufanyika kwa Miaka 50

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura ameyasema hayo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki sherehe ya Kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi wa Jeshi la Polisi Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es salaam, leo tarehe 9 Juni, 2025.
  17. Just Pray

    PreGE2025 Rais Samia: Manung'uniko yalikuwepo ya Jeshi la polisi yamepungua sana

    Wakuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema manung'uniko yalikuwepo kuhusu Jeshi la polisi kwa sasa yamepungua sana. Rais Samia ameyasema hayo katika Sherehe ya kufunga Kozi ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi katika...
  18. R

    PreGE2025 Kala Jeremiah: Kelele zinazoendelea zimepata mwanya wa kumuonea Rais huyu kwa kuwa ni mama

    Wakuu Kwa hiyo huyu Kala Jeremiah anaamini kuwa hizi No Reforms No Election zimekuwa nyingi kwa sababu Rais Samia ni mwanamke na ni mama? Angalieni jinsi ya kumtetea Rais. Kauli kama hizi sio za kumsaidia Rais bali zinamuharibia yeye na taasisi yake ============= Anaandika Kala Jeremiah...
  19. N

    PreGE2025 Rais Samia anaonekana kuwa na msongo mkubwa wa mawazo. Je, ni pressure ya No reform No election?

    Kupia video hii, unahisi ni nini kinampelekesha rais kiasi ambacho anaonekana kutokuwa katika hali ya kawaida? My take: Kuna haja ni kuliangalia hili suala ya reforms kwa mapana yake na kwa mustakabali wa nchi yetu pendwa.
  20. NDOTO KAVU

    Rais Samia kuwa muwazi wananchi wakusaidie unaogopa kushika nyaya za mfumo zitakuunguza

    Watanzania wenzangu. Nafikiri tumsaidie Rais kuwa taja na kuwashambulia ile sistem ya mfumo uliopo CCM ili wajijue na watambue wanajulikana. Umeme wa moto umembana huyu mama akigusa tu anakwenda chali. Sasa kilichabakia tujitahidi kuwajua kwa majina hao wanaosimamia huo mfumo wa kibepari...
Back
Top Bottom