project

Contemporary business and science treat as a project (or program) any undertaking, carried out individually or collaboratively and possibly involving research or design, that is carefully planned (usually by a project team) to achieve a particular aim.An alternative view sees a project managerially as a sequence of events: a "set of interrelated tasks to be executed over a fixed period and within certain cost and other limitations".A project may be a temporary (rather than permanent) social system (work system), possibly constituted by teams (within or across organizations) to accomplish particular tasks under time constraints.A project may be a part of wider programme management or an ad hoc structure.
Note that open-source software "projects" (for example) may lack defined team-membership, precise planning and time-limited durations.

View More On Wikipedia.org
  1. C

    JamiiForums Tanzania Baada ya nchi kutulia itabidi Habib Mchange na kundi lake watueleze hii project ya kuliingiza taifa kwenye chuki za udini amepewa na nani

    Maana hii ni project na inaratibiwa kwa makusudi kabisa sasa inabidi tujue nani muasisi na mdhamini na lengo ninini?
  2. funaku

    JamiiForums Tanzania Mwanzo dot org na Shangazi Power project wanapokea fedha kutokaFord Foundation

    Nimejaribu kutafuta facts baada ya kuona kuna barua za mtandaoni zikionesha Wanaharakati wanavyopokea fedha kuharibu amani nchini. nilichokutana nacho ni hiki hapa chini....Inatisha sana..... Our grants |Awarded grants |Grants database For support for the Shangazi Power project for...
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Nahisi kuna Project ya wanamtandao kutumia Manabii kutoa tabiri zenye lengo la kuipooza Mioyo ya Wananchi

    Nianze Kwa kuwataka Wananchi, Hakuna Kupoa , Hakuna Kumwachia Mungu, tupambane ,tukimuomba Mungu ,Maandamano yakiendelea bila Kikomo. Ninahisi, Msululu wa Hizi Nabiii, lengo lake ni Kupooza mionyonya Watanzania, Wahisi kwamba Wao kama Watanzania hawana Wajibu wa Kupigania Nchi yao, Wananchi...
  4. canular

    JamiiForums Tanzania Nguara (Ngualla) Rare Earth Project inapatikana karibu na Kijiji cha Ngwala, umbali wa takriban 147 km kutoka mji wa Mbeya, kusini mwa Tanzania,

    Wanganyika wanauliwa kwa haya mengi Ugunduzi na Uchunguzi wa Awali • Mradi wa madini adimu wa Ngualla uligunduliwa na Peak Resources mwezi Agosti 2010. • Uchimbaji wa awali wa visima na tafiti za kubainisha rasilimali ulifanywa na SRK Consulting, SGS, na wataalam wengine wa kijiolojia...
  5. Pfizer

    JamiiForums Tanzania Tanzania Launches Pandemic Fund Project to Strengthen Health Emergency Preparedness and Response

    Mwanza, Tanzania – The President’s Office – Regional Administration and Local Government, the Prime Minister’s Office and the Ministry of Health of the United Republic of Tanzania in collaboration with the World Health Organization (WHO), the United Nations Children’s Fund (UNICEF), and the...
  6. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kwa usd billion 5 tunajenga natural gas project (drilling) kubwa na tunaimudu kabisa-fahamu ecosystems yake

    Miaka 20 iliyopita Rais mkapa alifungua mlango kwa waekezaji wa madini kule kanda ya ziwa ila kwa masikitiko makubwa mpaka leo kuna umaskini wa kutisha wakazi wa kule hawaoni faida ya madini na yale makampuni- utakua upunguani kuwapa makampuni ya kigeni gesi yetu eti hatuwezi na tutakuwa...
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Apple walitumia zaidi ya Trillion 25 kwenye Project Titan na ikafeli bila kutengeneza ata gari moja la kuzugia!

    Wanavyosemaga Kampuni la Teknolojia Apple lina hela hawatanii. Ndio maana kuchoma Trillion 25 kwa miaka 10 kwenye R&D, kwao ni hela ndogo (hii ni sawa na net profit ya mwezi mmoja!) Sasa, hawa jamaa mwaka 2014 walipata wazo la kuingia kwenye sekta ya magari, na kutaka kutengeneza gari la...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Engineer Site Activities & Vendor Coordinator at TotalEnergies September 2025

    Join our TotalEnergies EP Tanzania subsidiary based in Dar-Es-Salaam! The East African Crude Oil Pipeline (EACOP) is a major infrastructure project intended to transport crude oil from the oil fields of Uganda to the Tanzanian port of Tanga on the Indian Ocean for export. We are looking for a...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Management Officer at AzamPesa September 2025

    Project Management Officer Job Opportunity We are hiring a Project Management Officer to join our team and ensure delivery teams meet scope, schedule, and quality goals. The role requires a Bachelor’s degree in Business, Information Systems, Engineering, or a related field, along with...
  10. Brain Kingdom

    JamiiForums Tanzania Naomba code ya ushindi kwanini siku hizi wanawake wanatoa sana namba za simu ila kukamilisha project wanazingua?

    Naomba mbinu takatifu nje na pesa , kwanini mademu wanatoa namba kirahisi sana ila wagumu kuingia box, wanaboa mimi nawatukana nawauliza ulidhani mimi mjomba wako. Pesa ni ngumu utawala huu wa Hassan, kutoa advance mtihani. Leteni code mkwamo uko wapi baharia wa Malawi nakwama
  11. stakehigh

    JamiiForums Tanzania African Internet Exchange System (AXIS) Project ilikua wazo bora sana, sjui kwann haliendelei

    Mwaka 2010, AU(African union) ilipitishiwa wazo bora sana kuanzisha miundo minu kwa ajili ya internet ya kiafrika, wazo hili lililenga afrika kujitoa kwenye makucha ya internet ya kikoloni, kwa wale ambao hawaelewi internet ya kiafrika namanisha ivi fikiria afrika ikaanzisha mtandao mpana wa...
  12. Nicolas J Clinton Gabone

    JamiiForums Tanzania Dar es salaam 25 year project

    Maoni ya mpango wa maendeleo wa miaka 15-25 wa kuifanya Dar es salaam kitovu cha biashara za kimataifa Nicolas Jovin Clinton Gabone Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Vijana wa Mageuzi (JUVIMA)- NCCR-Mageuzi USICHOKE ISOME YOTE Dar Es Salaam, mji mkuu wa kiuchumi wa Tanzania na kitovu cha...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Project Officer – Early Childhood Development at EGPAF August 2025

    Arusha, Tanzania Full-time Location of Position: Tanzania Company Description Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation (EGPAF) is on a mission to create a world where no mother, child or family is devastated by HIV and AIDS. Join us on our fight for an AIDS-free generation. Job Description...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa

    Project Chaumma haikufanikiwa na haitafanikiwa kwasababu moja tu imejaa watu ambao hawaja jenga imani kwa Watanzania wa kawaida kuwa ni wazalendo. Hamuwezi kushindana na watu ambao hawana kashfa ya rushwa, wamefugwa na kupigwa na risasi kwasababu ya kupigania haki. Kwa upande mwingine Chauma...
  15. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Mwendo kasi 'Dar bus Transit' kama Tazara na SGR kua white elephant project kutokana na ubinafsi

    ukiangalia hii dhana ya mradi wa DART utaona ni dhana sahihi kutatua tatizo kubwa la usafiri wa umma katika jiji la Dsr es Salaam. Dhana ya bus transit sio ya zamani imeanza mwishoni mwa miaka ya 1990. Miji ya kwanza kujengwa rapit transit ilikua kule amerika ya kusini Curitiba Brazil na Bogota...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Fiber project manager at YAS July 2025

    New vacancy: Fiber project manager Let’s grow together. Become our next team member! Position: Fiber Project Manager Minimum qualification: Bachelor’s degree in Telecommunications, Civil Engineering, Project Management, or a related field. Experience required: 3+ years in telecom network...
  17. Youbettersleep

    JamiiForums Tanzania Je, Ndoa ni Jela ya Wanaume? Je, walioko ndani wanatamani kutoka?

    Kijiweni hapa Nyasaka! Jana nilitoa mada kuhusu vijana kutokufanya maamuzi magumu ya kuwa na familia (ndoa) na kutulia na mwanamke. Wengi wao waliona heri atafute watoto tu ila sio kukaa na mwanamke sababu wengi hawaeleweki nini wanataka. Nilipowauliza swali vijana waliooa walisema ingekuwepo...
  18. radhiya

    JamiiForums Tanzania On going Project at Delta Residency

    On going project Delta Residency located at Kilombero street Upanga. 3 bedrooms: USD 280,000(233sqm) 4 bedrooms: USD 380,000(327sqm) Book now only for 20%. Handover March 2027. For more information call or Whatsapp 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  19. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Je kuna mkakati wa Kampuni ya Reopard Tours kumilikishwa shule ya msingi Kijenge? Nani yuko nyuma ya Project hii?

    Jirani na Offisi za kampuni ya Reopard tours kuna shule ya nsingi Kijenge, hii ni shule ya Umma, na unasemekana eneo ablo Leopard wamejenge jengi jipya lilikuwa eneo la shule na sijui nani aliwauzia. Sasa cha kushangaza ni kwamba ndani ya compaund8 ya shule ya msingi kijenge ndio imekuwa...
  20. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kufanya project yako ya ujenzi kwa uimara nunua vifaa sisi tulipe labor charge +255624004650 call us

    We do design and build services Tunapatikana sinza call/whatsap +255624004650
Back
Top Bottom