project

Contemporary business and science treat as a project (or program) any undertaking, carried out individually or collaboratively and possibly involving research or design, that is carefully planned (usually by a project team) to achieve a particular aim.An alternative view sees a project managerially as a sequence of events: a "set of interrelated tasks to be executed over a fixed period and within certain cost and other limitations".A project may be a temporary (rather than permanent) social system (work system), possibly constituted by teams (within or across organizations) to accomplish particular tasks under time constraints.A project may be a part of wider programme management or an ad hoc structure.
Note that open-source software "projects" (for example) may lack defined team-membership, precise planning and time-limited durations.

View More On Wikipedia.org
  1. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba code ya ushindi kwanini siku hizi wanawake wanatoa sana namba za simu ila kukamilisha project wanazingua?

    Naomba mbinu takatifu nje na pesa , kwanini mademu wanatoa namba kirahisi sana ila wagumu kuingia box, wanaboa mimi nawatukana nawauliza ulidhani mimi mjomba wako. Pesa ni ngumu utawala huu wa Hassan, kutoa advance mtihani. Leteni code mkwamo uko wapi baharia wa Malawi nakwama
  2. stakehigh

    JamiiForums Tanzania African Internet Exchange System (AXIS) Project ilikua wazo bora sana, sjui kwann haliendelei

    Mwaka 2010, AU(African union) ilipitishiwa wazo bora sana kuanzisha miundo minu kwa ajili ya internet ya kiafrika, wazo hili lililenga afrika kujitoa kwenye makucha ya internet ya kikoloni, kwa wale ambao hawaelewi internet ya kiafrika namanisha ivi fikiria afrika ikaanzisha mtandao mpana wa...
  3. Nicolas J Clinton Gabone

    JamiiForums Tanzania Dar es salaam 25 year project

    Maoni ya mpango wa maendeleo wa miaka 15-25 wa kuifanya Dar es salaam kitovu cha biashara za kimataifa Nicolas Jovin Clinton Gabone Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Mageuzi (JUVIMA)- NCCR-Mageuzi USICHOKE ISOME YOTE Dar Es Salaam, mji mkuu wa kiuchumi wa Tanzania na kitovu cha...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Officer – Early Childhood Development at EGPAF August 2025

    Arusha, Tanzania Full-time Location of Position: Tanzania Company Description Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation (EGPAF) is on a mission to create a world where no mother, child or family is devastated by HIV and AIDS. Join us on our fight for an AIDS-free generation. Job Description...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa

    Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo. Hamuwezi kushindana na watu ambao hawana kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma...
  6. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Mwendo kasi 'Dar bus Transit' kama Tazara na SGR kua white elephant project kutokana na ubinafsi

    ukiangalia hii dhana ya mradi wa DART utaona ni dhana sahihi kutatua tatizo kubwa la usafiri wa umma katika jiji la Dsr es Salaam. Dhana ya bus transit sio ya zamani imeanza mwishoni mwa miaka ya 1990. Miji ya kwanza kujengwa rapit transit ilikua kule amerika ya kusini Curitiba Brazil na Bogota...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Fiber project manager at YAS July 2025

    New vacancy: Fiber project manager Let’s grow together. Become our next team member! Position: Fiber Project Manager Minimum qualification: Bachelor’s degree in Telecommunications, Civil Engineering, Project Management, or a related field. Experience required: 3+ years in telecom network...
  8. Youbettersleep

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, Ndoa ni Jela ya Wanaume? Je, walioko ndani wanatamani kutoka?

    Kijiweni hapa Nyasaka! Jana nilitoa mada kuhusu vijana kutokufanya maamuzi magumu ya kuwa na familia (ndoa) na kutulia na mwanamke. Wengi wao waliona heri atafute watoto tu ila sio kukaa na mwanamke sababu wengi hawaeleweki nini wanataka. Nilipowauliza swali vijana waliooa walisema ingekuwepo...
  9. radhiya

    JamiiForums Tanzania On going Project at Delta Residency

    On going project Delta Residency located at Kilombero street Upanga. 3 bedrooms: USD 280,000(233sqm) 4 bedrooms: USD 380,000(327sqm) Book now only for 20%. Handover March 2027. For more information call or Whatsapp 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  10. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Je kuna mkakati wa Kampuni ya Reopard Tours kumilikishwa shule ya msingi Kijenge? Nani yuko nyuma ya Project hii?

    Jirani na Offisi za kampuni ya Reopard tours kuna shule ya nsingi Kijenge, hii ni shule ya Umma, na unasemekana eneo ablo Leopard wamejenge jengi jipya lilikuwa eneo la shule na sijui nani aliwauzia. Sasa cha kushangaza ni kwamba ndani ya compaund8 ya shule ya msingi kijenge ndio imekuwa...
  11. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufanya project yako ya ujenzi kwa uimara nunua vifaa sisi tulipe labor charge +255624004650 call us

    We do design and build services Tunapatikana sinza call/whatsap +255624004650
  12. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Site progress in one of our project Kigamboni for service

    KAZI ZIMENYOOKA CALL/WHATSAP +255624004650
  13. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Harmonize aliishia wapi ile project ya kutoa chakula??

    Naona Jaden Smith Kapita nayo huko,je harmo amefeli wapi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jinsi Project G55 ilivyofeli: Nguvu ya Umma yainusuru CHADEMA

    Waliopanga kuivunja CHADEMA kutokea ndani sasa wanakutana na reality kuwa project yao ya kutumia sellouts wa G55 imebuma. Project hiyo imebuma na imeshindwa kuipigisha CHADEMA magoti, na nitaeleza sababu. 1. G55 imekosa star figure mwenye ufuasi. Ni dhahiri hawa G55 pengine walikuwa na mpango...
  15. Popomtata

    JamiiForums Tanzania Ujio wa Bitnest Project na mapinduzi ya uwekezaji kupitia Blockchain.

    📢 UWEKEZAJI WA KIPEKEE: BITNEST NA BITLOOP! 🚀 Je, unatafuta fursa ya kufaidi kwa kasi na kwa uhakika katika ulimwengu wa DeFi (Decentralized Finance)? Bitnest inakuletea mfumo wa kipekee wa uwekezaji wenye faida kubwa na salama kupitia bidhaa yake ya Bitloop! ### 🔹 KWA NINI BITNEST? ✅...
  16. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Eti Wataalam hii Project ya Chaumma itafanikwa au itafail?

    GT Wale wataalamu wa siasa chafu na propaganda hii project ya Chaumma itatoboa kweli? Binafsi nimeona imefail kabla hata ya utekelezaji wake kuanza. Huenda mi siyo mtaalamu sana wajuzi mtuambie.
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Project CHAUMA itafeli mapema sana kama ilivyofeli Project G55

    Mafioso wana kaulimbiu yao inasema usifanye jambo kwa kukurupuka wala kwa shinikizo maana hutafaulu kutokana na makosa mengi ya kiufundi. Katika hali ya kuchanganyikiwa baada ya kushindikana kuuharibu uchaguzi wa CDM, plan B ya CCM ikawa ni kulitumia kundi lililoshindwa. Njaa haina baunsa...
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania CCM na project mfu zilizochanganyikiwa

    Siku hizi kuna press conference karibia kila siku za mikoa mbalimbali za viongozi wa CHADEMA mikoani kukikimbia chama cha CHADEMA... Jamani hata kama chama hakipendwi mbona huu utaratibu umenyooka sana na uko so systimastically!? Yaani unaona kabisa ni script za kuandaliwa😂😂😂 Halafu sasa...
  19. Hharyson

    JamiiForums Tanzania ZANZIBAR PROJECT MANSION FROM DESIGN TO SITE CALL US +255624004650

    WE DO DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES +255624004640 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  20. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Una plot na hujapata full design for project development just

    We do design for all project ,landscape ,master plan Kama una plot na hujapata idea nini ufanye call us tukupe ideas kali Call/whatsap +255624004650 Tunapatikana sinza Dar es salaam
Back
Top Bottom